Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Huko Same wanamjua huyo Mwalimu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko Same wanamjua huyo Mwalimu?!
Lile jukwaa la Lisu bagamoyo waliazima meza ya wauza mitumba ndio aliyosimamia kuhutubiaZile picha za mafuriko ya EL amakuzuia kuzibandika? Maana jana pale Bagamoyo ilikuwa aibu. Jukwaa kama la mgombea udiwani!
Aksanteeee! Jana tulisononeka sana. Ee Mungu we.Wakuu natanguliza salamu , na baada ya salamu sipendi kuwapotezea muda , baada ya wachawi kuingilia usafiri wa Chopa sisi hatukuwa na muda wa kupoteza , ratiba ya kampeni imeendelea kusonga mbele , leo ni kata funua kwenye kata za Morogoro na korogwe , pia vumbi litatimka huko same .
View attachment 1565966View attachment 1565967
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa habari zaidi .
Tunaanza Upyaaaaaaaa !!!
Karibu sana mkuuAksanteeee! Jana tulisononeka sana. Ee Mungu we.
Kimsingi Moderator nishamtilia shaka , haiwezekani habari zote za uchaguzi za Lissu aweke kwenye uzi mmoja , au labda aseme hazitaki habari za Lissu , kiuhalisia haiwezekani kurundika taarifa za miezi 3 tena za maeneo tofauti kwenye uzi mmoja , huu ni udikteta wa kumshinda hata MagufuliMungu mbariki Moderator .