Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Kaka yetu sisi tunakushauri tu tumia lugha vizuri kwenye kampeni zako, usiseme uwongo.

Hili swala la kuzusha wakurugenzi wamekutana na Rais, tunajua uliingizwa chaka kwa kutumiwa meseji watu wakupime weledi wako, na wewe bila kutafakari ukawaambia wafuasi wako kitu kilichokuingiza kwenye adhabu.

Tunakushauri chunga kauli zako tumia siku zilizobaki vizuri uongeze kura, hali si shwari mtaani unaweza kukosa hata wabunge wawili.

Pia jiepushe kufungiwa tena, you have to grow up brother.
Tatizo ni kuamini uzushi wa wazushi akina Kigogo wa Twitter.
 
Mtafanyaje[emoji3][emoji3]
Hakuna wa kukiuka utatatibu wa Uchaguzi na Kipigo kipo pale pale
Taratibu haramu zitakiukwa tu kama ambavyo vyote haramu ikiwamo uchaguzi haramu. Hakuna kuvumilia haramu tena.


Habari ndiyo hiyo kawaambie wote.
 
akili za bia ...leo hii hata wewe unamshauri Rais Lissu jinsi gani aongeze kura ambazo tayari zimeshakua za kutosha kuchukua urais..
 
Lissu kuna hati hati akakinyima Chadema hata wabunge wawili, mshaurini atulize akili
akili za bia ...leo hii hata wewe unamshauri Rais Lissu jinsi gani aongeze kura ambazo tayari zimeshakua za kutosha kuchukua urais..
 
Kaka yetu sisi tunakushauri tu tumia lugha vizuri kwenye kampeni zako, usiseme uwongo.

Hili swala la kuzusha wakurugenzi wamekutana na Rais, tunajua uliingizwa chaka kwa kutumiwa meseji watu wakupime weledi wako, na wewe bila kutafakari ukawaambia wafuasi wako kitu kilichokuingiza kwenye adhabu.

Tunakushauri chunga kauli zako tumia siku zilizobaki vizuri uongeze kura, hali si shwari mtaani unaweza kukosa hata wabunge wawili.

Pia jiepushe kufungiwa tena, you have to grow up brother.
Umeshamaliza mitihani yako ya darasa la saba sasa umekuja kutusumbua huku?
 
Uchaguzi huu tunawafundisha adabu Chadema kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Zee zima hovyo kabisa nyie mungu atawalaani munajifanya yenu ya kuteka na kutesa watu hayaoni subirini mtaona.
 
Kaka yetu sisi tunakushauri tu tumia lugha vizuri kwenye kampeni zako, usiseme uwongo.

Hili swala la kuzusha wakurugenzi wamekutana na Rais, tunajua uliingizwa chaka kwa kutumiwa meseji watu wakupime weledi wako, na wewe bila kutafakari ukawaambia wafuasi wako kitu kilichokuingiza kwenye adhabu.

Tunakushauri chunga kauli zako tumia siku zilizobaki vizuri uongeze kura, hali si shwari mtaani unaweza kukosa hata wabunge wawili.

Pia jiepushe kufungiwa tena, you have to grow up brother.
Wakurugenzi walikutana na JPM ikulu na video tunazo ,semeni nyoo mkaone ushahidi the Hague
 
The hague ya ufipa ?[emoji3][emoji3] Pompeo alishamruhuhusu mwendamashtaka wa hiyo mahakama kuingia usa?

Uchaguzi huu tunawafundisha adabu Chadema kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Wakurugenzi walikutana na JPM ikulu na video tunazo ,semeni nyoo mkaone ushahidi the Hague
 
Uchaguzi huu tunawafundisha adabu Chadema kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
ccm mmekalia ncha ya mkuki, huko ndani tunasikia polepole atafutwa nafasi yake mana bwana pombe anasema mlimdanganya kua upinzani haupo kwamba ataserereka tu uchaguzi huu
watanzania wamechoka na unyanyasaji na kuwafanya wajinga
 
tulieni hivyo hivyo ..ccm imebaki ya watu wanne tu sasa...pombe, bashiru, polepole, na polisi.
Bora CCM ina hao, japo umesahau kuwa Majaliwa, Samia, Wasanii, UVCCM, UWT na Wazazi wanaendelea na kampeni.

Upande wa ufuasi wako yuko Lissu peke yake na mgombea mwenza ambao kila wanakopita wanavuruga nafasi ya chama kwenye Uchaguzi.
 
Bora CCM ina hao, japo umesahau kuwa Majaliwa, Samia, Wasanii, UVCCM, UWT na Wazazi wanaendelea na kampeni.

Upande wa ufuasi wako yuko Lissu peke yake na mgombea mwenza ambao kila wanakopita wanavuruga nafasi ya chama kwenye Uchaguzi.
kwahio kura zitakua kumi tu za kwao ?
 
Back
Top Bottom