Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Mnatumia nguvu nyingi kwa Mh LISSU aliyemfanya kipara kurudi gereji kutibiwa ...mbona kuna wagombea wengi tu LIPUMBA,RUNGWE,MEMBE why LISSU?
 
Nasikia wabunge wooote wa Morogoro wa CDM wameshakatwa na NEC.😀
 
Makamu wa Rais (mgombea mwenza) mtarajiwa kupitia chadema Salum Mwalimu leo anatarajiwa kuhutubia maelfu ya wananchi wa wilaya ya Moshi, Siha na Hai ambalo ni jimbo lililo chini ya Chadema.

Screenshot_20200913_101808.jpg
 
Hao wananchi wamehoji lini? Na wapi? Wakati gani?
Tusidanganyane
 
Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Yan Umekaa unahesabu kura kwenye hicho kiTecno chako na ukaziamini?😀

Ingekuwa rahisi hivo mgombea wenu moyo usingesimama!
 
Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
acha kukalili ndugu, hutakiwi kuishi kwa kukalili.
 
Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Hahahahaha !!! Lumumba mmeishiwa hoja mnakuja na viroja!!!

Naskia mnashikana uchawi saivi huko Eti Kuna watu wanamuhujumu mwenyekiti na Chama??? Ya kweli hayo???
 
Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Nakuunga mkono kabisa,
Kwa kata ya masaki peke yake Lissu atapata hizo Kura.
 
Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Lowassa alipata mil 6 sababu zilikuwa kura za vyama vinne vya ukawa. Huyu Lissu atapata laki na nusu.
 
Lissu mwenyewe juzi alikiri kuwa ni vigumu sana kuishinda CCM sasa wewe ni nani na una nini hadi uweze kutoa comment kama hii.

Lissu alisema hivi, katiba haiko upande wetu, jeshi haliko upande wetu, usalama wa taifa na polisi hawako upande wetu, mifumo yote ya nchi haiko upande wetu hata NEC haipo upande wetu, akahoji, sasa hapo unawezaje kushinda? Lakini alisahau kuwa hata viongozi wa dini zote hawako upande wenu.

Haki ya nani sioni sababu ya Magufuli mzee huyu kuangaika na kampeni. Alipashwa alale afu siku ya mwisho aende kwenye tv na radio aombe kura kwa dakika 5 tu.
Ila pia kumbuka raia hawako upande wenu
 
Inaonekana hamkujipanga kabisa miaka mitano ya kampeni na kuwanyanyasa wapinzani lakini bado hamjiamini, hadi mnaenda mapumziko pumzi imekata, mlijua mtateleza tu sasa Lisu anasema ushindi upatikane kwenye sanduku la kura
Yeyote anaepumzika ni pale anapojua ana ushindi tayari?
Mshindani wetu ni sawa na Sumba kupambana na sungura, kwa hiyo hana madhara.
 
Ndugu zangu,

Tundu ameingia mkoa wa Morogoro na sera ya kuahidi haki endapo atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini la kushangaza kila alipopita wananchi wamehoji wakitaka akabadili katiba ya Chadema kwanza iruhusu wanachama kuuhoji uongozi bila kufukuzwa la sivyo ni mwongo.

Hoja hii imemfanya Lissu na timu yake ya kampeni kuwa mbogo wasijue la kufanya hususani kutoa majibu stahiki kwa wananchi walio wengi.

Ama kweli urais sio urahisi.
Delete ccm oct28
 
Back
Top Bottom