Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.

Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasahivi inauzwa 3000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.

Rais gani wa wanyonge design hii?"

Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu Leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! Halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?

Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?

My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa

Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
ningependelea mdahalo uwepo kwa wagombea
 
Hapana TL ni shida ,watanzania wote m 50+ kila mmoja alikuwa anamuogopa Meko kuliko chochote lakini TL haogopi chochote na hii nadhani ni baada ya kukoswa risasi 16
Kweli mkuu kila mtu alikua ameufyata kulinda uhai wake lakini lisu kwa kua ameshapita katika bonde la uvuli wa mauti hana tena cha kuhofia

Leo huko kagera naskia kamwambia arudishe shamba la heka 25k alilopora kutoka kwa wananchi
 
Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.

Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasa hivi inauzwa 3,000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.

Rais gani wa wanyonge design hii?"

Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?

Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?

My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa

Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
Wacha ageuzwe geuzwe nasikia ashalegea
 
nyie kaeni mnatiana ujinga hapa,siku ikifika mtaanza kutafuta mchawi muambiwe wameokoka wote.
 
Afrika mashariki plus Sudan kusini mtu mwenye uwezo wa kujibu hoja bila msaada wa polisi Ni Uhuru Kenyatta pekee wote waliobaki ni weupe kwenye reasoning
 
nyie kaeni mnatiana ujinga hapa,siku ikifika mtaanza kutafuta mchawi muambiwe wameokoka wote.
Kwa hiyo mkuu hayo aliyoyasema Lissu siyo ya kweli? Kwa kweli ninyi watu sitaki kuamini ni empty heads hivi,yaani Kuna mtu anataka magufuli aendelee kuwa rais wa nchi hii?Shame
 
Kwa hiyo mkuu hayo aliyoyasema Lissu siyo ya kweli? Kwa kweli ninyi watu sitaki kuamini ni empty heads hivi,yaani Kuna mtu anataka magufuli aendelee kuwa rais wa nchi hii?Shame

lissu kuongea ukweli na kushinda au kumpa pressure magufuli ni vitu viwili tofauti.

swala la lissu kushinda uchaguzi huu halipo,hata yeye analijua hilo.
 
Tunahesabu siku tu, ngonjera zote hizi zina mwisho wake.
Hata wewe naona umeanza kulegea na kushika adabu. Maandishi yako yaliyoonesha ukilaza wako, yaliyokuwa yanatuumiza macho ghafla hayaonekani tena na huku hizi bado ni rasharasha tu ngoja zianze za vuli, mtapotelena na mawe yenu. Kakimbia YEHODAYA kaingia Wacha1!
 
Mecco anachezea spana za hatari ana laani Sana waliokosea target
 

Attachments

  • FB_IMG_1600852742662.jpg
    FB_IMG_1600852742662.jpg
    27.7 KB · Views: 1
Kumbukeni kikokotoo kipya kinaanza tumika mwakani Ni baada ya kuzifilisi mifuko ya wafanyakazi michango yao kujengea chato, ukistaafu huna upatacho.
 
Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.

Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasa hivi inauzwa 3,000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.

Rais gani wa wanyonge design hii?"

Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?

Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?

My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa

Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.

Wewe ni mwanafunzi katika uchambuzi wa siasa. Lissu kwa kauli hizo anampandisha chati Magufuli huku akijichimbia kaburi lake.

Ni Mtanzania anayetoka nje ya nchi, kama Lissu aliyekuwa nje ya nchi, anaweza kutamka vioja hivyo akaamini ni HOJA.

Ati sukari, ati kahawa! Du!
 
Back
Top Bottom