Sio kwamba namkubali sana Tundu Lissu bali sijawahi kumuelewa Mh. Magufuli.
Sio kwamba namkubali sana Tundu Lissu bali sijawahi kumuelewa Mh. Magufuli.
Kila kukicha kwa umaarufu wa Lissu, nalazimika kufuatilia taarifa zake. Lissu amekuwa hot cake sasa hivi hivyo bila kusikia au kupata habari zake siwezi kutuliza akili. Watu wengi wanasema yuko perfect kwa 90%. Akianza kufafanua jambo unavutiwa kumsikiliza. Ni nyota inayosafiri leo na kesho.
Kwa sifa hizi anapewa nafasi kubwa sana kushinda urais. Ni mtu atakayefuata sheria na kuwakumbatia wstanzania wote kuwa wamoja. Ni tofauti sana na Magufuli na wagombea wengine. Yeye anapendwa kwa ukweli wake ndiyo maana vijembe na visasi vingi anaelekezewa. Leo nasikia wamemnyima fursa ya kuruka kwa helkopta ili kuweza kufikia maeneo yake ya kampeni katika mkoa wa Pwani.
Bila ya Lissu hatutafika kwenye nchi ya upendo, mshikamano na umoja. Nchi ishagawanywa ambapo wenye nayo sasa hivi wanatumia vitisho na kutumia ukabila kuomba ridhaa za kwao ili waweze tena kurudi madarakani. Nchi inachungulia kusikojulikana ambapo chuki na upendeleo ni wazi wazi zimeanza kuota mizizi. Tuombe Mungu Lissu asinde urais, Mungu ibariki Tanzania
Wanazipeleka kwa fundi cherehani anazishona ndo wanaleta.Chadema mbona wanaogopa kurusha live hata mitandaoni mikutano yao ya kampeni? Na hata picha tu wanaleta za jioni sana giza likiwa limeingia? Zinaletwa zikiwa zimefunikwa sura na giza za watu tusizione kwa nini? Mbona hampigi mchana kweupe mnangoja giza liingie na kuzipiga kijanja Jana as if mnaibia ibia kuzipiga
Mbona 2015 hamkuwa na hii tabia?
Nyingine mumefumwa mkiwa mu me edit za 2015 kwa nini muone haya kurusha picha za mikutano yenu kweupe jua linawaka namsubiri giza?
Tengeneza nawewe channel yako kwa kufanya kazi kwa bidii, sio CCM na sio chadema itakuja kukuwekea hela mfukoni ni juhudi zako tuu kulialia kamwe hakutakusaidia.Ukipita mtaani kwetu watoto wa maskini wadogo wanacheza wamepauka hata nguo mpya hawanunuliwi wazazi hela wanazobangaiza zinaishia kwenye kununua sukari robo na chakula.maisha ni magumu kupita maelezo vijana wanashinda kwenye kamari kwa sababu hawana ajira wanaishia kunywa viroba kupima cha buku nusu au kunywa banana za jero jero kuondoa stress.ukija kwa kina mama waliokuwa wanauza vitu katika magulio hali ya biashara sio nzuri mizigo mingi wanunuzi hakuna pesa imekuwa ngumu sana.vijana wamemaliza chuo na hawana ajira na bado wadogo zao wanazidi kumaliza shule mtakuja kuwapeleka wapi wote hao kama sio kuwazeesha tu.maisha mnapeana nyie na watoto zenu.anakula mwinyi Kisha anampatia mwinyi.anakula Khadija kopa Kisha anampatia zuchu.je wengine hamtaki wafike mahali pazuri?
Ndege john serekali hata iwe vipi haiwezi kukupa utajiri...hata marekani, urusi, china ,india na nk kuna maskini grade A ,fikiri nje ya box mtu wangu kla kitu nkupambana, komaaa, pigika ipasavyo 'watoto kupauka na serekali wapi na wapi' serekali iwapake mafuta watoto rafiki yangu? ndege john change kesho uwe "faru john"Ukipita mtaani kwetu watoto wa maskini wadogo wanacheza wamepauka hata nguo mpya hawanunuliwi wazazi hela wanazobangaiza zinaishia kwenye kununua sukari robo na chakula.maisha ni magumu kupita maelezo vijana wanashinda kwenye kamari kwa sababu hawana ajira wanaishia kunywa viroba kupima cha buku nusu au kunywa banana za jero jero kuondoa stress.ukija kwa kina mama waliokuwa wanauza vitu katika magulio hali ya biashara sio nzuri mizigo mingi wanunuzi hakuna pesa imekuwa ngumu sana.vijana wamemaliza chuo na hawana ajira na bado wadogo zao wanazidi kumaliza shule mtakuja kuwapeleka wapi wote hao kama sio kuwazeesha tu.maisha mnapeana nyie na watoto zenu.anakula mwinyi Kisha anampatia mwinyi.anakula Khadija kopa Kisha anampatia zuchu.je wengine hamtaki wafike mahali pazuri?
Kiburudisho cha lumumba unatoa ushuzi tu na kitumbo chako kama kifutuHawana watu hawa vibaraka wa mabeberu. Wanakula bure tu hela za wabelgiji
Chadema mbona wanaogopa kurusha live hata mitandaoni mikutano yao ya kampeni? Na hata picha tu wanaleta za jioni sana giza likiwa limeingia? Zinaletwa zikiwa zimefunikwa sura na giza za watu tusizione kwa nini? Mbona hampigi mchana kweupe mnangoja giza liingie na kuzipiga kijanja Jana as if mnaibia ibia kuzipiga
Mbona 2015 hamkuwa na hii tabia?
Nyingine mumefumwa mkiwa mu me edit za 2015 kwa nini muone haya kurusha picha za mikutano yenu kweupe jua linawaka namsubiri giza?
Wawe wanarusha kweupe basi sio kesi nimewaomba tu hasira za nini? Mkuu?Toka lini chadema wakaogopa?