CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Hawatampa hio ni Mali ya ccm.Kama anaubavu wa kumvuruga JPM kwa nini asiende CCM Kirumba ?
Maeneo an ayozunguka magu ameyazunguka kwa miaka mitano na maneno ni yaleyale anayarudia kwa miaka yote hiyoRepetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
Kibaya zaidi,hata ukiwa matakatifu,usipoua,usipoteka,usipo bambikia kesi,Ni lazima tani saba za mchanga zitakaa juu yako😂😂😂!JIWE lazma arudie kampeni MWANZA, yaani yeye alikuwa anakusanya "ngombe kwa malori" wilaya zote, Lissu yeye watu kwa nauli zao wanamfuata.
Atajua hajui, ua, teka, poteza, bambikia kesi, mwisho wa siku tani7 za udongo lazma zikae kifuani.
KufaRepetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
Alikuwa ilemela, Leo ndoRepetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
Alikuwa ilemela, leo ndo yuko nyamaganaKazidiwa tayari Mwanza mjini kakabwa koo alikuwepo hapo anarudi tena.keshaishiwa majimbo ya kutembelea pumzi imekata alikuwa viwanja vya furahisha juzi tu
Wewe kwa akili yako unafikiri kanda ya ziwa ni wasukuma tuTayari joto limepanda kadanganywa kwamba kanda ya ziwa ndiyo inatoa rais basi kwa ujinga wake kaachia goli anakwenda kukaba. KANDA YA ZIWA INA WENYEWE, umati atapata lakini hata akitaka abwebwe sawa tu, wasukuma wakarimu sana, ila kwa kura wasukuma watashangaza umma.
Jidanganyeni hakuna mwqna CCM yeyote anaye weza au kuwaza kumpigia kura tundu lisu
Kwani Mwanza ina jimbo moja wewe nyenyere? Kaone kwanza katakuwa kanawashwawashwa haka!Repetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
CCM?Kama anaubavu wa kumvuruga JPM kwa nini asiende CCM Kirumba ?
Zile vurugu mlizomfanyia jana Geita ni aibu kubwa na ni kosa kisheria mumewapa wahuni marungu ili wajeruhi lakini Mungu mkubwa yakabumaTransit wakati ana mkutano hapo transit gani hiyo?
Hivi nani wengi?Wabunge wanalia dj kapiga pesa zao.
MAGUFULI4LIFE.
Malumumba mwatia huruma kama lijualikali, badala ya kubwabwaja tu mngekusanya vielelezo vyenu na hayo mngepeleka polisi na takukuru ili hatua za kisheria zichukuliwe. Sauti ina mkauka bure.Kama mnadhani viongozi wa CHADEMA ndio wenye mtaji wa TUHUMA, kadiri siku ya kupiga kura inavyokaribia, ndivyo siri za viongozi wake zinavyoanikwa nje. Kwa kuanzia sikiliza hii hapa kwa umakini.
Baada ya kuisikiliza na zingine zilizohifadhiwa (Shambulio la Lissu na Mbowe, kupotea kwa Saanane, mauaji ya Mawazo, nk) kuwekwa wazi, mwenye KICHAA kuweweseka atajulikana.
Wahenga walisema "kama wewe ni mgomvi usijifiche kwenye nyumba ya vioo."
Hivi kiupaumbele Cha Wana misungwi ni uwanja na team ya mpira kweli?Ukiwa Misungwi, ukumbuke Mnyeti mtoto wa dada yake na JPM. Ametuibia fedha nyingi sana za madini na kuweza kujenga uwanja wake wa michezo misungwi na anenunua timu yake ya michexo. Tumeibiwa Sana na huu uko.
Approach hiyo kitaalamu inaitwa sensitisation.Repetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
tnataka kura za mwanza maana 2015 ndo walimpa jiwe nchiRepetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?
Anawarahishia ccm mshinde vizuri wewe unaumia nini ?Repetition tayari kaishiwa juzi tu hapa Lissu alikuwa hapo hapo Mwanza mjiini viwanja vya furahisha naona na Leo karudi wastage of money sehemu moja kurudi Mara mbili wakati kuna sehemu hajagusa kabisa!!
Chadema kulikoni?