Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubelgiji wamekataa misaada ghaflasio watoto wa shule
Wewe jamaa kila sehemu Ni kwenu😂Lissu mtoto wa nyumbani singida hatuwezi kumuangusha.
LasabaUmehitimu kwenye darasa la Lisu.
Au pungufu ya hapo!Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
nilimuona dodoma ni aibu tupuKwa response waliyomeonyesha watu wa Dar hata hizo laki tatu ni shida
Pia so far hana mkutano aliofanya uliofikisha hata watu elfu mbili
Mwanza alifikisha watu mia tisa ambao kwake ndio ulikuwa mkutano mkubwa sana
Lisu amekufundisha vibaya Kiingereza. Kubali tu badala ya kujifanya mjuaji.Lasaba
Siyo hizo elimu zenu feki
Kwenda kumshangaa Lissu ni ruksa kwa kila mtanzania.
Maccm yako radhi yauze nchi kwa mabeberu ili tu yabakie madarakani,akianza balozi wa china sasa ni beberu og
Maccm yako radhi yauze nchi kwa mabeberu ili tu yabakie madarakani,akianza balozi wa china sasa ni beberu og
Hata hivyo umejitahidi kuwaongezea wastani ni laki 4Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Huyo ni mkorogo.SIO KUMSHANGA BEBERU View attachment 1568584
Lissu tangu lini akawa mwalimu wangu?Lisu amekufundisha vibaya Kiingereza. Kubali tu badala ya kujifanya mjuaji.
Unaongea Kiingereza kama una mapengo vile halafu hapo hapo unajiona mjanjaa, upuuzi mtupu.Lissu tangu lini akawa mwalimu wangu?
Kiingereza sijui kama vile mwenye kiti wako wa ccm