Tulia sindano iingie vizuri.pongezi nyingi kwa Lissu.View attachment 1571780
Kama hujui nenda ka google!
Hapa alikuwa ameshazomewa na kuamrisha watu wakamatwe?
Don't arque with a fool people might not notice the difference!!Kwann nifanye hivyo wakati ww uliesema unayajua usituambie?
Au hata ww unangelea maendeleo ambayo huyajui
Lete video clip wewe!! Acha mapovu!Hapa alikuwa ameshazomewa na kuamrisha watu wakamatwe?
Wagombea wa CCM kama Tapeli Gwajima inabidi wacheze singeli na kufanya ujinga mwingine maana Sera hawana, Ilani haieleweki.Mwaka huu chadema wanakamilisha ratiba, mitandao ya kijamii wanaeneza fake images.
Chezea wahaya wewe 🤣🤣🤣Lete video clip wewe!! Acha mapovu!
Aliamua kuingia kariakoo ili apige selfie kuonyesha ana watuWatu wa DAR ES SALAAM huwa hawajifichi wakiamua kukudharau wala hawakufichi ona huu msafara wa Lisu siku unaenda kwenye uzinduzi wa kampeni MBAGALA ulivyodharaulika na watu wa Dar es salaa hadi unaingia uwanjani njia nzima watu walionyesha kutokujali wala kuwa na habari naye ndio maana akakimbia mji kukimbilia mikoani kwa aibu...
Mkuu huo ndio ukweli lakiniHuna Kazi, njaaaa nyingi
Unakaa kwa baba yako
Alafu unakua na tope kichwan kama hivi.
Haina ubishi kwamba Magufuli amefanya mambo makubwa sana katika Tanzania yetu
Uchumi wa kati sasa tumefika
Treni za umeme nazo zitafika
Tanzaniaaa say inasongaaa
Bwawa kubwa la umeme nalo linajengwa
Umeme wa uhakika nao tutapata
Magufuli ndiye kiongoziiiiiii
CCM number one.
Tanzania number one
Magufuliiiii number oneeeeee
Huyu ndiye kiongozi
mwenye msimamo
wala hayumbishwi
Mzalendo mcha Mungu na wapinzani wanajua kura watampa zoteee Magufuli number one ni Rais wa Africa.
ii imechukua muda sana kupata kiongozi
Ru Rushwa ilikisiri maadili mabaya kazini
Mwa mwamba Magufuli hayo yote katowesha.
He've made a history we never been at
Le let's join him, Magufuli ni Kiongozi
Le let's vote for him, Magufuli ndiye Rais.
Kichwani mwako hamna kitu kabisa😂😂😂Mkuu huo ndio ukweli lakini
Mataga Lissu anawapeleka puta!Jibu hoja msaliti hana mvuto Dar!
Amini nakwambia magufuli anaweza kunyimwa kura hata na mke wake tu!!! Tena hao CCM wengi ndo watamchagua Lissu!!Haina ubishi kwamba Magufuli amefanya mambo makubwa sana katika Tanzania yetu
Uchumi wa kati sasa tumefika
Treni za umeme nazo zitafika
Tanzaniaaa say inasongaaa
Bwawa kubwa la umeme nalo linajengwa
Umeme wa uhakika nao tutapata
Magufuli ndiye kiongoziiiiiii
CCM number one.
Tanzania number one
Magufuliiiii number oneeeeee
Huyu ndiye kiongozi
mwenye msimamo
wala hayumbishwi
Mzalendo mcha Mungu na wapinzani wanajua kura watampa zoteee Magufuli number one ni Rais wa Africa.
ii imechukua muda sana kupata kiongozi
Ru Rushwa ilikisiri maadili mabaya kazini
Mwa mwamba Magufuli hayo yote katowesha.
He've made a history we never been at
Le let's join him, Magufuli ni Kiongozi
Le let's vote for him, Magufuli ndiye Rais.
Sawa bhana ila ule ndio ukweli mkuuKichwa
Kichwani mwako hamna kitu kabisa😂😂😂