Mkuu hizo ni ndoto tu JPM kama kawaid anashida tena kwa kishindo kaaa utulie uone
Muenez kashasema kwa sample ya kura kama zikipigwa anaondoka na 80%+ ya kura zote πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!!

Imagine tume ya shingo (NEC) ni yao pia sasa anashindwa vipi?
 
Muenez kashasema kwa sample ya kura kama zikipigwa anaondoka na 80%+ ya kura zote [emoji23][emoji23][emoji23]!!!

Imagine tume ya shingo (NEC) ni yao pia sasa anashindwa vipi?
Ndio hapo kaka afadhali wewe umenielewa mapema sana ninachomaanisha
 
Lissu ndio Anaenda kuwa surprised.
 
Hao wapuuzi waendelee kujazana ujinga tu
Acha wadanganyane hawana story nyingine za kujadili october watakuja na uzi wa CDM kuibiwa kura ... Halafu kwa taarifa yao miaka 5, anayoenda kumalizia jiwe inaenda kuwa migumu sana .... Maaana jamaa atabana akamilishe miradi yake .. hakuna cha ajira ni muda wa vijana kuangalia option za kazi nyingine wafanye sio kukaa kwa shemeji tu, vijana tufanyekazi ... Mawazo ya kusprise jiwe yaondoeni kichwani
 
Muenez kashasema kwa sample ya kura kama zikipigwa anaondoka na 80%+ ya kura zote [emoji23][emoji23][emoji23]!!!

Imagine tume ya shingo (NEC) ni yao pia sasa anashindwa vipi?
Tutamsuprise ili asumbuke kubadili matokeo hii inaitwa tukishindwa kumlisha nyama ya mbwa basi hata mchuzi tumnyweshe.
 
Mkuu hizo ni ndoto tu JPM kama kawaid anashida tena kwa kishindo kaaa utulie uone
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwaka huu akuna rangi mtaalamu ona nimepita mitaa ya Unguja ofisi za CCM zimepoa kama maji ya mtungi Wa Zanzibar wana sema hawa chaguwi picha
 
Mlibiwa mapema nyie mnaopata pesa Kwa njia za panya Sikh zenu zimekwisha, sasa ndo hivyo hakuna namna ya kurudi tens kwenye enzi zenu.

Magufuri atakuwapo sana hakuna wa kumtoa hapo kashika usukani na gari ipo speed. Ukishuka Kwa nguvu ni kufa tu.
 
Unguja nasikia wameliamsha dude wanasema Bora CORONA kuliko CCM kuna clip inaenea mtandao wazanzibar wamepania balaa
Katika kipindi ambacho CCM watapata kura ndogo huku ni mwaka huu
Uyo mgombea wao hata CCM wenyewe hawa mkubali !!
CCM imezuwia mabango ya Seif Sharif bandarini ninavyo sikia!!
CCM wamebandika picha zao kama ni wenda wazimu hawa jamaa wame changanyikwa adi chini kwenye bara bara wame bandika picha za CCM matumizi mabaya ya pesa .......
 
Siku zao zina hesabika sebulnie kwangu nimeweka count down timer kila ikipungua sekunde moja kwangu ni furaha kubwa sana
 
Watanzania tunaenda kuandika historia kuu mwaka huu itakayosomwa na vizazi na vizazi Tanzania na duniani kwa ujumla. Tunaenda kumstaafisha Jiwe siasa na Uraisi rasmi hapo October 28
Nakuonea huruma maana baada kusikia Matokeo ya Magufuli,lazima utalazwa kwa kihoroo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…