mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,734
- 1,616
Hawatomfuata Lissu, Lissu walikosea timing akawaponyoka, kilichopo sasa ni kuigawa Chadema, kete pekee ambayo yenye mashiko itabidi irudi ile ya katiba/tume huru/kumpunguzia raisi madaraka. Wao watajikita zaidi na Mbowe. Watatumia watu wa Zamani ili kuokoa jahazi kwa hoja hizo.hiv jamaa unamjua kwel asee....hawez ruhusu hivyo...kibur hasa
Sent from my SM-J500FN using JamiiForums mobile app
Otherwise kutakuwa na changamoto sana baada ya uchaguzi.