Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Comrade chama chetu tuna vitengo makini vilivyojitosheleza kila sekta. Sijui utaongea kitu gani kiwe kigeni kwetu.
Mbona suala la Uhuru,haki na maendeleo ya kweli ni msamiati hats kwenye kamusi imeshindikana kuutafuta?
 
Mbona suala la Uhuru,haki na maendeleo ya kweli ni msamiati hats kwenye kamusi imeshindikana kuutafuta?
Kwasababu Lissu anatamka ayo maneno basi unadhani ccm tunatakiwa kuyatamka pia. Sisi tuna sera zetu kijana hatuongozwi na porojo za Lissu.
 
Kwanini,mnashindana na ukweli,au maana ya haki huinua taifa bado kwa wengine ,haijaeleweka .Kama no hivyo tuuangalie msemo huu kwa maana ya kiimani Sasa.
Imani? Imani kwenye siasa za ushindani?

Lisu ni kidagaa! Ataprove hilo oktoba 28
 
Watu wangu wa Tarime hamjawahi kuniangusha.View attachment 1582926
Screenshot_20200927-203700.jpeg
View attachment 1582928
Screenshot_20200927-203750.jpeg
 
Back
Top Bottom