polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Jidanganyeni hakuna mwqna CCM yeyote anaye weza au kuwaza kumpigia kura tundu lisuWapiga kura wetu ni wengi mno, tena namba moja ni wana CCM wana hasira sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jidanganyeni hakuna mwqna CCM yeyote anaye weza au kuwaza kumpigia kura tundu lisuWapiga kura wetu ni wengi mno, tena namba moja ni wana CCM wana hasira sana
Hao ndio wapambe ninao wasema mimi na wala hapo sio wapiga kura , wapiga kura wapo iwa DR.MAGUFULI huo ndio ukweli mchungu kwa chadema
Hiki ndicho kinachoizamisha chadema, kujisifia na kuridhika na nyomi- nusu ya hawa watu amini usiamini ni wanaccm wanahudhuria ili kudaka point za upinzani ila wana jambo lao moyoni.
Mungu ambariki, kumlinda na kumuepusha na mabaya yote mja wake Tundu Antiphas Lissu kwa Jina Lake Yesu Kristo!Hii ni leo
View attachment 1580060
Halafu Lissu ahakikishe ile wiki ya mwisho tena apite na chopper kanda zote mbili hizi ya ziwa (Mwanza, Geita na Kagera)na ziwa Mashariki (Shinyanga, Simiyu na Mara). Yaani mwaka huu mpaka ajambe cheche!Safi, Jiwe stratergy yake kuu ni kanda ya Ziwa.
Ili kumtoa katika reli, vuruga vuruga kote huko mpaka maji aite mma!