Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Naona kila siku naanza kubadili misimamo yangu, hata wanaccm wenzangu naona wameanza kunishangaa ju ya misimamo yangu.

Kiukweli hotuba za lissu zinashawishi sana, nawashauri wanaccm wenzangu kutozifuatilia, unaweza ukaamua kukipigia kura cdm bure, hotuba za lissu tukiziona mitandaoni tuzipite tu, Mimi mwenzenu kama si kushtuka mapema, nilikuwa napotea kabisa katika maamuzi ya oktoba 28
 
Naona kila siku naanza kubadili misimamo yangu, hata wanaccm wenzangu naona wameanza kunishangaa ju ya misimamo yangu.

Kiukweli hotuba za lissu zinashawishi sana, nawashauri wanaccm wenzangu kutozifuatilia, unaweza ukaamua kukipigia kura cdm bure
Hasa katika mafao ya wazee.
 
Naona kila siku naanza kubadili misimamo yangu, hata wanaccm wenzangu naona wameanza kunishangaa ju ya misimamo yangu.

Kiukweli hotuba za lissu zinashawishi sana, nawashauri wanaccm wenzangu kutozifuatilia, unaweza ukaamua kukipigia kura cdm bure

Mimi mpaka sasa 'nahangaika' kutaka kuwaomba NEC wanipe 'Upendeleo' ulio 'Maalum' tu ili niwapigie wote Wawili Magufuli na Lissu nitashukuru.
 
Siyo tu ni kidagaa, Lissu ni hamnazo kwa kuwa hajui kuwa anaowasimulia porojo zake wanajijua. Km leo Kanda ya Ziwa anawakumbusha wavuvi kuchomewa nyavu kana kwamba ni jambo jipya. Asilolijua ni faida iliyopatikana kwa hatua hiyo. Sasa hivi aina na kiwango cha samaki wanaovuliwa wavuvi na walaji wanashukuru.

Anawaambia wafanya biashara ndogo kuwa bei ya vitambulisho ni ya kinyonyaji. Wahusika wamemjibu faida ya vitambulisho hivyo.

Anaishitumu Serikali kwa uwongo ati wajawazito wanatozwa kodi. Kwa kuwa yeye si mwanamke wala hana mjamzito hajui kuwa huduma yao imeboreshwa maradufu.

Anachukua nafasi ya wafanya biashara na kudai wengi wamefunga biashara. Kwa kuwa hakuwa nchini muda mrefu, na hasa wakati wa korona, kushuhudia Taifa likijitegemea kwa mahitaji yote kutoka kwa biashara ya ndani.

Hakika, mfa maji hutapatapa maana angalau angewauliza wagombea wa chama chake (wabunge + madiwani) kero na mahitaji ya wakazi wa maeneo husika ili porojo zake angalau ziwe na uhalisia.

Nilisema awali kwamba, baada ya kampeni zake za kashfa, lawama na dharau, anawachia wagombea wa CCM kazi nyepesi ya kuomba kura. Wanachofanya ni kutoa ushahidi ulio wazi kujibu tuhuma hizo. Na hili linafanyika kwenye Kata, nyumba kwa nyumba (ya mvuvi, mfanya biashara ndogo, mja mzito, mfanya kazi, nk).

Kwa upande wa wagombea wa chama chake wanakuwa na mtihani mgumu wa kutetea tuhuma alizozisema Boss wao. Humu JF wafuasi wanashangilia ushindi wa nyomi, kama siyo ujuha ni ni upotoshaji wa kitoto (sifa ya Mpumbavu na Lofa).
Unajaza Server bure tu
 
Mzee wa kufoka foka kajifungia Dodoma huko analia lia tuu wakat alitwambia Chadema imekufa mamaaae. Mwaka huu tupo tayar kulinda uhuru wetu hao majambazi ya Burundi yarudi kwao.
 
Unajaza Server bure tu
Kama unavyojaza JF kwa picha za kudurufu.

Awali nimekwambia weka Sera hapa tujadili ukaruka urefu wa mita 10.

Wapiga kura hawachagui nyomi huchagua kiongozi mwenye uwezo na nia ya dhati ya kuwaondolea kero zao.

Nitoe mfano wa wewe na mimi uhuru wa kutumia mitandao yq kijamii. Najiuliza, hali ya sasa jhovi ikoje na mgombea ananipa ahadi gani? Najiuliza, yeye kama yeye ana sifa gani za kuaminika kwa hilo? Je, vjana chake kina Sera gani kuhusu hilo?

Usilolijua ni nani mimi Tarehe 28/10/2020 nitampa kura yangu hata kama humu JF nilionesha kushabikia mgombea fulani.
 
Kama unavyojaza JF kwa picha za kudurufu.

Awali nimekwambia weka Sera hapa tujadili ukaruka urefu wa mita 10.

Wapiga kura hawachagui nyomi huchagua kiongozi mwenye uwezo na nia ya dhati ya kuwaondolea kero zao.

Nitoe mfano wa wewe na mimi uhuru wa kutumia mitandao yq kijamii. Najiuliza, hali ya sasa jhovi ikoje na mgombea ananipa ahadi gani? Najiuliza, yeye kama yeye ana sifa gani za kuaminika kwa hilo? Je, vjana chake kina Sera gani kuhusu hilo?

Usilolijua ni nani mimi Tarehe 28/10/2020 nitampa kura yangu hata kama humu JF nilionesha kushabikia mgombea fulani.
Milioni Hamsini kwa kila kijiji teh teh teh....
 
Wagombea wenyewe ndio hawa!
FB_IMG_16012214838911932.jpg
 
Sasa hivi amekuwa kama mpga debe wa stendi, anatukana huyooo mbele ya vyombo vya habari
anaumia mipesa yote waliyotumia kuwalipa the so called waunga-juhudi halafu CHADEMA bado tunakinukisha kama zamani. lazima watoe povu.
 
Back
Top Bottom