Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Kwenye ratiba sikuona shinyanga mjini sasa sijajua imekaaje hii, au atarudi tena wiki ijayo huko?
 
Yes, Tundu Lissu umebakiza mikoa ya Dar, Pwani, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Manyara na Tanga. Najua mikoa yote ya kusini kwako itakuwa ni mtelezo maana utaungana na chama mshirika cha ACT Wazalendo katika kuipasua pasua CCM. Hapa Dar napo utaenda vizuri kufagia upepo alioacha Magufuli ambao nao hauvumi tena.

Najua bado pia Hai, Moshi mjini, Same na Mwanga bila kusahau Tukuyu, Kyela na Chunya.

Tukazane tumalize nchi maana muda nao unaenda sana hasa ukizingatia tuna siku 10 tu za kumaliza kampeni. Tunataka tufike mpaka Mafia hatuachi kitu.

Kila lakheri na Mungu akuepushie nongwa.
 
Tundu Lissu, heshima kwako.
Screenshot_20201001-094306.png
 
Mleta mada una wenge,

Dar si ndio Lissu alikofungua kampeni yake viwanja vya Mbagala ikafuatia na Tanganyika packers.

Naona mmevurugwa mpaka mnarudia rudia mikoa.
 
Yes, Tundu Lissu umebakiza mikoa ya Dar, Pwani, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Manyara na Tanga. Najua mikoa yote ya kusini kwako itakuwa ni mtelezo maana utaungana na chama mshirika cha ACT Wazalendo katika kuipausa pasua CCM. Hapa Dar napo utaenda vizuri kufagia upepo alioacha Magufuli ambao nao hauvumi tena.

Najua bado pia Hai, Moshi mjini, Same na Mwanga bila kusahau Tukuyu, Kyela na Chunya.

Tukazane tumalize nchi maana muda nao unaenda sana hasa ukizingatia tuna siku 10 tu za kumaliza kampeni. Tunataka tufike mpaka Mafia hatuachi kitu.

Kila lakheri na Mungu akuepushie nongwa.
KOTE ALIKOTOKA NA ALIPO NA ATAKAPOKWENDA, AKIPATA ATADIWANI MUMOJA ATAKUA AMESHINDA UCHAGUZI MKUU.
 
Yes, Tundu Lissu umebakiza mikoa ya Dar, Pwani, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Manyara na Tanga. Najua mikoa yote ya kusini kwako itakuwa ni mtelezo maana utaungana na chama mshirika cha ACT Wazalendo katika kuipausa pasua CCM. Hapa Dar napo utaenda vizuri kufagia upepo alioacha Magufuli ambao nao hauvumi tena.

Najua bado pia Hai, Moshi mjini, Same na Mwanga bila kusahau Tukuyu, Kyela na Chunya.

Tukazane tumalize nchi maana muda nao unaenda sana hasa ukizingatia tuna siku 10 tu za kumaliza kampeni. Tunataka tufike mpaka Mafia hatuachi kitu.

Kila lakheri na Mungu akuepushie nongwa.
Tundu Lissu ni mpango wa Mungu kuirudisha Tanzania kwa Watanzania. Huyu mhutu Magufuri toka Burundi ametuharibia nchi yetu. Kwa vyovyote vile baada ya tarehe 28/10/ 2020, Tanzania itakuwa inasherehekea uhuru wa pili baada ya uhuru w 1961.

Tundu Lissu ni mpango wa Mungu. Ole wenu Sirro, Mabeyo na Mahera mbadilishe matokeo.
 
Mleta mada una wenge,

Dar si ndio Lisu alikofungua kampeni yake viwanja vya Mbagala ikafuatia na Tanganyika packers.

Naona mmevurugwa mpaka mnarudia rudia mikoa.
Kampeni zinaenda kwa ngazi shehe. Mwanzo ilikuwa ngazi ya kanda, sasa ni ngazi ya majimbo. Kwa maana hiyo Dar bado sheikh. Tuliza mzuka, Tundu Lissu atakuponesha hicho kiharusi, au Stroke kwa lugha ya mabeberu
 
Back
Top Bottom