Baada ya CHADEMA kuona kwenye viwanja hamna nyomi waanza kuzungusha misafara ya Lisu masokoni,kwenye vijiwe vya bodaboda mitaa ya machinga ili awapungie mikono picha walau zionyeshe kuwa apokelewa na maelfu kumbe anayafuata yaliko kabla kufika viwanja anakohutubia!! yaani analazimisha kupokelewa kwa kuwafuata watu huko huko waliko wampokee!!!
Yaani hata kama barabara iko straight lazima msafara upinde kona upite maeneo yenye watu wengi wauza mboga,sokoni,vijiwe vya bodaboda,wasukuma mikokteni walau ajisikie vizuri kuwa anapungiwa mikono
Chadema kwao kujaza watu viwanjani bado ni changamoto