Kadoda nguku
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 332
- 475
Wewe wasema.Hakuna mirija iliyokatwa, imepindishwa tu na kupelekwa CHATTOO!!!
Hasa katika mafao ya wazee.Naona kila siku naanza kubadili misimamo yangu, hata wanaccm wenzangu naona wameanza kunishangaa ju ya misimamo yangu.
Kiukweli hotuba za lissu zinashawishi sana, nawashauri wanaccm wenzangu kutozifuatilia, unaweza ukaamua kukipigia kura cdm bure
Ndio hao waliojazana kwenye ma scania hapo juu?Lumumba kumechafuka, kila mmoja anamlaumu mwenzake.
Wamebaki wanacheza ngoma ya Lissu.
Naona kila siku naanza kubadili misimamo yangu, hata wanaccm wenzangu naona wameanza kunishangaa ju ya misimamo yangu.
Kiukweli hotuba za lissu zinashawishi sana, nawashauri wanaccm wenzangu kutozifuatilia, unaweza ukaamua kukipigia kura cdm bure
Unajaza Server bure tuSiyo tu ni kidagaa, Lissu ni hamnazo kwa kuwa hajui kuwa anaowasimulia porojo zake wanajijua. Km leo Kanda ya Ziwa anawakumbusha wavuvi kuchomewa nyavu kana kwamba ni jambo jipya. Asilolijua ni faida iliyopatikana kwa hatua hiyo. Sasa hivi aina na kiwango cha samaki wanaovuliwa wavuvi na walaji wanashukuru.
Anawaambia wafanya biashara ndogo kuwa bei ya vitambulisho ni ya kinyonyaji. Wahusika wamemjibu faida ya vitambulisho hivyo.
Anaishitumu Serikali kwa uwongo ati wajawazito wanatozwa kodi. Kwa kuwa yeye si mwanamke wala hana mjamzito hajui kuwa huduma yao imeboreshwa maradufu.
Anachukua nafasi ya wafanya biashara na kudai wengi wamefunga biashara. Kwa kuwa hakuwa nchini muda mrefu, na hasa wakati wa korona, kushuhudia Taifa likijitegemea kwa mahitaji yote kutoka kwa biashara ya ndani.
Hakika, mfa maji hutapatapa maana angalau angewauliza wagombea wa chama chake (wabunge + madiwani) kero na mahitaji ya wakazi wa maeneo husika ili porojo zake angalau ziwe na uhalisia.
Nilisema awali kwamba, baada ya kampeni zake za kashfa, lawama na dharau, anawachia wagombea wa CCM kazi nyepesi ya kuomba kura. Wanachofanya ni kutoa ushahidi ulio wazi kujibu tuhuma hizo. Na hili linafanyika kwenye Kata, nyumba kwa nyumba (ya mvuvi, mfanya biashara ndogo, mja mzito, mfanya kazi, nk).
Kwa upande wa wagombea wa chama chake wanakuwa na mtihani mgumu wa kutetea tuhuma alizozisema Boss wao. Humu JF wafuasi wanashangilia ushindi wa nyomi, kama siyo ujuha ni ni upotoshaji wa kitoto (sifa ya Mpumbavu na Lofa).
aiseeeh..Wanasema yule Mzee anawatilia kiwingu haendani na kasi yao na ndio maana walitaka kumlostisha!!!
Tarime na Mara yote wanajitambua sina wasiwasi nao.Watu wangu wa Tarime hamjawahi kuniangusha.View attachment 1582926View attachment 1582927View attachment 1582928View attachment 1582929
Huku mapenzi na chama na upande mwingine seraMimi mpaka sasa 'nahangaika' kutaka kuwaomba NEC wanipe 'Upendeleo' ulio 'Maalum' tu ili niwapigie wote Wawili Magufuli na Lissu nitashukuru.
Kabisa Mkuu umemaliza...Lissu akiongea sauti yake ina mamlaka..watu wa kiroho inawezekana ana upinde kama wa Yesu ila Sisi hatuuoni
Kama unavyojaza JF kwa picha za kudurufu.Unajaza Server bure tu
Keki ya Taifa kwa kikundi ndo matokeo yake haya watu na LISSUJiwe hoi , hata CCM asilia wanaombea ashindwe kimoyomoyo ili waheshimiane .
Milioni Hamsini kwa kila kijiji teh teh teh....Kama unavyojaza JF kwa picha za kudurufu.
Awali nimekwambia weka Sera hapa tujadili ukaruka urefu wa mita 10.
Wapiga kura hawachagui nyomi huchagua kiongozi mwenye uwezo na nia ya dhati ya kuwaondolea kero zao.
Nitoe mfano wa wewe na mimi uhuru wa kutumia mitandao yq kijamii. Najiuliza, hali ya sasa jhovi ikoje na mgombea ananipa ahadi gani? Najiuliza, yeye kama yeye ana sifa gani za kuaminika kwa hilo? Je, vjana chake kina Sera gani kuhusu hilo?
Usilolijua ni nani mimi Tarehe 28/10/2020 nitampa kura yangu hata kama humu JF nilionesha kushabikia mgombea fulani.
Maccm Ni majinga tuEt 2020 hatupigi kampeni.
Labda kama walimanisha kutokupiga kampeni ya uzazi mpango sio kampeni za uchaguzi wa Rais.
anaumia mipesa yote waliyotumia kuwalipa the so called waunga-juhudi halafu CHADEMA bado tunakinukisha kama zamani. lazima watoe povu.Sasa hivi amekuwa kama mpga debe wa stendi, anatukana huyooo mbele ya vyombo vya habari