Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 1,271
- 1,604
Ni kweli ndugu,tulikuwa tunasikia mabarabara,madaraja sijui mandege,sasa hivi ukimwambia mtu habari hizi unaonekana kitukoKabla ya huyu mwamba kurejea toka ulaya watu wengi walikuwa wamekata tamaa kabisa na walishafanya maamuzi kwamba huu mwaka hawatapiga kura. Ila baada ya Lissu kurudi tu na kutangaza kwamba atapambana na jiwe watu wameonyesha imani kubwa kwake na sasa wameamua kwenda kupiga kura kwa wingi ili kuiondoa ccm madarakani.
Lissu ndio habari ya mjini kwa sasa. Ni Yeye2020
Hivi wale makutano kwa mikutano ya Lissu Ni masanamu?Na hata urais atashinda wa mitandao ya kijamii
Naungana nawe ndg.Bado najiuliza Mungu ana Makusudi gani na hii nchi.
Nipo kwenye maombi ya kumg'oa dikteta Uchwara.
Sikuwahi piga kura maisha lkn October mapema nakwenda kulisambaratisha jiwe kwa nyundoBado najiuliza Mungu ana Makusudi gani na hii nchi.
Nipo kwenye maombi ya kumg'oa dikteta Uchwara.
Maneno ya kujifarijiAtashinda jamiiforums kabla ya October, 28. Baada ya hapo wengi wa wafuasi wake watabadili majina
Tayari uzi,pathetic#Ni yeye , Tundu A Lissu ndio anauzika hapa Tanzania kwenye Chaguzi za mwaka huuu 2020 kuliko habari yoyote ile.
Farhia Middle, Leo ameanza na Habari pendwa ya Tundu Lissu,
Uzi tayari.
Ila kusema kweli Mh Rais anatisha"Kwa kipindi cha miaka mitano tupo salama zaidi kumjadili mungu kuliko JPM"-Lissu
Kwani Slow slow ana umri gani ?!Kwani Yericko Nyerere anasemaje?
ITV imejiongezea watazamaji Mara dufu, Heko ITV ile kauli ya tume kuhusu usawa katika habari za uchaguzi katika kila chama imekuwa ahueni.Anajua kuvutia watazamaji, wameifanya ITV ianze kupendwa tena, hasa baada ya yale mahojiano kati ya Lissu na Farhia.
Ulichelewa sana kuli 'Note' hili.Nikili wazi kwamba tangu Tundu Lissu arejee na kupitishwa na tume ya taifa ya uchaguzi ameweza kubadilisha upepo wa siasa hapa nchini...