Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mwanachama feki wa CHADEMA kutoka Lumumba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili la wizi wa kura ni kujifariji tu.Hawa wanawaandaa watu kisaikolojia na wizi wa kura
Hakuna aliyekutuma kusema ukweli hapa. Hizo ni opinion zako kama wengine tu.Tatizo ndio hilo ukweli unawaumiza san. Lakini mimi nitasema kweli.
Kuwa na heshima kijana.Mwanachama feki wa CHADEMA kutoka Lumumba!
Battlefield tuna hali mbaya sana.Hakuna aliyekutuma kusema ukweli hapa. Hizo ni opinion zako kama wengine tu.
Hii kauli inaonyesha dhahiri kuwa wewe ni mamluki wa chama cha mabango ccm. Tumekustukia na propaganda zako.Tatizo ndio hilo ukweli unawaumiza san. Lakini mimi nitasema kweli.
Kamanda mjinga kutoka magambani!Mpaka sasa ni wazi kuwa CHADEMA tumeshindwa vibaya sana.
Kupata wabunge na madiwani itakuwa mbinde.
Tunatakiwa tujipange upya,Mbowe afurushwe asiwe Mwenyekiti, Mnyika asiwe Katibu Mkuu, tunataka damu mpya kwa kizazi kipya.
Haya bana, ila bado wiki mbili tu.Kamanda mjinga kutoka magambani!
Gari lenu la mkaa halijarudi gereji?Kamanda zimebaki wiki mbili tu,tutavuna aibu kubwa,tujipange na kufanya mabadiliko ya chama chetu.
Hawa ndio makamanda wenzangu wanaojidanganya.CCM nao wanasema hiviView attachment 1596619
Ndiyo ndiyo kamanda asiyechoka kutoka CCM.Kamanda zimebaki wiki mbili tu,tutavuna aibu kubwa,tujipange na kufanya mabadiliko ya chama chetu.
Kivipi mkuuBattlefield tuna hali mbaya sana.
Watu hawaamini kinachotokea ila Huu ni Mpango wa Mungu.....tazama hapa chini
View attachment 1598936
View attachment 1598935
View attachment 1598933