paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Hivi Kwa nini Mgombea wao anahasiraa Kali saaana????
Vipi, kunani!!
Vipi, kunani!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa ku edit picha!CHADEMA mbona wanaogopa kurusha live hata mitandaoni mikutano yao ya kampeni? Na hata picha tu wanaleta za jioni sana giza likiwa limeingia?
Zinaletwa zikiwa zimefunikwa sura na giza za watu tusizione kwa nini? Mbona hampigi mchana kweupe mnangoja giza liingie na kuzipiga kijanja Jana as if mnaibia ibia kuzipiga
Mbona 2015 hamkuwa na hii tabia?
Nyingine mumefumwa mkiwa mu me edit za 2015 kwa nini muone haya kurusha picha za mikutano yenu kweupe jua linawaka mnasubiri giza?
Vyombo vingine pia vya habari vimewasusa Chadema baada ya kuambiwa picha za mkutano wasipige wawe wanasubiri watakazopewa na Chadema wenyewe ziwe video au picha za kawaidaWazee wa ku edit picha!
Angalau TBC wamewafumbia macho waliokuwa hawajui Michezo ya CHADEMA
Wewe unayekula buku Saba za Lumumba bure au ndio unakwaza nininoooooo..Hawana watu hawa vibaraka wa mabeberu. Wanakula bure tu hela za wabelgiji
Swali lingekuwa hivi,mbona vyombo vya habari vinaogopa kurusha habari zao?CHADEMA mbona wanaogopa kurusha live hata mitandaoni mikutano yao ya kampeni? Na hata picha tu wanaleta za jioni sana giza likiwa limeingia?
Zinaletwa zikiwa zimefunikwa sura na giza za watu tusizione kwa nini? Mbona hampigi mchana kweupe mnangoja giza liingie na kuzipiga kijanja Jana as if mnaibia ibia kuzipiga
Mbona 2015 hamkuwa na hii tabia?
Nyingine mumefumwa mkiwa mu me edit za 2015 kwa nini muone haya kurusha picha za mikutano yenu kweupe jua linawaka mnasubiri giza?
Exactly bwege sana mleta madaMsengerema kabisa wewe!!!
Waulize TCRA CCM
TBC gani Tena? Au wale mliowafukuza Sasa umesahau unataka ndo wafanyekazi? Nyumbu hovyo kabisa.Mpuuzi mwingine huyu kwanini usiulize tbc wanafanya kazi gani?? Ujinga uliowajaa mpk kwenye UTI wa mgongo kaukizaneni Lumumba bubu.
Ukilinganisha kampeni za chadema mwaka huu na 2010 & 2015, kuna kitu hakiko sawa. Lisu amekuwa kama katelekezwa.Chadema wanapitia kipindi kigumu Sana ila hawataki kuwa wawazi tu.
Ongeza na mdangaji Jane LowassaYEHODAYA.
JINGA LAO.
KAWE ALMNI.
USSR
MNAKAZI NGUMU SANA NDUGU ZANGU
Haviogopi Chadema haitaki uhuru wa vyombo vya habariSwali lingekuwa hivi,mbona vyombo vya habari vinaogopa kurusha habari zao?
Sheria na miswaada ya hati za dharura zinazokandamiza Uhuru na haki na maendeleo mbona mnaziepuka kuzizungumzia?Haviogopi Chadema haitaki uhuru wa vyombo vya habari
Uhuru wa chombo cha habari ni pamoja na kuruhusu warushe watakavyo chochote au wasirushe wasichotaka
Chadema wanalazimisha kuwa vyombo vya habari lazima warushe picha zao na video zao walizo edit na kama ni mkutano vyombo vya habari lazima viurushe wote watake wasitake sasa uhuru wa vyombo vya habari hapo uko wapi? Wakikataa wanafukuzwa mkutanoni kama TBC walivyofukuzwa SASA uhuru wa chombo cha habari uko wapi hapo?
Sasa kama vyombo vya habari haviruhusiwi kujipigia picha na video za mikutano anytime wasubiri zilizokuwa edited toka Chadema uhuru wao uko wapi?
Miswada yote hiyo ya dharura imepitishwa na bunge wabunge wa Chadema wakiwa wabunge na hakuna mbunge wa Chadema aliyetoka nje ya bunge kupinga mswada wa dharura wowote .Walikuwemo na posho walizitafunaSheria na miswaada ya hati za dharura zinazokandamiza Uhuru na haki na maendeleo mbona mnaziepuka kuzizungumzia?
Wakwetu wakiwa wapiMiswada yote hiyo ya dharura imepitishwa na bunge wabunge wa Chadema wakiwa wabunge na hakuna mbunge wa Chadema aliyetoka nje ya bunge kupinga mswada wa dharura wowote .Walikuwemo na posho walizitafuna
Ali force ugombea uraisi hakupata ridhaa ya makundi yote ndani ya ChademaUkilinganisha kampeni za chadema mwaka huu na 2010 & 2015, kuna kitu hakiko sawa. Lisu amekuwa kama katelekezwa.
Sasa km anajua wanaofanyakazi yakutoa taarifa ndio tvccm siakawaombe wao!! Hapa ngoma inapga Kijiji kea kijiji na salaam mnafikishiwa.TBC gani Tena? Au wale mliowafukuza Sasa umesahau unataka ndo wafanyekazi? Nyumbu hovyo kabisa.