Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Tatizo siyo wao . Wamewekewa mtutu kisogoni mwa miradi yao (tcra)Inaskitisha kuona media za nchi hii kujifanya hazioni nguvu kubwa na kukubalika kwa Tundu Lisu, leo magazeti mengi hayajaripoti Wala kuweka tu picha za Tundu Lisu alipokuja Tunduma. Swali la kujiuliza, nikweli bado media zinatishwa au niuoga na kujipendekeza kwa serikali?
# Muwe na upendo kwa vyama vyote, Lisu anaweza kuwa Raisi wako, hata asipokuwa Raisi, amejitahidi kuwafumbua macho watanzania nasasa watu hawashangazwi na miladi ya serikali kwani Haina tofauti na awamu zilizowahi kupita.
issue waandike nini alichosema? hela alizoomba kwa wafanyabiashara na kutishia kuwa haaendelea na kampeni wasipomchangia ? au waandike nini
Haongelei sera unatarajia waandishi waandike au watangaze kitu gani?
waandike na kutangaza alivyocheza muziki wa bob marley au?
Hizo media zimpe attention kafanya nini?. Kuwasema vibaya viongozi wako,ni jambo la kizalendo?. Sidhani kama media yoyote smart inaweza kufanya unavyofikiri.
Wote watatu mnawakilisha akili za kishetani zinazowasumbua watu wa Ccm. Hiki ni kipindi cha campaign. Mgombea kupewa nafasi ya kuwafikia watu ni pamoja na kupewa nafasi kwenye vyombo vya habari.Wagombea wapo wengi,sio lazima kuweka habari za Lissu kila mara.kwani Lissu ni nani mpaka kila siku na yeye awepo kwenye habari.kalifanyia nini hili taifa la Tanzania mpaka apewe umuhimu kama mnavyotaka nyinyi.
Ukweli ni kwamba magu hapendwi kabisa hata ndani ya ccm ni unafiki tu umejaa watu wanatafuta upenyo.Ameandika mdau @dr.johnheshima huko mjini Instagram
Ni swali jepesi lenye jibu la ndio au hapana, lakini kabla hujajibu linahitaji tafiti isiyo rasmi kujihakiki.
Iko hivi, bi mkubwa, mamaake mwenyewe yupo mjini baada ya kaziara kafupi ka kuwatembelea marafiki zake wa zamani miji kadhaa ya kusini mpaka Kaskazini mwa Tanzania(kama mgombea vile [emoji23])
Wakati tumekaa tukipiga stori jinsi alivyoona mabadiliko ya nchi, maana kuna miji imepita miaka 20 tangu alipoenda mara ya mwisho. TBC wakawa wanaonyesha nyomi la kampeni za @tunduantiphaslissu akiwa Mbarali. Nikamsikia akisema "NINGETAMANI APITE KASULU NIKIWA NIMERUDI, NAMI NIKAMUONE" Basi nami nikamjibu kimasikhara tu "tuombe uzima utamuona tu mama yangu, bado kuna miji mingi mnaweza kukutana huko"
Baada ya kumjibu hivyo huku TBC wakamuonesha rais Magufuli akimvisha kofia mwanamuziki @officialalikiba__ akaniuliza ile kofia ni ya nini!? Nikamjibu ni zawadi ya heshima na sio yeye wakwanza alishamvisha diamondplatnumz na @harmonize_tz akauliza tena mbona mikutano ya @chadematzofficial sioni wasanii!?
Nikamjibu hawana na nyomi wanakusanya na hapo hapo nikamuuliza "mama unampenda Sana Lissu" jibu lake ndio lilonifanya nijiulize HIVI NI KWELI!? Nikaona sio mbaya nikawauliza na ndugu zangu hapa
HIVI NI KWELI!?
Mama Alinijibu hivi "SIO KWAMBA NAIPENDA CHADEMA WALA LISSU, NAMPENDA SANA MAGUFULI ILA NATAKA KUMUONA LISSU MAANA SIMFAHAMU NA NIKASHANGAE MIUJIZA YA MUNGU...
Hata Lissu akikesha kwenye media anaongea,lakini ukweli ni kwamba hawezi shinda uchaguzi.Wote watatu mnawakilisha akili za kishetani zinazowasumbua watu wa Ccm. Hiki ni kipindi cha campaign. Mgombea kupewa nafasi ya kuwafikia watu ni pamoja na kupewa nafasi kwenye vyombo vya habari.
Huyo wenu tangu 2016 amepewa kavareji hata akishiriki ibada. Lakini haijawafanya WaTz wawasahau wapinzani wake . Hata kwenye campaign hizi atangazwe peke yake lakini bado ushindi wake ni wa kutengeneza na kulazimisha
Sasa campaign na uchaguzi wa nini kama kura hazina maana ?!.Hata Lissu akikesha kwenye media anaongea,lakini ukweli ni kwamba hawezi shinda uchaguzi.
ondoa robo ya kura za CCM kisha apewe Lissu bado hawezi shinda.kupewa nchi ni zaidi ya kupiga kura.umenielewa bwana Omera?.
Hizo ni media za Fisiemu, ni sehemu ya Mfumo kandamizi, tunapambana nao piaInaskitisha kuona media za nchi hii kujifanya hazioni nguvu kubwa na kukubalika kwa Tundu Lissu, leo magazeti mengi hayajaripoti wala kuweka tu picha za Tundu Lissu alipokuja Tunduma. Swali la kujiuliza, ni kweli bado media zinatishwa au ni uoga na kujipendekeza kwa serikali?
# Muwe na upendo kwa vyama vyote, Lissu anaweza kuwa Rais wako, hata asipokuwa Rais, amejitahidi kuwafumbua macho Watanzania na sasa watu hawashangazwi na miradi ya serikali kwani haina tofauti na awamu zilizowahi kupita.
"Kiongozi akiwa bora sio wa kubadilisha kama nguo" mwalimu nyerere ,kila vyombo vya habari vinahepuka hilo.Inaskitisha kuona media za nchi hii kujifanya hazioni nguvu kubwa na kukubalika kwa Tundu Lissu, leo magazeti mengi hayajaripoti wala kuweka tu picha za Tundu Lissu alipokuja Tunduma. Swali la kujiuliza, ni kweli bado media zinatishwa au ni uoga na kujipendekeza kwa serikali?
# Muwe na upendo kwa vyama vyote, Lissu anaweza kuwa Rais wako, hata asipokuwa Rais, amejitahidi kuwafumbua macho Watanzania na sasa watu hawashangazwi na miradi ya serikali kwani haina tofauti na awamu zilizowahi kupita.
Mkuu Juzi hilda alingea kitu kimoja kwamba wanatamani iwe hivyo na wameenda law vyombo kadhaa kuwaomba lakini wahairi wanasema mkulu anawapigia wamiliki wa vyombo vya habariTumewaomba sana, sasa inatosha
Mkuu Juzi hilda alingea kitu kimoja kwamba wanatamani iwe hivyo na wameenda law vyombo kadhaa kuwaomba lakini wahairi wanasema mkulu anawapigia wamiliki wa vyombo vya habari
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Demokrasi ya kweli utaipata wapi duniani?,Trump amewaonya Democracy wasijaribu kucheza na sanduku la kura,kuna kitu ameona ndo maana akatoa onyo sembuse africa?Sasa campaign na uchaguzi wa nini kama kura hazina maana ?!.
U communist ni laana ktk nchi yoyote duniani. Nchi zote zilizofanikiwa duniani ni zile za ki democracy ya kweli .
Kule kwa kina Trump , Taasisi za kusimamia chaguzi zina nguvu kuliko Rais au mtu yeyote. Matamshi yake hayana maana ktk process zao za uchaguzi . Na ndiyo maana yeye (Trump) alimshinda mgombea wa chama tawala wakati huo 2016 . Kwa hiyo mkwara wake hauna maana .Demokrasi ya kweli utaipata wapi duniani?,Trump amewaonya Democracy wasijaribu kucheza na sanduku la kura,kuna kitu ameona ndo maana akatoa onyo sembuse africa?.
hata ndani ya Chadema hakuna demokrasia ya kweli ni uhuni tu umejaa.
Nakubaliana na wewe,demokrasia yetu bado ni changa sana,mpaka ndani ya vyama kama CCM,Chadema,Cuf n,k.Kule kwa kina Trump , Taasisi za kusimamia chaguzi zina nguvu kuliko Rais au mtu yeyote. Matamshi yake hayana maana ktk process zao za uchaguzi . Na ndiyo maana yeye (Trump) alimshinda mgombea wa chama tawala wakati huo 2016 . Kwa hiyo mkwara wake hauna maana .
Kwetu hapa mgombea anawateulia tume ya uchaguzi !!. Kichekesho na dhihaka ktk mfumo wetu wa uchaguzi
Ni Tanzania pekee mtu anatukana viongozi, watendaji wa serikali , vyombo vya usalama, taasisi zote na bado akaruhusiwa kugombea Urais.Hizo media zimpe attention kafanya nini? Kuwasema vibaya viongozi wako, ni jambo la kizalendo? Sidhani kama media yoyote smart inaweza kufanya unavyofikiri.