Hapana TL ni shida ,watanzania wote m 50+ kila mmoja alikuwa anamuogopa Meko kuliko chochote lakini TL haogopi chochote na hii nadhani ni baada ya kukoswa risasi 16
Hawa hata ukiwatazama, wanatimiza matakwa ya mioyo yao. Siyo kama wale wanaohudhuria mikutano ya Magufuli - wengi nyuso zao zinaashiria kulazimishwa kuhudhuria mikutano yake.