Japhet Karibu
Member
- Feb 27, 2020
- 79
- 129
Siku si nyingi zilizopita nilitoa hoja humu kuwa Lisu asifurahie wingi wa watu kwenye mapokezi na hata kufanya kampeni kabla ya muda eti anatafuta wadhamini atachuja na kuchokwa mapema, wale makamanda walikuja na matusi sasa mnajionea wenyewe makamanda uwanja haujai wameshamzoea mgombea wenu.
Kazi kwenu, maendeleo hayana chama.
Kazi kwenu, maendeleo hayana chama.