povu la nini sasa? Hata aje malaika na kuhubiri, 95% ya wapiga kura tumeshafanya maamuzi. Tutampa kura zetu za ndio mheshimiwa Lissu.

Nothing more nothing less.
 
Ulianza taratibu na hukutegemea kuwa ungepata Kuungwa mkono kwa kiasi Kikubwa hivi ambapo hata Mimi kwa sasa naona 'Confidence' yako ipo juu tofauti na pale mwanzoni. Ila kwa sasa unachokikosea tu na kama usipokuwa makini nacho 'Kitakuharibia' katika Kampeni zako ni tabia yako ya Kupenda Kusikiliza 'Umbea' na hata 'Uwongo' unaoletewa au Kuusoma Mitandaoni.

Labda nikuambie tu 'Mtani' wangu Tundu Lissu kuwa tayari kuna Watu (wasio Waaminifu) Kwako na uko nao karibu ( hasa katika Campaign Team yako ) kwa Njaa na Tamaa zao bila kusahau 'Unafiki' walionao wameanza 'Kutumika' katika 'Kukuangamiza' Kisiasa hasa kwa Kukulisha Uzushi na Uwongo ili Wewe 'Ukurupuke' nao halafu wenye Kusimamia Mamlaka ya tarehe 28 Oktoba wakumalize.

Nakuomba sana 'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa sasa kuwa makini tena ikiwezekana kuliko ulivyokuwa kwani Kikulacho Ki Nguoni mwako daima tu.
 
Lisu anaingia ikulu. John hawezi kuiba maelfu ya kura za Lisu ataumbuka na Kisha kufunguliwa kesi the Hague na yule Robert Amsterdam.

Akubali yaishe tu.
 
Sasa kwenye team yake ya kampeni kuna bananga, unategemea nini hapo? Sijui lossu alifikiria nini kumuweka bananga kwenye timu yake ya kampeni
Mataarifa kibao ya kuhusu mienendo yake yanavuja kila siku
Mbona Magufuli yake TISS wazalendo wamevujishia Lissu amekutana na wakurugenzi ikulu? Kila siku kigogo anavujishiwa siri na TISS wazalendo.

Lima papai wewee Acha kubwabwaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…