NABEEL SADIO
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 352
- 580
Mnatumia nguvu nyingi kwa Mh LISSU aliyemfanya kipara kurudi gereji kutibiwa ...mbona kuna wagombea wengi tu LIPUMBA,RUNGWE,MEMBE why LISSU?Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
UsitupangieMnatumia nguvu nyingi kwa Mh LISSU aliyemfanya kipara kurudi gereji kutibiwa ...mbona kuna wagombea wengi tu LIPUMBA,RUNGWE,MEMBE why LISSU?
Inabidi mjipange Sasa nani awe wa kwanza kuolewa n LISSU maana kijani wote mmetapikwa toka shimoni [emoji3]Usitupangie
Yan Umekaa unahesabu kura kwenye hicho kiTecno chako na ukaziamini?😀Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
acha kukalili ndugu, hutakiwi kuishi kwa kukalili.Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Hahahahaha !!! Lumumba mmeishiwa hoja mnakuja na viroja!!!Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Atakaeshindwa kumaliza kampeni yupo Choto sasaivi!!Sidhani kama atamaliza kampeni kwa aibu anayokutana nayo
Nakuunga mkono kabisa,Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Lowassa alipata mil 6 sababu zilikuwa kura za vyama vinne vya ukawa. Huyu Lissu atapata laki na nusu.Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Ila pia kumbuka raia hawako upande wenuLissu mwenyewe juzi alikiri kuwa ni vigumu sana kuishinda CCM sasa wewe ni nani na una nini hadi uweze kutoa comment kama hii.
Lissu alisema hivi, katiba haiko upande wetu, jeshi haliko upande wetu, usalama wa taifa na polisi hawako upande wetu, mifumo yote ya nchi haiko upande wetu hata NEC haipo upande wetu, akahoji, sasa hapo unawezaje kushinda? Lakini alisahau kuwa hata viongozi wa dini zote hawako upande wenu.
Haki ya nani sioni sababu ya Magufuli mzee huyu kuangaika na kampeni. Alipashwa alale afu siku ya mwisho aende kwenye tv na radio aombe kura kwa dakika 5 tu.
Yeyote anaepumzika ni pale anapojua ana ushindi tayari?Inaonekana hamkujipanga kabisa miaka mitano ya kampeni na kuwanyanyasa wapinzani lakini bado hamjiamini, hadi mnaenda mapumziko pumzi imekata, mlijua mtateleza tu sasa Lisu anasema ushindi upatikane kwenye sanduku la kura
Delete ccm oct28Ndugu zangu,
Tundu ameingia mkoa wa Morogoro na sera ya kuahidi haki endapo atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini la kushangaza kila alipopita wananchi wamehoji wakitaka akabadili katiba ya Chadema kwanza iruhusu wanachama kuuhoji uongozi bila kufukuzwa la sivyo ni mwongo.
Hoja hii imemfanya Lissu na timu yake ya kampeni kuwa mbogo wasijue la kufanya hususani kutoa majibu stahiki kwa wananchi walio wengi.
Ama kweli urais sio urahisi.
Ungeanza wewe kujihurumia kwanza na Ukilaza wakoUnajidhihirisha ulivyo utopolo kwa huyo rolimodo wako.
Nakuhurumia sana
Alisikika Kilaza mmoja AkisemaPole sana lissu anashinda kabla ya tarehe 28 kuna mgombea atakufa