technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Aliingizwa choo chakike na walomuambia tununue upinzaniUnaambiwa Magu alali usiku kucha na ameanza kuwa na hofu kwamba watu watamsaliti ndani ya CCM
Hali Ni tete.
Haya sawa nazani ni kinyume chake sasa ccm MNA hali mbaya ila mnajikaza tuKwahiyo kupiga kwako kura ndio unaona ccm itaondoka?
Umejiuliza huko ccm wameongezeka wapiga kura wapya wangapi?
Chadema mna hali mbaya sana huku mtaani yani sijui mnajivunia nini
Wengine ni wakina nani ?Walotendewa kama Lissu na wakawa hai hawajawahi kuukosa urais
Kwakweli nmeamin nakila siku naendelea kuliamin hili.Lissu ni mpango wa Mungu Kwa Watanzania. Tumpe kura zote mwaka huu
Huwezi kufanya biashara ya utumwa wa binadam katika ulimwengu huu na nyakati hizi. Lazma uvune fedheha!!!Aliingizwa choo chakike na walomuambia tununue upinzani
Kufikia 2020 utakua haupo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna muda anajiuliza "Hivi hawa ndio wale nilikuwa nasimama barabarani wananieleza shida zao nawatatulia halafu wananishangilia..??!!"Magufuli macho yananvimba kwa kukosa usingizi. Anaangalia clip za nyomi za Lisu mwanzo mwisho mpk kunakucha.
Magufuli bye bye !!!!!
Aaaaaaaah aah πππ[emoji3][emoji3][emoji3]Kupata vichekesho kama hivi andika neno BAVICHA kisha tuma kwenda mamba 28/10/2020
Na itatuchukua miaka zaidi ya 50 au 100 kumpata mtu dizaini yake.Lissu amekuwa Role model wa vijana...ni mtu hodari sana!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Walioongezeka ccm ni wale wanaongoja Ajira??Kwahiyo kupiga kwako kura ndio unaona ccm itaondoka?
Umejiuliza huko ccm wameongezeka wapiga kura wapya wangapi?
Chadema mna hali mbaya sana huku mtaani yani sijui mnajivunia nini
Mwandishi habari wa DW alimhoji m-TZ mmoja sababu ya watu kuja kusikiliza. Jibu lake lilikuwa ni rahisi. Hiki ni kiangazi, hakuna kilimo. Watu wanakuja kama sehemu ya mikusanyiko na wengine wanakuja kumuona anawezaje kutembea baada ya kupigwa risasi. Ikifika Octoba 28 ndo utajua maana ya umati huo.Ivi ni mimi tuu?? Au mawani nayovaa ndio yanayonichanganya???
Ivi Wakuu Huu mvumo na upepo wa kisurisuri, gharika, ngurumo wa Lissu unakujaje ????
Wakuu Ivi ni mimi tu nayejiuliza hili NYOMI la Lissu SUMBAWANGA amelitoa wapi?????
Nauliza wakuu, Toka nianze mfatilia Lissu ktk kampeni, UKWELI NIKWAMBA KILA SIKU NYOMI LAKE LINAONGEZEKA MAELFU NA MAELFU
Embu basi mniambie , Wanasombwa na maBus ?? Malori?? Matrekta???? Kuna WASANII?????.
HAYA MAHABA ANAYOPEWA LISSU NA WANANCHI HAYA , NIYAPIMEJE ??
Jamaani Upinzani umepigwa miaka 5 ,wakapigwa bungen, wakapigwa kwa vyomboa vya habari, wamepigwa kila mahali, hamna sehem ambayo CHADEMA walipua, yaan CCM ilikua imeshajihakikishia
TUNDI LISSU NI ZAIDI YA LOWASSA .
WAKUU NAWA AHIDI, 28/10/2020 , ASUBUHI KABISA
-Mimi na Mzazi mwenzangu lazima tumpe kura T.LISSU.
-Mama yangu lazima ampe Lissu Kura. Mzee wangu ( Prof) naye wajumbe wakamla Kichwa kupitia CCM alitaka ubunge naye LAZIMA NIMWAMBIE AMPE KURA LISSU .
-- KAKA ZANGU na wote ninaowafahamu Ndugu rafiki jamii, lazima nao naanza kuwashawishi WAMPE LISSU KURA.
TUNDU LISSU ANANIPA AMANI SANA.
yaan sitaki hata hayo maendeleo alete, nataka tu kuona
CCM wametoka madarakani
UHURU kuanzia vyombo vya habari ,haki za watu
UHURU WA KUKOSOA SERIKALI.
NB.. KUANZIA LEO, WAGONJWA WOTEEEE NITAOKUTANA NAO ,NITAWASHAWISHI KABISA, KWA MOYO WANGU WOTE WAMCHAGUE LISSU.( Na uzuri wanajua madawa hamna, serikali inadaiwa na MSD mabilion na mabilion ya kitz).
HUYU MTU, ALIYEMUOKOA NJE YA RISASI 18, NAONA ANA MAKUSUDI NA MPANGO NAYE.
Mimi ni nani sasa wakupinga?? Mimi ninani sasa nisimuunge mkono???
Kama nawee umeona kama mimi,, RT mpaka MATAGA wa JF wajue Lissu ni MWAMBA.
Hapa ni video ya Sumbawanga mkuu YEHODAYA johnthebaptist na Elitwege watasema tumechakachua ya Lowassa ila shega tuu wala hatunaga nongwa sisipicha plz ! wengine tunakosa muda wa kuangalia tv
Nimekufuatilia. Kila post yako, haina analysis yoyote zaidi ya ushabiki na matumaini ya Lissu kushinda urais. Ni haki yako lakini unaondoa maana ya JF. Ulistahili uwe analytical; uoneshe uelewa wako. Unafikia hatua unaandika hata mambo yasiyo na ushahidi kama haya. Ukiulizwa toa mfano unakaa kimya.Walotendewa kama Lissu na wakawa hai hawajawahi kuukosa urais