Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Kabisa umoja wa Kitaifa umepoteaNchi waliikuta nzuri wao wameleta visasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa umoja wa Kitaifa umepoteaNchi waliikuta nzuri wao wameleta visasi
Propaganda eehh 5 dayis ni kugonga meza tu ...hizi ni rasha rasha tuMwaka 2015 mlichukua sisimizi mkawaedit ionekane ni nyomi la watu
Siwalaumu mnakula kwa propaganda mnazofanya
Kipimo cha ushindi kingekuwa ni nyomi Lowassa angeshinda asubuhi na mapema. Wapinzani mnakwama sana.
Kuna mtu nimemwambia kuna kundi kubwa linamfuata LISSU2015 watu tulimpigia kura magufuri kwa histotia yà utendaji wa kazi lakini cha moto tumekiona siwezi thubutu tena kumpa kura yangu
Sasa hiyo ni picha gani umepiga?Ni wingi wa watu kujitokeza kumsikiliza LISSU angalia hapa ni Tarime Vijijini Leo hiii
View attachment 1582809
Wapiga dili wote lazima mjute kukatiwa mrija wa ulaji.2015 watu tulimpigia kura magufuri kwa histotia yà utendaji wa kazi lakini cha moto tumekiona siwezi thubutu tena kumpa kura yangu
Hi yo ni ya 1978 wakati tuna mfufurusha Nduli kule Uganda teknolojia ya SHORWEANGA ilikuwa badoSasa hiyo ni picha gani umepiga?
Piga kwa juu tuone mwisho wa huo uwanja
Siyo tu ni kidagaa, Lissu ni hamnazo kwa kuwa hajui kuwa anaowasimulia porojo zake wanajijua. Km leo Kanda ya Ziwa anawakumbusha wavuvi kuchomewa nyavu kana kwamba ni jambo jipya. Asilolijua ni faida iliyopatikana kwa hatua hiyo. Sasa hivi aina na kiwango cha samaki wanaovuliwa wavuvi na walaji wanashukuru.Imani? Imani kwenye siasa za ushindani?
Lisu ni kidagaa! Ataprove hilo oktoba 28
Wavumilie tu walitusomesha namba Sasa ni zamu yao kuisomawavumilie tu siasa ni Ushindani wala si VITA maamuzi yapo kwa WANANCHI na WANANCHI ndo SISI
Hivi nguli Mangula hawasaidii hawa ma-layman wa siasa? Au wanampuuza?
#JPMOut28/10
Hahahahaaaaa! Au kwa kuwa wagombea wa CCM hawajaanza kuanika tuhuma zilizo na ushahidi usio na mashaka? Kwa mfano, wapi zilipo fedha za ruzuku na mfuko wa jimbo (hupewa mbunge)?Kurudisha Mamlaka ya kutumia fedha za UMMA kwa WANANCHI
Wapiga dili wote lazima mjute kukatiwa mrija wa ulaji.