Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Cdm wanafocus kwenye ubora sio kwenye wingi.

Ubora upo kwenye nini? Wangeanza kuwa na ubora kwenye kujenga ofisi zao.wanapanga miaka yote hii.hivi mbowe na mchwa wenzako huwa mnapeleka hela wapi
 
Muda huu nashuhudia mkutano wa pili wa mgombea urais wa CCM Dr Magufuli kwa siku ya leo, alianzia Misungwi na sasa yuko Sengerema na bado anaendelea

Najiuliza mgombea urais wa CHADEMA mbona anafanya mkutano mmoja tu kwa siku?...... Watanzania watamjua na kujua sera zake kweli?

Najiuliza tu.

Maendeleo hayana vyama!

Na kwanini Wagombea wengine nao wanafanya Mikutano Kumi Kumi kwa Siku nzima lakini bado hawakubaliki na wanaishia kutoa 'Vitisho' tu sasa?
 
Naimani hata kura watapata zenye ubora sio wingi.

Kipimo cha kura ni za halali, maana unaweza kuwa na wingi wa kura lakini ni zile za kuletwa na mabox ya kubumba. Kila kitu kina SI unit yake. Maji hayapimwi kwa kilo, bali kwa lita.
 
Muda huu nashuhudia mkutano wa pili wa mgombea urais wa CCM Dr Magufuli kwa siku ya leo, alianzia Misungwi na sasa yuko Sengerema na bado anaendelea

Najiuliza mgombea urais wa CHADEMA mbona anafanya mkutano mmoja tu kwa siku?...... Watanzania watamjua na kujua sera zake kweli?

Najiuliza tu.

Maendeleo hayana vyama!
Kanzia nyamagana na viunga kisha akaenda misungwi.
 
Endelea kuchonga yakitokea ya Ruhanga ya kukatish ziara ghafla ndipo mtajua Mungu yupo
 
Ubora upo kwenye nini? Wangeanza kuwa na ubora kwenye kujenga ofisi zao.wanapanga miaka yote hii.hivi mbowe na mchwa wenzako huwa mnapeleka hela wapi

Simba na yanga zina mashabiki wengi kuliko wa vyama vyote vya siasa, na wako kabla ya uhuru lakini hawana viwanja vyao itakuwa cdm? Ccm hiyo iliyokaa madarakani zaidi ya 50yrs madarakani, 90% ya majengo yake yalikuwa ya enzi ya chama kimoja. Uislamu ni dini ya karne na karne, lakini juzi wamechangiwa hela ya kujenga msikiti tena kanisani! Bakwata ina miaka zaidi ya 40, lakini juzi ndio wamejengewa msikiti na ukumbi kwa hela chafu za GSM, tena kwa shinikizo la jiwe na bashite.
 
Muda huu nashuhudia mkutano wa pili wa mgombea urais wa CCM Dr Magufuli kwa siku ya leo, alianzia Misungwi na sasa yuko Sengerema na bado anaendelea

Najiuliza mgombea urais wa CHADEMA mbona anafanya mkutano mmoja tu kwa siku?...... Watanzania watamjua na kujua sera zake kweli?

Najiuliza tu.

Maendeleo hayana vyama!
Hana ubavu wa kufanya mikutano zaidi ya mmoja kwa siku, jamaa ni mtu wa kuzunguka kwa ndege, sasa ndege itatua lyamidati, Ilunde, Tumuli, Nyakanazi, Mchinga, Mganza, Namtumbo nk?
 
Lissu anakamilisha ratiba tu. Anajua kabisa Rais ni JPM.
 
Tundu Lisu hatumii raslimali za umma kufanya mikutano, hivyo anakuwa na mkutano mmoja bora, kuliko kuwa na mikutano mingi kwa siku ya frustration.
Kapewa ruzuku ya umma ambayo ni kodi zetu pia Wabunge wa Chadema walichangishwa pesa kwa miaka mitano kwa ajili ya kampeni za uchaguzi 2020, hilo hulioni?
 
Simba na yanga zina mashabiki wengi kuliko wa vyama vyote vya siasa, na wako kabla ya uhuru lakini hawana viwanja vyao itakuwa cdm? Ccm hiyo iliyokaa madarakani zaidi ya 50yrs madarakani, 90% ya majengo yake yalikuwa ya enzi ya chama kimoja. Uislamu ni dini ya karne na karne, lakini juzi wamechangiwa hela ya kujenga msikiti tena kanisani! Bakwata ina miaka zaidi ya 40, lakini juzi ndio wamejengewa msikiti na ukumbi kwa hela chafu za GSM, tena kwa shinikizo la jiwe na bashite.
Umejibu vizuri kabisa.viongozi wa simba na yanga akili zao na mambo yao vinafanana kabisa na chadema.hela ikipatikana inaliwa yote ni kama wanaishi leo leo tu
 
Ananadi Sera, hafanyi Fiesta kama wengine..!! Sera ni lazima zieleweke vizuri kwa wananchi hasa Sera zinazogusa maisha ya kila siku ya watanzania.
 
Tundu Lisu hatumii raslimali za umma kufanya mikutano, hivyo anakuwa na mkutano mmoja bora, kuliko kuwa na mikutano mingi kwa siku ya frustration.
Lakini pia tusisahau bado anaumwa. Hatutegemea awe too much overworked kwa siku.
 
Hata hivyo kumbuka lissu anakubalika sana kuliko magufuli,magufuli inabidi afannye mikutano mingi ili ajisafishe,lissu ni kidogo tu watu wamemuelewa.
 
Back
Top Bottom