Nipe hiyo concept ya kuleta maendeleo us watu na sio ya vitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe hiyo concept ya kuleta maendeleo us watu na sio ya vitu
Amen, na yule aliyeagiza Lissu apigwe risasi afe mdomo wazi.Mungu ambariki, kumlinda na kumuepusha na mabaya yote mja wake Tundu Antiphas Lissu kwa Jina Lake Yesu Kristo!
Amuepushe na mabaya na wabaya wote kwa Jina Lake Yesu Kristo
Wastage of money?!Repetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
Kumbe alikaribishwa vizuri?!Mgeni ukipewa makaribisho mazuri usipazoee pa mwenyeji kila siku hodi haifai
Lisu alikaribishwa vizuri sana na wana mwanza mjini alipoenda hapo mjini viwanja vya furahisha vikivyoko mwanza mjini sasa naona imekuwa nongwa Huyo anapiga hodi tena anarudi mwanza mjini
Wananchi waliofanywa maskini na CCM, hao MASKINI ndio wanachanga huku wakiimba nyimbo za ukombozi za Afrika za BABU MLAY a.ka BOB MARLEY.Wastage of money?!
Mlisema Chadema haina hela za kampeni sasa hizi za kupoteza wamezitoa wapi tena?
Kweli unajua mipango arudie tena wasije wakasahau?Halafu Lissu ahakikishe ile wiki ya mwisho tena apite na chopper kanda zote mbili hizi ya ziwa (Mwanza, Geita na Kagera)na ziwa Mashariki (Shinyanga, Simiyu na Mara). Yaani mwaka huu mpaka ajambe cheche!
Yuko njiani anaenda Mara, hapo Mza he is just in transit, so please take care.Kazidiwa tayari Mwanza mjini kakabwa koo alikuwepo hapo anarudi tena.keshaishiwa majimbo ya kutembelea pumzi imekata alikuwa viwanja vya furahisha juzi tu
Tayari joto limepanda kadanganywa kwamba kanda ya ziwa ndiyo inatoa rais basi kwa ujinga wake kaachia goli anakwenda kukaba. KANDA YA ZIWA INA WENYEWE, umati atapata lakini hata akitaka abwebwe sawa tu, wasukuma wakarimu sana, ila kwa kura wasukuma watashangaza umma.Repetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
Pana kura ya turufu hapo. Naona wasukuma wanamgeuka msukuma mwenzaoRepetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
ha ha ha ha nlishasahu hii, sikuhizi mama SULULU ASANI si anakuwa mikoa tofauti na yeye.Vp leo mgombea wako hajasifia wanawake weupe weupe kwenye kampeni zake, hyu dada mweupeeeee, dada mweupe oyeeeeee.
Naona moyo unataka kukutokea mdomoni..Mgeni ukipewa makaribisho mazuri usipazoee pa mwenyeji kila siku hodi haifai
Lisu alikaribishwa vizuri sana na wana mwanza mjini alipoenda hapo mjini viwanja vya furahisha vikivyoko mwanza mjini sasa naona imekuwa nongwa Huyo anapiga hodi tena anarudi mwanza mjini
Transit wakati ana mkutano hapo transit gani hiyo?Yuko njiani anaenda Mara, hapo Mza he is just in transit, so please take care.
Mbona unalialia sana? Anatakiwa apige kambi huko, aibomoe bomoe ngome ya jiwe huko mpaka yabaki magofu tupu.Mgeni ukipewa makaribisho mazuri usipazoee pa mwenyeji kila siku hodi haifai
Lisu alikaribishwa vizuri sana na wana mwanza mjini alipoenda hapo mjini viwanja vya furahisha vikivyoko mwanza mjini sasa naona imekuwa nongwa Huyo anapiga hodi tena anarudi mwanza mjini
Pengine Ni mgeni najiji la Mwanza au unalisikia tu kwenye mitandao mkuu.sisi tulio zaliwa Mwanza mini tunazjua vzur siasa za Mwanza.Mwanza mjn inaundwa na wilaya2 Nyamagana na Ilemela.....ambapo Apo mwanzo Nyamagana nailemela ilkuwa niwilaya1 ya Mwanza mjn.....toka Tanzania imepata uhuru Nyamagana haijawah ludia upumbavu wakutawaliwa nambunge1 miaka10 ata wakat wachama kimoja.kwaiyo pale usjfalj kabsa Kama CCM mtapata kura,anachofanya Lissu nachadema nkwenda kuwafuta kabsa pale nandio maana Anatua Nyamagana kabsa....;Ataivyo najua kwauoga mlionao kwamkoa huo lazma mtatuma tena watu wenu wakawatete.....maana kukumbu mnayo ata elfu2015 mlicho kfanya.safar hii hamtajalbu ata robo maana huwa hatuludii ubumbavu mara2,Kama unabsha muulze Sirro wakat ni RPCMgeni ukipewa makaribisho mazuri usipazoee pa mwenyeji kila siku hodi haifai
Lisu alikaribishwa vizuri sana na wana mwanza mjini alipoenda hapo mjini viwanja vya furahisha vikivyoko mwanza mjini sasa naona imekuwa nongwa Huyo anapiga hodi tena anarudi mwanza mjini
Kwani mgelifanya siasa ngazi ya majimbo msingeweza kuwaelesha wananchi? Au mpaka muwe na operation sangara?Polokwane.
Hivi unadhani ni kwanini vinijini?! Uelewa huko ni mdogo, ukizingatia hao jamaa within 5 yrs walikuwa na kibano cha kutokufanya siasa.
Pili huyo unayesema anakubalika kavihatamia vyombo vya habari. Ni yeye na chama chake tu ndiyo watatangazwe. Ufanyaji siasa Africa especially Tanganyika ni mgumu sana.
Hata hapo walipofanya kina Lissu na chama chake, wamejitahidi.
Zile zilikuwa kampeni za uzinduzi wa Kanda chief. Sasa anafanya kampeni za jimbo kwa jimbo na atapita majimbo yote hata yale mliyoengua wagombea kama Misungwi na ataungwa mkono sanaaa.Repetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
Sasa uzinduzi wa kanda aliufanyia mwanza mjini hapo hapo lilipo jimbo LA Nyamagana na Leo anarudi exactly hapo hapo hiyo kiboko ha ha haZile zilikuwa kampeni za uzinduzi wa Kanda chief. Sasa anafanya kampeni za jimbo kwa jimbo na atapita majimbo yote hata yale mliyoengua wagombea kama Misungwi na ataungwa mkono sanaaa.
Nikukumbushe kuwa kampeni za jimbo kwa jimbo alianzia Kibaha akarudi nyanda za juu na sasa yupo kanda ya ziwa.
Bhebe. Ni hivi , huwezi kumpangia mpinzani wako namna ya kuendesha siasa za kukutoa madarakani . Ngazi ya Jimbo kila mbunge hasa wa Jimbo Cdm ana kesi za kubambikiza za uchochezi.Kwani mgelifanya siasa ngazi ya majimbo msingeweza kuwaelesha wananchi? Au mpaka muwe na operation sangara?