Hiyo ratiba imelenga kumsaidia Halima Mdee Tanganyika Packers na John Mrema Tabata temeke wanaenda tu kukamilisha ratiba waislamu wasione wamewabagua kwenye uzinduzi

Wagombea wengine majimbo mengine ya Chadema mtajijua
 
Chadema media mnashindwa kutoa ajira kwa vijana wa kusambaza habari?

YouTube yenu habari za Lissu zinatoka baada ya masaa 24 tangu aongee na waandishi wa habari.

Mnakwama wapi?

Kama ni pesa njooni PM niwape
 
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
kamanda nini hoja 2

(1) iwepo acct tuchangie kampeni.

(2) watakaojumlisha matokeo ya uchaguzi wafanyie nje ya nchi yasijetijea ya 2015 wakavamiw
 
Nemesubscibe kwenye Uzi huu tayari ili nisipitwe na updates
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…