Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Hongera buk 7 ni zako lakini jiandae kupulia machine ya ICU baada ya october 28, Maana hutaamini kitakachotokea!
 
Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Ingine imepata moto
Screenshot_20200912-230827_Twitter.jpeg
 
Ndugu zangu,

Tundu ameingia mkoa wa Morogoro na sera ya kuahidi haki endapo atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini la kushangaza kila alipopita wananchi wamehoji wakitaka akabadili katiba ya Chadema kwanza iruhusu wanachama kuuhoji uongozi bila kufukuzwa la sivyo ni mwongo.

Hoja hii imemfanya Lissu na timu yake ya kampeni kuwa mbogo wasijue la kufanya hususani kutoa majibu stahiki kwa wananchi walio wengi.

Ama kweli urais sio urahisi.
Weka video hapa tusikie wote
 
Ndugu zangu,

Tundu ameingia mkoa wa Morogoro na sera ya kuahidi haki endapo atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini la kushangaza kila alipopita wananchi wamehoji wakitaka akabadili katiba ya Chadema kwanza iruhusu wanachama kuuhoji uongozi bila kufukuzwa la sivyo ni mwongo.

Hoja hii imemfanya Lissu na timu yake ya kampeni kuwa mbogo wasijue la kufanya hususani kutoa majibu stahiki kwa wananchi walio wengi.

Ama kweli urais sio urahisi.
Lissu ni mwepesi sana na uwepo wake haujaweza kuzijibu hoja kuhusu matatizo ya chama chake na ubinafsi wa miaka na miaka.
 
Umenikumbusha hawa watu, Kolimba, Membe, kinana, nape, makamba na babake daaah walijaribu kumkosoa Mwenyekiti Kolimba Roho ilitoka, Wengine walitembezwa kwa magoti
 
Dah we jamaa umegusa sana upande wetu wanasingida, ukiangalia upande wa magharibi kule kiomboi hali ni mbaya sana hata mbunge wetu mwigulu nchemba sioni anachokifanya zaidi ya kuongea kinyiramba tu..

ile lami ya kutoka misigiri mpk kiomboi baada ya kujengwa hakuna kingine kilichoendelea vijiji havina umeme wala maji yupo yupo tu
 
Back
Top Bottom