Kwaiyo unatakaje?? Wewe inakuuma nnKuna aibu kubwa inakuja kwa Chadema mwaka huu
Singida haijawahi kuendelea ccm ikiwa madarakaniWanasingida wakipigia kura Chadema watajirudisha nyuma kimaendeleo
Ni ushauri tu
Wako wawili tu wanajifanya wengiii.Huyo Akipata 20% Ujue Kashinda. Anajazwa upepo na Vibendera wa mitandaoni wenye ID Tano tano.
Yaani hakuna Uchaguzi Rahisi kama huu tukea Uhuru
Nashangaa sana. Yaani hadi Gentamicin na Gussie wameikacha ccm mwaka huu.ndegaJOHN umeihasi CCM?
Magufuli yuko Chato anakula udaga kwa Raha tu kawaacha wahangaike na eti wametuma poyoyo wao Salum Mwalimu aokoe jahazi.Lissu mwenyewe juzi alikiri kuwa ni vigumu sana kuishinda CCM sasa wewe ni nani na una nini hadi uweze kutoa comment kama hii.
Lissu alisema hivi, katiba haiko upande wetu, jeshi haliko upande wetu, usalama wa taifa na polisi hawako upande wetu, mifumo yote ya nchi haiko upande wetu hata NEC haipo upande wetu, akahoji, sasa hapo unawezaje kushinda? Lakini alisahau kuwa hata viongozi wa dini zote hawako upande wenu.
Haki ya nani sioni sababu ya Magufuli mzee huyu kuangaika na kampeni. Alipashwa alale afu siku ya mwisho aende kwenye tv na radio aombe kura kwa dakika 5 tu.
Ccm ya Nini haina maana miaka 50 imefanya upupu tuNdege John tangu umeokoka ukaamua kuachana na dhambi umekuwa mtumishi mzuri ndani ya muda mfupi.
Sio kalemani peke ake hata jafoo waongo vituo vya afya wamekarabati wanasema wamejengaKwahiyo Dr Kalemani anatulaghai kuhusu umeme!
Hebu tuhadithie kidogo nini hasa kimekufanya umepiga U-turn haraka hivi?Ccm ya Nini haina maana miaka 50 imefanya upupu tu
Sio kalemani peke ake hata jafoo waongo vituo vya afya wamekarabati wanasema wamejengaKwahiyo Dr Kalemani anatulaghai kuhusu umeme!
Vingi ni vile vilijengwa wakati wa kikwete vilikuwa kwenye hatua za mwisho mwishoSio kalemani peke ake hata jafoo waongo vituo vya afya wamekarabati wanasema wamejenga
Nilikuja na Uzi hapaVingi ni vile vilijengwa wakati wa kikwete vilikuwa kwenye hatua za mwisho mwisho
Huwezi kuwaona hata waziri wa afya Ummy mwalim hawezi. Maana havipo wanavitaja kwa maneno tuNilikuja na Uzi hapa
Nilipendekeza watoe orodha ya vituo vya afya nchi nzima
Lile jengo ni aibu aisee si manispaa walibomoee?Singida yote safari hii tunaongelea habari ya chadema.Ccm mda wake umepita.
Hata ofisi wameshindwa kumalizia limekuwa hamokuu.
Kijana wetu walimpiga risasi kwa uonevu tu.Hamponi walahi!