Kwa Hali ya kisiasa ilivyokuwa 2016_2020 Ni vigumu Sana kuamini kinachoendelea Sasa!Yalikuwa na Mikutano ya Siasa kwa Vyama by Upinzani!
Rais ,Mawaziri, Viongozi wa CCM ngazi zote walifanya Mikutano!
Vyombo vya Habari viliwamulika!
Miundo mbinu imejengwa...Tazara flyover,Sgr,Nyerere HEP,nk !
Makala za mazuri zikaandaliwa!
Wabunge na mmadiwani ...wa Chadema wakaunga mkono juhudi .chaguzi zikjarudiwa wakashinda!
Kampeni zomeanza hakuna chombo Cha habari kinatangaza habari za CHADEMA,!
Wanamuziki ,wasanii wote wanaisupport CCM!
Cha ajabu bado watu wanajitokeza kumsikiliza Tundu Lissu !
Bila Shaka CCM Wana Cha kujifunza!
Huwezi zuia mapambano ya hoja kwa nguvu kinyume!Hoja hupambanishwa na hoja!
Kinyume chake utalazimika kutumia mbinu ...mbadala!
Sayansi ya Siasa inatufundisha umujimu ws kuwa wanyumbufu,la sivyo Ni Anguko ...Kama sio leo,kesho!
Saddam Hussein,Ghadaf wa Iraq😂,Mabotu,KANU,Algeria ,Tunisia wanalijua hili!