Magufuli yuko Chato anakula udaga kwa Raha tu kawaacha wahangaike na eti wametuma poyoyo wao Salum Mwalimu aokoe jahazi.
 
Yes, msukuma yeye ameshaomba hadi kwa kilugha apate yeye kura zote za wasukuma na wasimpe mtoto wa nje , So na wasingida nao wana mtoto wao, hakuna haja ya kuhangaika na mtoto wa kambo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…