NSHOMA FRANCOUS
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 698
- 325
TCRA wapo?subiriniPamoja na kampeni, mdahalo wake na iternational figures akiwemo HE, the President of the Republic of Ghana, Nana Akufo-Addo ni tukio muhimu la kihistoria linalosubiriwa kwa shauku kubwa jioni ya leo. Hii ni hatua muhimu sana kuelea "Make Tanzania Great Again" kama enzi za Mwalimu na sio blah blah za MATAGA yasiyo hata na vision.