Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Nyie watu has Gentamycine kwanza hamna msimamo, husu ccm nusu CDM. Kesho magu akiwafurahisha mnaamia ccm siku nyingine mkiona Lissu anawini mnaamia CDM.

Gemtamycine kukubaliwa au kukataliwa hakutokani na jambo moja tu, magu anakataliwa kwa mrundikano wa mambo pengine 50. Ni mlinganisho tu hapa nani shetani zaidi au nani malaika zaidi.

Lissu hajakosea kuhusu ma-DED, iwe ni kweli waliitwa au hawaitwa Dodoma, kinacho matter hapa ni ukweli kuwa ma-DED wanapokea amri kutoka kwa magu, hilo kila mtu anajua hivyo kuwalipua ni sawa tu hata kama hawajaenda Dodoma na sio lazima waende Ddm wapo kwenye control ya jiwe kila wakati.

Litakalomwangusha Lissu au kiongozi yoyote sio precision politics (hizi zina mashiko nchi zilizoendelea kama USA, NK ambapo wanashindania kwenye ncha ya sindano) ila kwetu hapa sayansi yake ni nyingine na Lissu anaijua vizuri mpaka sasa yupo vizuri sana. Usimshauri Lissu awe precise on magu, our people have no sense of precision, they are sensational and by this anyone wins them. Gemtamycine you are too methodical and may not win a naive community like ours.
Kama gentamycine ana akili timamu atakuelewa ila kama ana akili kama za polepole hawezi kukuelewa
 
Kigogo ni kama speaker, anapewa taarifa nyingi za ukweli na nyingine nyingi za uongo.

Uko vyema kwa 100% juu ya hili na naanza 'Kuhisi' sasa kuwa huenda 'Sources' wake wameanza 'Kumdanganya' ili Lissu nae 'akosee' tu wamdake.
 
Umempa ushauri mzuri sana. Kumbe kuna mapandikizi tayari.

Nimedokezwa wapo Watu kama Wanne ( 4 ) hivi katika 'Campaign Team' yake ambao ndiyo sasa 'wanatekeleza' hizi 'Hujuma' Mkakati dhidi yake.
 
Acha uongo wewe bashite uoga unawaponza sana yeye akipata tipu hata ya asilimia 0.000001 aiseme tu tume hii imeenguwa wabunge 52 madiwani 1200 ina uharari gani kwa chadema .mkurugenxi wa uchaguzi taifa kada mtiifu wa ccm asiyenaibu kabisa kupendelea mgombea mmoja wapo lazima aaambiwe mabaya wayafanyayo magufuli alitumbuwa watu wengi na kusweka watukibao nagerezani akijiita yeye msafi hana doa kumbe ni fisadi namba 1 lazima aambiwe kama yeye afanyavyo

Nimemshauri 'Mtani' wangu Tundu Lissu na wala 'sijamlazimisha' akubaliane na 'Mawazo' yangu haya sasa Wewe 'Unateseka' na nini hivi? Swine!!!!
 
Kwa za ndani kabisa ambazo 'nimetonywa' ni kwamba alichokisema ni 'Uwongo' na 'Kilipangwa' tu 'Kimkakati' ili 'Kumdaka' na kauvagaa Mtego huo.
Hilo halina madhara kwa Lissu, tena yawezekana huu ni ushindi mkubwa kwa Lissu, nimekujibu hapo juu kuwa pin-point politics dont work in Tanzania. Lissu is a wonderful lawyer anajua kutega. Hata alipomwekea jiwe pingamizi kule NEC unaweza kufikiri ni ujinga kumbe ni tactic ya kisheria ilisaidia kusawazisha mambo mengi. Pia anapochokoza hata kwa jambo la uongo katika mazingira ya Lissu anakuwa na nafasi nzuri ya kushinda kwani watu wengi wanaguswa, Lissu anajua hilo na linamsaidia sana.
 
Nyie watu hasa Gentamycine kwanza hamna msimamo, nusu ccm nusu CDM. Kesho magu akiwafurahisha mnaamia ccm siku nyingine mkiona Lissu anawini mnaamia CDM. You fear to take sides and stand by the choice, are you vying for sainthood?, no this is politics.

Gemtamycine kukubaliwa au kukataliwa hakutokani na jambo moja tu, magu anakataliwa kwa mrundikano wa mambo pengine 50. Ni mlinganisho tu hapa nani shetani zaidi au nani malaika zaidi.

Lissu hajakosea kuhusu ma-DED, iwe ni kweli waliitwa au hawajaitwa Dodoma, kinacho matter hapa ni ukweli kuwa ma-DED wanapokea amri kutoka kwa magu, hilo kila mtu anajua hivyo kuwalipua ni sawa tu hata kama hawajaenda Dodoma na sio lazima waende Ddm wapo kwenye control ya jiwe kila wakati.

Litakalomwangusha Lissu au kiongozi yoyote sio precision politics (hizi zina mashiko nchi zilizoendelea kama USA, NK ambapo wanashindania kwenye ncha ya sindano) ila kwetu hapa sayansi yake ni nyingine na Lissu anaijua vizuri mpaka sasa yupo vizuri sana. Usimshauri Lissu awe precise on magu, our people have no sense of precision, they are sensational and by this anyone wins them. Gemtamycine you are too methodical and may not win a naive community like ours. Don't bring your biology book to the campaigns, you will loose to an illiterate politician.

Sijawahi kuwa CHADEMA na kamwe sitokuja kuwa Kwao sawa? Kwani kuwa Mshabiki wa Liverpool Kumpenda Mchezaji wa Man United ni Dhambi?
 
Hata mimi nilishtuka kidogo niliposikia ile ya ma DED, inabidi ajitahidi kuwa na multiple sources ambao hawajuani ili aweze ku verify taarifa anazopokea.
Mtu mwwnye kichwa kizito Kama Lisu hawezi kufanya Hivyo
Hayo Mambo wanafanya watu smart
Sasa huyo mzee was kukurupuka ataweza wapi
 
Ulianza taratibu na hukutegemea kuwa ungepata Kuungwa mkono kwa kiasi Kikubwa hivi ambapo hata Mimi kwa sasa naona 'Confidence' yako ipo juu tofauti na pale mwanzoni. Ila kwa sasa unachokikosea tu na kama usipokuwa makini nacho 'Kitakuharibia' katika Kampeni zako ni tabia yako ya Kupenda Kusikiliza 'Umbea' na hata 'Uwongo' unaoletewa au Kuusoma Mitandaoni.

Labda nikuambie tu 'Mtani' wangu Tundu Lissu kuwa tayari kuna Watu ( wasio Waaminifu ) Kwako na uko nao karibu ( hasa katika Campaign Team yako ) kwa Njaa na Tamaa zao bila kusahau 'Unafiki' walionao wameanza 'Kutumika' katika 'Kukuangamiza' Kisiasa hasa kwa Kukulisha Uzushi na Uwongo ili Wewe 'Ukurupuke' nao halafu wenye Kusimamia Mamlaka ya tarehe 28 Oktoba wakumalize.

Nakuomba sana 'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa sasa kuwa makini tena ikiwezekana kuliko ulivyokuwa kwani Kikulacho Ki Nguoni mwako daima tu.
Bananga ana urafiki mkubwa sana na alberto msando,mtu ambaye kigogo2014 kule twitter anamhusisha sana na utekwaji wa watu wakishirikiana na makonda.
TUNAWEZA KUPUUZIA HAYA MWISHO WA SIKU IKAWA KWELI. Nani alijua kama katambi ni afisa kipenyo?!

Hata mimi urafiki wa BANANGA na MSANDO huwa nautilia shaka sana, Ni kweli siasa si uadui lakini kwa mambo wayafanyao CCM kwa Chadema ni dhahiri kabisa hawana jema kwetu hata kidogo.


CHADEMA, tunawapenda sana sana sana, chukulieni hili kwa umakini wa hali ya juu sana.

Ahsante mleta post, maana wengine tukiandika moderator kazi yao kufuta.
 
Ulianza taratibu na hukutegemea kuwa ungepata Kuungwa mkono kwa kiasi Kikubwa hivi ambapo hata Mimi kwa sasa naona 'Confidence' yako ipo juu tofauti na pale mwanzoni. Ila kwa sasa unachokikosea tu na kama usipokuwa makini nacho 'Kitakuharibia' katika Kampeni zako ni tabia yako ya Kupenda Kusikiliza 'Umbea' na hata 'Uwongo' unaoletewa au Kuusoma Mitandaoni.

Labda nikuambie tu 'Mtani' wangu Tundu Lissu kuwa tayari kuna Watu ( wasio Waaminifu ) Kwako na uko nao karibu ( hasa katika Campaign Team yako ) kwa Njaa na Tamaa zao bila kusahau 'Unafiki' walionao wameanza 'Kutumika' katika 'Kukuangamiza' Kisiasa hasa kwa Kukulisha Uzushi na Uwongo ili Wewe 'Ukurupuke' nao halafu wenye Kusimamia Mamlaka ya tarehe 28 Oktoba wakumalize.

Nakuomba sana 'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa sasa kuwa makini tena ikiwezekana kuliko ulivyokuwa kwani Kikulacho Ki Nguoni mwako daima tu.
Umenena vema,Tundu Lissu aongeze umakini,katika hili kwenye chama Mamluki huwa hawakosekani,pia asikubali kuongea Jukwaani taarifa ambazo anapewa kwa kustukiza ambazo hajazifanyia uchunguzi wa kujiridhisha Kama Ni kweli.
 
Ulianza taratibu na hukutegemea kuwa ungepata Kuungwa mkono kwa kiasi Kikubwa hivi ambapo hata Mimi kwa sasa naona 'Confidence' yako ipo juu tofauti na pale mwanzoni. Ila kwa sasa unachokikosea tu na kama usipokuwa makini nacho 'Kitakuharibia' katika Kampeni zako ni tabia yako ya Kupenda Kusikiliza 'Umbea' na hata 'Uwongo' unaoletewa au Kuusoma Mitandaoni.

Labda nikuambie tu 'Mtani' wangu Tundu Lissu kuwa tayari kuna Watu ( wasio Waaminifu ) Kwako na uko nao karibu ( hasa katika Campaign Team yako ) kwa Njaa na Tamaa zao bila kusahau 'Unafiki' walionao wameanza 'Kutumika' katika 'Kukuangamiza' Kisiasa hasa kwa Kukulisha Uzushi na Uwongo ili Wewe 'Ukurupuke' nao halafu wenye Kusimamia Mamlaka ya tarehe 28 Oktoba wakumalize.

Nakuomba sana 'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa sasa kuwa makini tena ikiwezekana kuliko ulivyokuwa kwani Kikulacho Ki Nguoni mwako daima tu.
Kwa ushauri huu mzuri ni dhahili unamtakia mema na inamtaka shinde. ✌✌
 
Nyie watu hasa Gentamycine kwanza hamna msimamo, nusu ccm nusu CDM. Kesho magu akiwafurahisha mnaamia ccm siku nyingine mkiona Lissu anawini mnaamia CDM. You fear to take sides and stand by the choice, are you vying for sainthood?, no this is politics.

Gemtamycine kukubaliwa au kukataliwa hakutokani na jambo moja tu, magu anakataliwa kwa mrundikano wa mambo pengine 50. Ni mlinganisho tu hapa nani shetani zaidi au nani malaika zaidi.

Lissu hajakosea kuhusu ma-DED, iwe ni kweli waliitwa au hawajaitwa Dodoma, kinacho matter hapa ni ukweli kuwa ma-DED wanapokea amri kutoka kwa magu, hilo kila mtu anajua hivyo kuwalipua ni sawa tu hata kama hawajaenda Dodoma na sio lazima waende Ddm wapo kwenye control ya jiwe kila wakati.

Litakalomwangusha Lissu au kiongozi yoyote sio precision politics (hizi zina mashiko nchi zilizoendelea kama USA, NK ambapo wanashindania kwenye ncha ya sindano) ila kwetu hapa sayansi yake ni nyingine na Lissu anaijua vizuri mpaka sasa yupo vizuri sana. Usimshauri Lissu awe precise on magu, our people have no sense of precision, they are sensational and by this anyone wins them. Gemtamycine you are too methodical and may not win a naive community like ours. Don't bring your biology book to the campaigns, you will loose to an illiterate politician.
You nailed it well.
 
Nyie watu hasa Gentamycine kwanza hamna msimamo, nusu ccm nusu CDM. Kesho magu akiwafurahisha mnaamia ccm siku nyingine mkiona Lissu anawini mnaamia CDM. You fear to take sides and stand by the choice, are you vying for sainthood?, no this is politics.

Gemtamycine kukubaliwa au kukataliwa hakutokani na jambo moja tu, magu anakataliwa kwa mrundikano wa mambo pengine 50. Ni mlinganisho tu hapa nani shetani zaidi au nani malaika zaidi.

Lissu hajakosea kuhusu ma-DED, iwe ni kweli waliitwa au hawajaitwa Dodoma, kinacho matter hapa ni ukweli kuwa ma-DED wanapokea amri kutoka kwa magu, hilo kila mtu anajua hivyo kuwalipua ni sawa tu hata kama hawajaenda Dodoma na sio lazima waende Ddm wapo kwenye control ya jiwe kila wakati.

Litakalomwangusha Lissu au kiongozi yoyote sio precision politics (hizi zina mashiko nchi zilizoendelea kama USA, NK ambapo wanashindania kwenye ncha ya sindano) ila kwetu hapa sayansi yake ni nyingine na Lissu anaijua vizuri mpaka sasa yupo vizuri sana. Usimshauri Lissu awe precise on magu, our people have no sense of precision, they are sensational and by this anyone wins them. Gemtamycine you are too methodical and may not win a naive community like ours. Don't bring your biology book to the campaigns, you will loose to an illiterate politician.
Kama nakuelewa fulani hivi. Kinachopaswa kuzingatiwa kwenye kampeni siyo uzuri ama ubaya wa beti Bali uzuri wa kiitikio tu. Safi Sana.
 
Mbona Magufuli yake TISS wazalendo wamevujishia Lissu amekutana na wakurugenzi ikulu? Kila siku kigogo anavujishiwa siri na TISS wazalendo.

Lima papai wewee Acha kubwabwaja
We uliona wapi, we ulisikia wapi, we uliona wapi
 
Kampeni za TL zimejaa uongo kabisa mwingi. Angekuwa mpambe tu ingekuwa poa. Shida yeye ndie Rais mtarajiwa unategemea nini.

Ahadi zake pia ni ngumu uno kutekelezeka. Sioni kama kutakuwa na serikalii serious ama maigizo tu.

Kiufupi ni serikali ya kufikilika.
Lissu hajaahidi "uno" hebu hariri
 
Back
Top Bottom