Nyie watu hasa Gentamycine kwanza hamna msimamo, nusu ccm nusu CDM. Kesho magu akiwafurahisha mnaamia ccm siku nyingine mkiona Lissu anawini mnaamia CDM. You fear to take sides and stand by the choice, are you vying for sainthood?, no this is politics.
Gemtamycine kukubaliwa au kukataliwa hakutokani na jambo moja tu, magu anakataliwa kwa mrundikano wa mambo pengine 50. Ni mlinganisho tu hapa nani shetani zaidi au nani malaika zaidi.
Lissu hajakosea kuhusu ma-DED, iwe ni kweli waliitwa au hawajaitwa Dodoma, kinacho matter hapa ni ukweli kuwa ma-DED wanapokea amri kutoka kwa magu, hilo kila mtu anajua hivyo kuwalipua ni sawa tu hata kama hawajaenda Dodoma na sio lazima waende Ddm wapo kwenye control ya jiwe kila wakati.
Litakalomwangusha Lissu au kiongozi yoyote sio precision politics (hizi zina mashiko nchi zilizoendelea kama USA, NK ambapo wanashindania kwenye ncha ya sindano) ila kwetu hapa sayansi yake ni nyingine na Lissu anaijua vizuri mpaka sasa yupo vizuri sana. Usimshauri Lissu awe precise on magu, our people have no sense of precision, they are sensational and by this anyone wins them. Gemtamycine you are too methodical and may not win a naive community like ours. Don't bring your biology book to the campaigns, you will loose to an illiterate politician.