Huliza
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 415
- 1,021
Ume edit pichaNdugu zangu,
Haikueleweka mara moja kama watoto hawa wamefunga shule au lah. Picha inajieleza zaidi.View attachment 1563585
Pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ume edit pichaNdugu zangu,
Haikueleweka mara moja kama watoto hawa wamefunga shule au lah. Picha inajieleza zaidi.View attachment 1563585
Ungetueleza hapo ni wapi ili wenye majibu wakujibu. Sasa wewe unaweka tu picha, unaogopa nini?
Naona unajaribu kuequalize eqn kwa kuedit pichaNdugu zangu,
Haikueleweka mara moja kama watoto hawa wamefunga shule au lah. Picha inajieleza zaidi.View attachment 1563585
Utoto mtupu.....mleta mada ni mtoto au mtu mzima mwenye akili za kitoto...hiv hyo ni maik au pulizoNdugu zangu,
Haikueleweka mara moja kama watoto hawa wamefunga shule au lah. Picha inajieleza zaidi.View attachment 1563585
ccm bwanaNdugu zangu,
Haikueleweka mara moja kama watoto hawa wamefunga shule au lah. Picha inajieleza zaidi.View attachment 1563585
Jamaa amekuja na style za kampeni za 2010 na 2015. Tanzania ya 2020 ni tofauti sana na yeye amechanganyikiwa, hajuwi aanzie wapi, anarusha tu makombora bila target.Tundu amekata tamaa mapema anaonekana kutamani angebaki ukimbizini
Wanatia huruma! Uvccm tulikuwa sie enzi izo sio vichaa wakujipendekeza hawa wa siku hiziNyie ndio Bashiru anasema moambane kujibu hoja....Nampa pole Sana!
Na kweli,baba mwenye nyumba,kama mlevi wa wanzukiWameletwa na malori kama wale wa chama fulani cha baba mwenye nyumba alieyumba?
Lisu ni kitukoNdugu zangu,
Haikueleweka mara moja kama watoto hawa wamefunga shule au lah. Picha inajieleza zaidi.View attachment 1563585
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na kweli,baba mwenye nyumba,kama mlevi wa wanzuki
Kuna sababu 1000 za kumtoa magufuli madarakani. Lissu hadi saivi kagusia 20 tu!!! Na magufuli kapagawa hadi anatoa amri kipindi cha uchaguzi za kutoa ajira na kutengeneza barabara. Lissu akifika sababu ya 100 tu lazima mtu aruke kwenye gari za msafara zile mtaniambia 😂😂😂Mh Lissu, Hongera kwa namna unavyoendelea na Kampeni, Wewe kwa hakika ni mbeba maono wa Taifa hili...
Rudi tena studioNdugu zangu,
Haikueleweka mara moja kama watoto hawa wamefunga shule au lah. Picha inajieleza zaidi.View attachment 1563585