Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Watu wanamuangalia Lissu kama mwanasiasa na mwanasheria, lakini nje ya hapo wanasahau hichi kichwa ni typical Genius. Huyu ndo Messi na Christiano Ronaldo wa siasa za Tanzania.

Lissu amewazidi mbali sana wanaoshindana naye kwa sasa, sio Magufuli sio Lipumba sio kiongozi yeyote aliyepo hai Tanzania ya sasa.

Lissu kwa umri wake na kiwango anachokionesha, mpaka sasa nimekubali kwamba anaingia kwenye level za wanasiasa wenye uwezo mkubwa sana ya kushawishi watu kwa hoja.

Lissu ana 'tone' moja ya hatari sana katika kuzungumza, hii silaha ya maangamizi ambayo wamejaliwa wanasiasa wachache sana kama kina i) Mahatma Gadhi, ii) Julius Nyerere, iii) Barack Obama na iv) Thomas Sankara. Ni kipawa ambacho wanapewa watu wachache sana, na wanasiasa wenye hichi kipawa huwa hawana historia ya kuwa na mpinzani.

Niliwahi kutoa huu uzi hapa kipindi cha nyuma ----> Uchaguzi 2020 - 'Charisma' ya Tundu Lissu itazidi kumpa shida sana Magufuli na CCM kwa ujumla

Kinachotokea sasa, ni kwamba CCM na Magufuli wanaota ndoto kila uchao wakidhani Tundu Lissu labda atapoa makali, lakini kinyume chake ndo kinachotokea, Lissu anazidi kuwa moto siku hadi siku, vibe lake limeshawaingia wapiga kura.

Lissu anaupeleka huu mtanange kwa akili kubwa sana ambayo ndiyo kila uchao inazidi kumpa chance ya kushinda uchaguzi wa October 28, Lissu anajua wananchi ndo wenye nguvu na sio serikali ya CCM, anachofanya ni kutumia akili yake kubwa kupiga spana za uhakika na kuwajaza wananchi falsafa ambayo ndiyo itakuwa msukumo wa wananchi kupiga kura na kulinda kura.

View attachment 1580724
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa
 
Watu wanamuangalia Lissu kama mwanasiasa na mwanasheria, lakini nje ya hapo wanasahau hichi kichwa ni typical Genius. Huyu ndo Messi na Christiano Ronaldo wa siasa za Tanzania.

Lissu amewazidi mbali sana wanaoshindana naye kwa sasa, sio Magufuli sio Lipumba sio kiongozi yeyote aliyepo hai Tanzania ya sasa.

Lissu kwa umri wake na kiwango anachokionesha, mpaka sasa nimekubali kwamba anaingia kwenye level za wanasiasa wenye uwezo mkubwa sana ya kushawishi watu kwa hoja.

Lissu ana 'tone' moja ya hatari sana katika kuzungumza, hii silaha ya maangamizi ambayo wamejaliwa wanasiasa wachache sana kama kina i) Mahatma Gadhi, ii) Julius Nyerere, iii) Barack Obama na iv) Thomas Sankara. Ni kipawa ambacho wanapewa watu wachache sana, na wanasiasa wenye hichi kipawa huwa hawana historia ya kuwa na mpinzani.

Niliwahi kutoa huu uzi hapa kipindi cha nyuma ----> Uchaguzi 2020 - 'Charisma' ya Tundu Lissu itazidi kumpa shida sana Magufuli na CCM kwa ujumla

Kinachotokea sasa, ni kwamba CCM na Magufuli wanaota ndoto kila uchao wakidhani Tundu Lissu labda atapoa makali, lakini kinyume chake ndo kinachotokea, Lissu anazidi kuwa moto siku hadi siku, vibe lake limeshawaingia wapiga kura.

Lissu anaupeleka huu mtanange kwa akili kubwa sana ambayo ndiyo kila uchao inazidi kumpa chance ya kushinda uchaguzi wa October 28, Lissu anajua wananchi ndo wenye nguvu na sio serikali ya CCM, anachofanya ni kutumia akili yake kubwa kupiga spana za uhakika na kuwajaza wananchi falsafa ambayo ndiyo itakuwa msukumo wa wananchi kupiga kura na kulinda kura.

View attachment 1580724
Lissu kama Lissu😀✌✌
 
Watu wanamuangalia Lissu kama mwanasiasa na mwanasheria, lakini nje ya hapo wanasahau hichi kichwa ni typical Genius. Huyu ndo Messi na Christiano Ronaldo wa siasa za Tanzania.

Lissu amewazidi mbali sana wanaoshindana naye kwa sasa, sio Magufuli sio Lipumba sio kiongozi yeyote aliyepo hai Tanzania ya sasa.

Lissu kwa umri wake na kiwango anachokionesha, mpaka sasa nimekubali kwamba anaingia kwenye level za wanasiasa wenye uwezo mkubwa sana ya kushawishi watu kwa hoja.

Lissu ana 'tone' moja ya hatari sana katika kuzungumza, hii silaha ya maangamizi ambayo wamejaliwa wanasiasa wachache sana kama kina i) Mahatma Gadhi, ii) Julius Nyerere, iii) Barack Obama na iv) Thomas Sankara. Ni kipawa ambacho wanapewa watu wachache sana, na wanasiasa wenye hichi kipawa huwa hawana historia ya kuwa na mpinzani.

Niliwahi kutoa huu uzi hapa kipindi cha nyuma ----> Uchaguzi 2020 - 'Charisma' ya Tundu Lissu itazidi kumpa shida sana Magufuli na CCM kwa ujumla

Kinachotokea sasa, ni kwamba CCM na Magufuli wanaota ndoto kila uchao wakidhani Tundu Lissu labda atapoa makali, lakini kinyume chake ndo kinachotokea, Lissu anazidi kuwa moto siku hadi siku, vibe lake limeshawaingia wapiga kura.

Lissu anaupeleka huu mtanange kwa akili kubwa sana ambayo ndiyo kila uchao inazidi kumpa chance ya kushinda uchaguzi wa October 28, Lissu anajua wananchi ndo wenye nguvu na sio serikali ya CCM, anachofanya ni kutumia akili yake kubwa kupiga spana za uhakika na kuwajaza wananchi falsafa ambayo ndiyo itakuwa msukumo wa wananchi kupiga kura na kulinda kura.

View attachment 1580724
Lissu is "Another Level". Tuna JAMBO NAYE 28/10/2020.
 
[emoji3577]
Screenshot_20200925-191626.jpg
 
Ilitakiwa tuwe na vichwa kama Cha Lissu kama 100 hivi.vipige spana kila kona ya nchi labda watu wangepata akili mara dufu.Tatizo letu ni kwamba viongozi waoga na wenye makandokando hawawapendi watu wenye uwezo mkubwa wakuelimisha,kukosoa,kujenga hoja na wasema kweli ndo maana kichwa kama lissu yalimkuta yaliyomkuta.
 
Moja ya uonevu mkubwa wa Serikali za CCM hasa hii ya Magufuli, ni kuweka watu mahabusu kwa muda mrefu pasipo dhamana huku watuhumiwa wanateseka tena wengine wakiwa ni wagonjwa mfano ni Sethi na wengine bila kusahau Mashehe wa Uamsho wanaosota jela kwa miaka mingi sasa.

Kwa yanayoendelea hivi sasa katika kampeni za Lissu na mwamko wa watu,nina uhakika na wao huko jela wameanza kupata matumaini kuwa mtesi wao(CCM) muda wake sasa umefika mwisho na kwamba ukombozi wa watanzania wakiwemo wafungwa na mahabusu, sasa umewadia.

CCM imeumiza watu jamani wacheni watu waikatae kwa maelefu hasa hii CCM ya Magufuli.

Poleni sana mnaoteseka mahabusu,muda wa nyie kuondokana na mateso haya naona sasa umewadia chini ya serikali itavyokuwa inaendeshwa kwa kuzingatia kauli mbiu ya haki,uhuru na maendeleo ya watu.

Enough is enough.
 
Nimestushwa sana na kujaa mshangao mkubwa kwa mapokezi.makubwa sana, ambayo naweza kuyaita siyo ya mafuriko tena, Bali ni ya kimbunga na ya kihistoria aliyoyapata Tundu Lissu, jijini Mwanza, siku ya Jana, ambapo inasidikiwa kuwa yamevunja rekodi ya kupokelewa kwake, ambapo maelfu kwa maelfu, waliujaza uwanja wa Nyamagana, kumsikiliza shujaa huyu, Tundu Lissu akimwaga Sera yake, ambayo ni ya kuleta Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu.

Mapokezi hayo ameyapata huku vyombo vyote vya habari hapa nchini, vikiwa vimempa "blackout" bila kutangaza ratiba ya ujio wake!

Kilichonistua zaidi ni kuwa hapo jijini Mwanza ndipo tuliaminishwa kuwa ndiyo ngome kubwa ya mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli

Nadiriki kusema kuwa huyu Tundu Lissu, kwa hivi sasa, hakuna mtu anayeweza kumzuia kufikia azma yake ya kuwa Rais wa 6 wa nchi hii, katika uchaguzi mkuu ujao!

Kama alivyosema, mtumishi wa Mungu, Augustine Mwingira kuwa, huyu Tundu Lissu, hajajenga mafly overs wala hajajenga SGR, hajajenga chochote ndani ya nchi hii,lakini kila anapokwenda, watu maelfu kwa maelfu wanamfuata!

Ndipo hapo Mwingira alipomalizia mahubiri yake kwa kusema kuwa I DON'T UNDERSTAND THIS!

Nami na watanzania wenzangu ni lazima hivi sasa tujiulize hivi hii hali ya kupendwa kupita kiasi kunatokana na nini, kama siyo kuinuliwa kwa njia ya muujiza na Mungu mwenyewe, kutokana na mapitio aliyopitia huyu Tundu Lissu kwa kumwokoa na zile "mvua" za risasi, ambazo watesi wake, waliamini kabisa kuwa zitakuwa "zimeshammaliza" lakini kwa muujiza mkuu wa Mungu, hadi Leo anatembea huku akiwahubiria upendo watanzania wote na kuwa hana nia ya kulipiza kisasi na atakuwa amesamehe mara saba mara sabini kwa yote aliyopitia!

Hiyo ni kuthibitisha kuwa mawazo yetu sisi binadamu na tunachopanga, sicho kinachopangwa na Mungu wetu

Mungu ibariki Tanzania na endelea kumjazia baraka zako mja wako Tundu Lissu
 
Hakika Tundu Lissu ni mpango wa Mungu kwa imani na matumaini makubwa anayoyatoa kwa Watanzania. Ujio wake utafuta machozi na huzuni ndani ya maisha ya Watanzania wengi ambao wamekubali kufanya mabadiliko ya vitendo mwaka huu tena kwenye sanduku la kura.
 
Naamini pia kuwa yeyote atakayethubutu "kuyapindua" matakwa halali ya wananchi, watakayoyafanya kwenye sanduku la kura, ataangamizwa na Mungu wetu!
Nafikiri yule mzungu Robert Amsterdam atakuwa na sehemu kubwa na muhimu sana kwenye uchaguzi huu.

Huyu ni myahudi. Wayahudi wana influence sana kwenye siasa za Ulaya.

Kama Chadema wataweza kumkusanyia vithibitisho vya kutosha basi mbele tutakuwa na miaka 4 migumu sana kiuchumi.

Ila naamini CCM bado wananafasi ya kuimaliza hiii ishu kiakili kama wakitaka.
 
... na asipotangazwa kihalali au kiharam watz wanafunga barabara maana aliyeona nyoka hata kamba haiamini!
NB: Lowasa alihama CCM peke yake, lakini Lissu kakomba mioyo ya wana CCM wote na kuiachia CCM Jiwe/au mawe?
😅
👊 ✌✌✌💥
Hakika kama ambavyo amekuwa akisema yeye mwenyewe Tundu Lissu, kuwa uchaguzi huu ni wa kihistoria na yeyote atakayethubutu "kuupindua" uchaguzi huu atawaagiza wananchi wake waingie barabarani kulipinga hilo kwa nguvu zote...........

Na amekuwa akiwahimiza watu wote wenye vitambukisho vya kupigia kura wajitokeze siku ya kupiga kura..............

Anawaahidi watanzania kuwa CCM wana ubavu wa kuiba kura kama ushindi utakuwa finyu, lakini kwa mafuriko haya ya wananchi wanaojitokeza katika kile tunachoweza kukiita ni kimbunga, hawatathubutu kufanya wizi wao waliouzoea!
 
Tatizo kutangazwa.
Hiki ndicho kigingi kilichobaki. Sijui upinzani umejipangaje katika hili; Ila tume ijue kabisa katika hili, mgombea wa sasa wa upinzani ni mpinzani kweli, si zao la CCM. Wasimame katika haki, watimize yale yaliyoamuliwa na wananchi wenyewe kwa manufaa ya nchi yao wenyewe. Wakifanya tofauti na watanzania waliyoamua tar 28 mwezi ujao wajue machafuko yatakayotokea, damu itakayomwagika haitawaacha salama.
Mungu ibariki Tanzania
 
Wakati umewadia wa salamu za wagonjwa tunawapa pole. Ajuae ni Mwenyezi Mungu kwa mgonjwa kuwa salama na mzima kuwa mfu tunawapa pole. Wagonjwa mahospitalini tunawapa pole.
Wagonjwa majumbani tunawapa pole.
Looh 😂😂

Time isn't our best Ally....
 
Nafikiri yule mzungu Robert Amsterdam atakuwa na sehemu kubwa na muhimu sana kwenye uchaguzi huu.

Huyu ni myahudi. Wayahudi wana influence sana kwenye siasa za Ulaya.

Kama Chadema wataweza kumkusanyia vithibitisho vya kutosha basi mbele tutakuwa na miaka 4 migumu sana kiuchumi.

Ila naamini CCM bado wananafasi ya kuimaliza hiii ishu kiakili kama wakitaka.
Maamuzi ya kiakili ni kuacha uhuru, haki itendeke na kuheshimu maamuzi ya wananchi tu si vinginevyo mkuu.
 
Back
Top Bottom