Endelea kuotaDelete ccm oct28
Kwao Uhuru,haki na maendeleo ndio mpango mzima,hats waunga juhudi walihakikishiwa haki yao hiyo.Ndugu zangu,
Tundu ameingia mkoa wa Morogoro na sera ya kuahidi haki endapo atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini la kushangaza kila alipopita wananchi wamehoji wakitaka akabadili katiba ya Chadema kwanza iruhusu wanachama kuuhoji uongozi bila kufukuzwa la sivyo ni mwongo.
Hoja hii imemfanya Lissu na timu yake ya kampeni kuwa mbogo wasijue la kufanya hususani kutoa majibu stahiki kwa wananchi walio wengi.
Ama kweli urais sio urahisi.
"Utakuwa umetoka Mirembe"Hakuna kura za huruma
Singida kura zote kwa Rais Magufuli
Hapa ndipo tunaanza kuwatafuta wazalendo halisi na wazalendo maslahi na semi mbalimbali.Wanasingida wakipigia kura Chadema watajirudisha nyuma kimaendeleo
Ni ushauri tu
Subiri uone Kwanza mbunge wa CCM akishinda ntashangaa Sana kwa jinsi alivyokataliwaHakuna kura za huruma
Singida kura zote kwa Rais Magufuli
Wanasingida wakipigia kura Chadema watajirudisha nyuma kimaendeleo
Ni ushauri tu
Uko sahihi hiyo milioni 6 haikuwa ya Chadema pekeeLowassa alipata mil 6 sababu zilikuwa kura za vyama vinne vya ukawa. Huyu Lissu atapata laki na nusu.
" Kama hukutoroshwa Basi umetoka Mirembe"Wabunge 99% ni ccm
Hiki ndio Kiingereza mnachofundishwa na Lisu?Uvccm on the work!
Hii mbojo imefungiwa mahali inakyla unga" Kama hukutoroshwa Basi umetoka Mirembe"
Ccm miaka 60 Singida inafanana hivyo !!. Si bora kuwanyima tuWanasingida wakipigia kura Chadema watajirudisha nyuma kimaendeleo
Ni ushauri tu
huyo hata laki tatu hapatiKama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Mjini sawa barabara na taa zipo. Mleta mada anazungumzia wilayani na vinijiniSingida inapendeza sana sasa, Rais Magufuli ameifanyia makubwa labda km hujafika singida
Kilaza Yuko Chato [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Alisikika Kilaza mmoja Akisema