Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaHakika ukimchagua Lissu umelamba dume. Hutajuta kama ulivyojuta miaka 5 iliyopita.
Huyu ni moja ya watanzania wachache wenye akili nyingi sana wenye mkubwa wa kuibadili kimfumo.
Wale wenye matatizo ya ajira, Kutozwa kodi kubwa kupita kiasi, wenye shida na mikopo vyuo vikuu, wenye vilio na mishahara duni, wanaoozedha mazao yao shamba kwa kukosa bei Muungeni mkono Tundu Lissu mpate kuupumzisha kwa kutua mizigo ya matatizo haya.
Hatuna wasanii kama nyieMbona mmechagua viwanja vidogo vidogo bwashee?
PointWAkubali kushindwa uchaguzi kwa kuzifuata sheria za uchaguzi , kwanza kwa kujiuzulu huyo Dictator Pombe pamoja na Waziri Mkuu wake Majaliwa nchi imeshawashinda wasimwage damu
Watia huruma. Hakuna unaemtisha. SASA BASI.Kama mnafanya kampeni zenu ndani ya Tanzania kuingiliwa muhimu. Hamuwezi kufanya tu vile mnavyotaka sheria, kanuni na taratibu lazima zifuatwe sio ombi
exactly, sometimes johnthebaptist huwa anajifanya hamnazo!! Kichwa mu wazi muda mwingine !Sometimes Jo unajitoa ufahamu bila sababu
Kwa CCM kulikimbia jiji la Dar kuzindua kampeni zake za uchaguzi 2020 hakupaswi kuacha tu kupite.
Je,wamekubali kuwa hiyo sasa ni ngome ya upinzani hivyo hawana namna ya kuikomboa?
Hata kama ni kweli ngome ya CDM, strategist wa kampeni za CCM uwezo wake ni mdogo..abadilishwe haraka...