Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Hapa ni njiani GEITA NYANKUMBU... MDAA HUUU wanawake, wazee, vijana kwa watoto wanamsubiri wakiimba jina la raisi....
 

Attachments

  • IMG_20200923_185938.jpg
    IMG_20200923_185938.jpg
    218.1 KB · Views: 1
  • IMG_20200923_185643.jpg
    IMG_20200923_185643.jpg
    248.8 KB · Views: 1
  • IMG_20200923_190144.jpg
    IMG_20200923_190144.jpg
    218.9 KB · Views: 1
Hapana TL ni shida ,watanzania wote m 50+ kila mmoja alikuwa anamuogopa Meko kuliko chochote lakini TL haogopi chochote na hii nadhani ni baada ya kukoswa risasi 16
Hata kabla ya kushambuliwa hakuwahi kumuogopa, tayari alikuwa amefunguliwa kesi 8 zote zenye maudhui ya uchochezi kwa kumkosoa na kumsema Meko.
 
Back
Top Bottom