Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Viva Magu
Haya ni baadhi ya tathmini yangu
1.Hajaweka sera za Chadema zikaeleweka kwa wananchi hadi sasa
2.Anajinadi yeye zaidi sio chama au wabunge na madiwani
3.Anamzungumzia zaidi Dr Magufuli badala ya kuelezea atakachofanya yeye na chama chake wakishika dola
4.Anachukua vitu vingi humu jamii forums na kuviundia hotuba kwa asilimia 90 ya hotuba zake source ni jamii forums...
 
Kiuhalisia umaarufu wa Lisu unapaa siku baada ya siku WAKATI umaarufu wa Rais Magufuli unashuka siku baada ya siku.

Kama kampeni hizi zingekuwa za miezi 6, huenda Rais Magufuli angeamua kujiondoa.

Rais Magufuli bila ya kusomba watu, kulazimisha wanafunzi na watumishi wa serikali kuhudhuria, na kugeuza mikutano yake kuwa matamasha ya muziki, kuna maeneo mengine ingekuwa aibu kubwa - angekosa hata watu wa kuwahutubia.

Wanaohudhuria mikutano ya Lisu ni watu wenye dhamira hasa. Ni watu wanaojigharamia na wanaomtafuta Lisu kwa njia zote. Ni watu wenye morali, wanaonekana kuwa tayari kupigania wanachokiamini wakiwa nyuma ya Tundu Lisu. Na serikali isiwachukulie kwa wepesi hawa wapo tayari kwa lolote katika kuitafuta haki.

Ole CCM waibe kura, watajuta. Na nyuma ya wafuaso wa Lisu kuna nguvu ya taasisi za kimataifa ambazo zimetamka wazi kuwa uongozi wa Rais Magufuli ni wa kugandamiza haki za raia. Jamii ya kimataifa itashangaa sana kama kutakuwa wa haki. Hawatashangaa ukiwa kinyume chake, na imejiandaa zaidi kwa hili.

Rais Magufuli anajulikana wazi kuwa ni mbabe na anayefurahia kugandamiza haki za watu. Na yeye mwenyewe aliwahi kukiri kwa kinywa chake alipohojiwa pale Uganda. Aliulizwa, 'how do you balance economic development and human rights". Mara ya kwanza hakuelewa hata hilo swali. Hata pale Mseveni alipomfafanulia, Rais Magufuli alijibu, "human rights is not my priority". Kila mmoja alibaki mdomo wazi!!

Lisu, habari zake hazitangazwi kwenye TV, radio wala magazeti, lakini watu wanazitafuta habari zake mpaka wanajua leo yupo wapi, na kesho yupo wapi. Magufuli, wakati wote yupo kwenye vyombo vya habari lakini watu kuna wakati wanabadilisha chanel wakisema hana jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiuhalisia umaarufu wa Lisu unapaa siku baada ya siku WAKATI umaarufu wa Rais Magufuli unashuka siku baada ya siku.

Kama kampeni hizi zingekuwa za miezi 6, huenda Rais Magufuli angeamua kujiondoa.

Rais Magufuli bila ya kusomba watu, kulazimisha wanafunzi na watumishi wa serikali kuhudhuria, na kugeuza mikutano yake kuwa matamasha ya muziki, kuna maeneo mengine ingekuwa aibu kubwa - angekosa hata watu wa kuwahutubia.

Wanaohudhuria mikutano ya Lisu ni watu wenye dhamira hasa. Ni watu wanaojigharamia na wanaomtafuta Lisu kwa njia zote. Ni watu wenye morali, wanaonekana kuwa tayari kupigania wanachokiamini wakiwa nyuma ya Tundu Lisu. Na serikali isiwachukulie kwa wepesi hawa wapo tayari kwa lolote katika kuitafuta haki.

Ole CCM waibe kura, watajuta. Na nyuma ya wafuaso wa Lisu kuna nguvu ya taasisi za kimataifa ambazo zimetamka wazi kuwa uongozi wa Rais Magufuli ni wa kugandamiza haki za raia. Jamii ya kimataifa itashangaa sana kama kutakuwa wa haki. Hawatashangaa ukiwa kinyume chake, na imejiandaa zaidi kwa hili.

Rais Magufuli anajulikana wazi kuwa ni mbabe na anayefurahia kugandamiza haki za watu. Na yeye mwenyewe aliwahi kukiri kwa kinywa chake alipohojiwa pale Uganda. Aliulizwa, 'how do you balance economic development and human rights". Mara ya kwanza hakuelewa hata hilo swali. Hata pale Mseveni alipomfafanulia, Rais Magufuli alijibu, "human rights is not my priority". Kila mmoja alibaki mdomo wazi!!

Lisu, habari zake hazitangazwi kwenye TV, radio wala magazeti, lakini watu wanazitafuta habari zake mpaka wanajua leo yupo wapi, na kesho yupo wapi. Magufuli, wakati wote yupo kwenye vyombo vya habari lakini watu kuna wakati wanabadilisha chanel wakisema hana jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa unakuaga na akili Sana yaani.
 
Kiuhalisia umaarufu wa Lisu unapaa siku baada ya siku WAKATI umaarufu wa Rais Magufuli unashuka siku baada ya siku.

Kama kampeni hizi zingekuwa za miezi 6, huenda Rais Magufuli angeamua kujiondoa.

Rais Magufuli bila ya kusomba watu, kulazimisha wanafunzi na watumishi wa serikali kuhudhuria, na kugeuza mikutano yake kuwa matamasha ya muziki, kuna maeneo mengine ingekuwa aibu kubwa - angekosa hata watu wa kuwahutubia.

Wanaohudhuria mikutano ya Lisu ni watu wenye dhamira hasa. Ni watu wanaojigharamia na wanaomtafuta Lisu kwa njia zote. Ni watu wenye morali, wanaonekana kuwa tayari kupigania wanachokiamini wakiwa nyuma ya Tundu Lisu. Na serikali isiwachukulie kwa wepesi hawa wapo tayari kwa lolote katika kuitafuta haki.

Ole CCM waibe kura, watajuta. Na nyuma ya wafuaso wa Lisu kuna nguvu ya taasisi za kimataifa ambazo zimetamka wazi kuwa uongozi wa Rais Magufuli ni wa kugandamiza haki za raia. Jamii ya kimataifa itashangaa sana kama kutakuwa wa haki. Hawatashangaa ukiwa kinyume chake, na imejiandaa zaidi kwa hili.

Rais Magufuli anajulikana wazi kuwa ni mbabe na anayefurahia kugandamiza haki za watu. Na yeye mwenyewe aliwahi kukiri kwa kinywa chake alipohojiwa pale Uganda. Aliulizwa, 'how do you balance economic development and human rights". Mara ya kwanza hakuelewa hata hilo swali. Hata pale Mseveni alipomfafanulia, Rais Magufuli alijibu, "human rights is not my priority". Kila mmoja alibaki mdomo wazi!!

Lisu, habari zake hazitangazwi kwenye TV, radio wala magazeti, lakini watu wanazitafuta habari zake mpaka wanajua leo yupo wapi, na kesho yupo wapi. Magufuli, wakati wote yupo kwenye vyombo vya habari lakini watu kuna wakati wanabadilisha chanel wakisema hana jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli hana jipya kwani uongo.
 
Mwandishi habari wa DW alimhoji m-TZ mmoja sababu ya watu kuja kusikiliza. Jibu lake lilikuwa ni rahisi. Hiki ni kiangazi, hakuna kilimo. Watu wanakuja kama sehemu ya mikusanyiko na wengine wanakuja kumuona anawezaje kutembea baada ya kupigwa risasi. Ikifika Octoba 28 ndo utajua maana ya umati huo.
Haaahaaaa ila wakikosa watu viwanjani mnadai wamechokwa? Watu wakijaa ni kiangazi.
Poleni sana na huu ni mwanzo tu
 
The movement for ukombozi is now regaining its momentum....

The situation in Sumbawanga was real

People fearlessly were shouting

"....Tundu Lissu Rais wetu..."

"...Tundu Lissu Rais wetu...."

"....Magu - fuuli aondoke..."

"....Magu - fuuli aondoke..."

This is reality. Its not a dream....!!

What's coming next? We all know....Magufuli out!!!
 
Bwana Yule kilimkuta hiki kanda ya ziwa.

CooperativeIdioticAntipodesgreenparakeet-max-1mb.gif
 
Wanasemaga eti Lissu vijinini hajulikani. Tsunami ya Lissu haitegemei matangazo kwenye TV, redio wala magazeti.

There is natural mystic power in Lissu.

Mimi mwenyewe siamini hata kidogo....!

Niko Shinyanga, lakini nilipoiona hii kitu ilinishangaza sana na kunitia hamasa isiyo ya kawaida....

Huyu mtu siyo wa mchezo.....

Kama mzaha, tunaweza kushuhudia siyo tu ushindi wa mtu huyu ktk uchaguzi huu bali MAPINDUZI ktk staili na namna ya ajabu kuwahi kutokea....!

Kwa kweli Mungu ana namna yake ya kutenda mambo yake maana anasema;

"....Njia zangu siyo njia zenu (wanadamu) na mawazo yangu siyo mawazo yenu...."

Tuacheni tu Mungu aitwe Mungu kwa kweli....!
 
Hakuna mkoa Magufuli ana uhakika wa kupata kura nyingi kumshinda Lissu, tunazidi kuona hata ile mikoa ambayo ilionekana kuwa ngome ya CCM lakini wananchi wake sasa wana muamko wa hali ya juu wa mabadiliko.

Hili Lissu ameshalitambua ndio maana anawasisitiza wakapige kura na kuzilinda, ana uhakika kitakachowaokoa CCM ni wizi wa kura tu, nothing else, na huu ni uthibitisho mwingine kwamba hata wale wanaojitokeza kwenye mikutano ya CCM wengi wao ni wapinzani, ukiondoa wale wanaovaa nguo za kijani.
EiCTW4LXYAIOXsM.jpg
 
Hakuna mkoa Magufuli ana uhakika wa kupata kura nyingi kumshinda Lissu, tunazidi kuona hata ile mikoa ambayo ilionekana kuwa ngome ya CCM lakini wananchi wake sasa wana muamko wa hali ya juu wa mabadiliko.

Hili Lissu ameshalitambua ndio maana anawasisitiza wakapige kura na kuzilinda, ana uhakika kitakachowaokoa CCM ni wizi wa kura tu, nothing else, na huu ni uthibitisho mwingine kwamba hata wale wanaojitokeza kwenye mikutano ya CCM wengi wao ni wapinzani, ukiondoa wale wanaovaa nguo za kijani.View attachment 1572910
Hata Sumbawanga kwa Ali Mzee wa kujipendekeza hali ni tete. Huko Songwe na Momba ndiko walikuwa wanajivunia eti Lissu hajulikani.

The shit is geting real
 
Back
Top Bottom