Sera yake kubwa Lisu na watu wa Chademe ku lokudouni, hii nduyo sera wanayoimanini sana kutokana na gonjwa hili la korona ambalo linawasumbua majirani zetu na nchi za ulaya.
Shirika la Afya Duniani limesema ugonjwa huu utaendelea hata kwa zaidi ya miaka 2 hivyo kama tutampa Lisu nchi inamaana chakwanza ni kutufungia ndani kama wazungu wanavyofanya kwani na yeye ameshaonekana akilisisitiza hili na hajawai kukanusha au kufuta useme au kumuunga mkono Pombe kwa kupambana na Korona.
Na wachunguzi wa mambo ya kisiasa wanasema kuwa Lisu anaamini sana wazungu kwa kilakitu hivyo itakuwa raisi kwake kutufungia ndani kwa muda wa miaka yote2 ndani kama wazungu walivyo agiza hili kutekeleza sera yao ambayo tuliiona pia wakati walivyokimbia bungeni kwa kuogopa kufa na Korona.
Shirika la Afya Duniani limesema ugonjwa huu utaendelea hata kwa zaidi ya miaka 2 hivyo kama tutampa Lisu nchi inamaana chakwanza ni kutufungia ndani kama wazungu wanavyofanya kwani na yeye ameshaonekana akilisisitiza hili na hajawai kukanusha au kufuta useme au kumuunga mkono Pombe kwa kupambana na Korona.
Na wachunguzi wa mambo ya kisiasa wanasema kuwa Lisu anaamini sana wazungu kwa kilakitu hivyo itakuwa raisi kwake kutufungia ndani kwa muda wa miaka yote2 ndani kama wazungu walivyo agiza hili kutekeleza sera yao ambayo tuliiona pia wakati walivyokimbia bungeni kwa kuogopa kufa na Korona.