Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Barikiwa mpendwa. Tunza kadi yako.Amebaki kujibaraguza kugeuza kofia ili aonekane wa MUJINI na kuruka kuruka kwa nyimbo za zuchu. Nimetoka Twitter kuwachapa maccm za uso.
ningependelea mdahalo uwepo kwa wagombeaBaada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.
Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasahivi inauzwa 3000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.
Rais gani wa wanyonge design hii?"
Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu Leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! Halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?
Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?
My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa
Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
unazungumzia vichinjio?Barikiwa mpendwa. Tunza kadi yako.
Ila kwani jiwe akukuta kilo ya sukari Tsh 1800? Au Lissu muongo?Tunahesabu siku tu, ngonjera zote hizi zina mwisho wake.
Kweli mkuu kila mtu alikua ameufyata kulinda uhai wake lakini lisu kwa kua ameshapita katika bonde la uvuli wa mauti hana tena cha kuhofiaHapana TL ni shida ,watanzania wote m 50+ kila mmoja alikuwa anamuogopa Meko kuliko chochote lakini TL haogopi chochote na hii nadhani ni baada ya kukoswa risasi 16
Wacha ageuzwe geuzwe nasikia ashalegeaBaada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.
Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasa hivi inauzwa 3,000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.
Rais gani wa wanyonge design hii?"
Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?
Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?
My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa
Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
Sitaki kuamini kwamba wanaccm hawana akili kiasi cha kumpa Kura magufuli,Tunahesabu siku tu, ngonjera zote hizi zina mwisho wake.
Kwa hiyo mkuu hayo aliyoyasema Lissu siyo ya kweli? Kwa kweli ninyi watu sitaki kuamini ni empty heads hivi,yaani Kuna mtu anataka magufuli aendelee kuwa rais wa nchi hii?Shamenyie kaeni mnatiana ujinga hapa,siku ikifika mtaanza kutafuta mchawi muambiwe wameokoka wote.
Kuna hili suala la cheti chake cha kuzaliwa Hakuna mccm yeyeto amelijibu wanarukaruka tu Kama maharagwe ya gwajimaMagufuli ana hali mbaya sana,maana mambo ambayo alijua hakuna wa kuuliza,sasa yamepata mtu sahihi Lissu
Haya ajibu sasa tuone
Kwa hiyo mkuu hayo aliyoyasema Lissu siyo ya kweli? Kwa kweli ninyi watu sitaki kuamini ni empty heads hivi,yaani Kuna mtu anataka magufuli aendelee kuwa rais wa nchi hii?Shame
Hata wewe naona umeanza kulegea na kushika adabu. Maandishi yako yaliyoonesha ukilaza wako, yaliyokuwa yanatuumiza macho ghafla hayaonekani tena na huku hizi bado ni rasharasha tu ngoja zianze za vuli, mtapotelena na mawe yenu. Kakimbia YEHODAYA kaingia Wacha1!Tunahesabu siku tu, ngonjera zote hizi zina mwisho wake.
Jiwe amebaki kucheza mziki tu jukwaani, hana sera zenye mvuto
Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.
Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasa hivi inauzwa 3,000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.
Rais gani wa wanyonge design hii?"
Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?
Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?
My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa
Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.