Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni kuamini uzushi wa wazushi akina Kigogo wa Twitter.Kaka yetu sisi tunakushauri tu tumia lugha vizuri kwenye kampeni zako, usiseme uwongo.
Hili swala la kuzusha wakurugenzi wamekutana na Rais, tunajua uliingizwa chaka kwa kutumiwa meseji watu wakupime weledi wako, na wewe bila kutafakari ukawaambia wafuasi wako kitu kilichokuingiza kwenye adhabu.
Tunakushauri chunga kauli zako tumia siku zilizobaki vizuri uongeze kura, hali si shwari mtaani unaweza kukosa hata wabunge wawili.
Pia jiepushe kufungiwa tena, you have to grow up brother.
Taratibu haramu zitakiukwa tu kama ambavyo vyote haramu ikiwamo uchaguzi haramu. Hakuna kuvumilia haramu tena.
Habari ndiyo hiyo kawaambie wote.
Tatizo ni kuamini uzushi wa wazushi akina Kigogo wa Twitter.
umesahau kwenda kwenye tamasha la Harmonize uwanja wa Mkapa?
wahi seat.
akili za bia ...leo hii hata wewe unamshauri Rais Lissu jinsi gani aongeze kura ambazo tayari zimeshakua za kutosha kuchukua urais..
Umeshamaliza mitihani yako ya darasa la saba sasa umekuja kutusumbua huku?Kaka yetu sisi tunakushauri tu tumia lugha vizuri kwenye kampeni zako, usiseme uwongo.
Hili swala la kuzusha wakurugenzi wamekutana na Rais, tunajua uliingizwa chaka kwa kutumiwa meseji watu wakupime weledi wako, na wewe bila kutafakari ukawaambia wafuasi wako kitu kilichokuingiza kwenye adhabu.
Tunakushauri chunga kauli zako tumia siku zilizobaki vizuri uongeze kura, hali si shwari mtaani unaweza kukosa hata wabunge wawili.
Pia jiepushe kufungiwa tena, you have to grow up brother.
Umeshamaliza mitihani yako ya darasa la saba sasa umekuja kutusumbua huku?
Zee zima hovyo kabisa nyie mungu atawalaani munajifanya yenu ya kuteka na kutesa watu hayaoni subirini mtaona.
Wakurugenzi walikutana na JPM ikulu na video tunazo ,semeni nyoo mkaone ushahidi the HagueKaka yetu sisi tunakushauri tu tumia lugha vizuri kwenye kampeni zako, usiseme uwongo.
Hili swala la kuzusha wakurugenzi wamekutana na Rais, tunajua uliingizwa chaka kwa kutumiwa meseji watu wakupime weledi wako, na wewe bila kutafakari ukawaambia wafuasi wako kitu kilichokuingiza kwenye adhabu.
Tunakushauri chunga kauli zako tumia siku zilizobaki vizuri uongeze kura, hali si shwari mtaani unaweza kukosa hata wabunge wawili.
Pia jiepushe kufungiwa tena, you have to grow up brother.
tulieni hivyo hivyo ..ccm imebaki ya watu wanne tu sasa...pombe, bashiru, polepole, na polisi.Lissu kuna hati hati akakinyima Chadema hata wabunge wawili, mshaurini atulize akili
Wakurugenzi walikutana na JPM ikulu na video tunazo ,semeni nyoo mkaone ushahidi the Hague
tulieni hivyo hivyo ..ccm imebaki ya watu wanne tu sasa...pombe, bashiru, polepole, na polisi.
Lumumba nzima wauwajeMuuaji ni nani
ccm mmekalia ncha ya mkuki, huko ndani tunasikia polepole atafutwa nafasi yake mana bwana pombe anasema mlimdanganya kua upinzani haupo kwamba ataserereka tu uchaguzi huuUchaguzi huu tunawafundisha adabu Chadema kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Bora CCM ina hao, japo umesahau kuwa Majaliwa, Samia, Wasanii, UVCCM, UWT na Wazazi wanaendelea na kampeni.tulieni hivyo hivyo ..ccm imebaki ya watu wanne tu sasa...pombe, bashiru, polepole, na polisi.
kwahio kura zitakua kumi tu za kwao ?Bora CCM ina hao, japo umesahau kuwa Majaliwa, Samia, Wasanii, UVCCM, UWT na Wazazi wanaendelea na kampeni.
Upande wa ufuasi wako yuko Lissu peke yake na mgombea mwenza ambao kila wanakopita wanavuruga nafasi ya chama kwenye Uchaguzi.
Kampeni ya CCM uwanja wa Taifa LIVE leo