Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Juzi kati heshimiwa lissu baada ya kuzindua kampeni kwenye kanda kumi, tuliambiwa kwamba angeanza kutumia Helkopta kwenye kampeni za kata namajimbo.
baadae zikaja taarifa kwamba mamlaka ya anga wamekataa kutoa kibali cha kurusha chopa hiyo japo wenyewe walikuja kukanusha. Leo ni siku ya tatu kama si ya nne, hamna taarifa yoyote.
Viongozi wangu wa chama mnakwama wapi? Kwa ukubwa wa hii nchi ingekuwa vizuri kama mheshimiwa rais mtarajiwa angetumia huu usafiri maana unamrahisishia kufika maeneo mengi kwa muda mfupi.

Cc Salary Slip
 
Tundu ni mtundu kwelikweli. Amewashika mahali pabaya mpaka mnashindwa kupumua. Tundu ndiye anayejua kueleza sera za chama chake vizuri hadi kila msikilizaji raha tu. Kwa hali inavyoonekana atashinda kwa kishindo. Hofu tu ni kuwa Chadema inagombea dhidi ya tume ambayo mgombea wake ni jiwe wa ccm. Vinginevyo Chadema itashinda sio chini ya 80%.
 
Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.

Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.

Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.
Huwezi hata mbrash viatu CHADEMA, endelea kushindia mihogo ya kuchoma Lumumba.
 
😂😂😂😂😂 eti kamanda asiyechoka! Hebu tuondolee upuuzi wako. Upuuzi mwisho lumumba siyo humu.

Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.

Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.

Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.
 
Robert amemkataza aspande ndege,
Sio siri katika vitu vibanifanya nimshukuru sana Mungu ni kutokuwa maskini. Sio siri nimekusoma kwa jicho la huruma sana namna unavyovuja jasho la damu ili ule ugali.

Yaani tangu alfajiri uingie humu kibaruani wewe una type tuuu kila nyuzi upo hadi usiku wa manane unakodolea screen tu kwa ujira mdogo!! Daah nimejisikia vibaya kama mwanangu vile nikawaza kweli CCM ni makatili na manyonyaji. Mtoto wa watu upo hadi mida hii unaandika kila thread daah

Umaskini mbaya sana.
 
Katika watu wenye vipaji na fani zao hapa duniani basi na Tundu Lissu ni mmoja wapo. Watu wengine watasema kwani msomi ni yeye peke yake?! La hasha, msomi si yeye peke yake lakini ana kipaji cha pekee. Ndiyo maana hata kwenye mpira kuna wachezaji wengi lakini kuna Messi na Ronaldo! Hii inapelekea mpaka hao wanaojiita wasomi kumuogopa Lissu.
 
MATAGA mnakomeshwa kweli kweli na kiboko ya CCM ya Magufuli.
LISSU wanyooshe hawa matapeli wamekula pesa ya Magufuli na kumdanganya wameidhiti CHADEMA.
 
Sio siri katika vitu vibanifanya nimshukuru sana Mungu ni kutokuwa maskini. Sio siri nimekusoma kwa jicho la huruma sana namna unavyovuja jasho la damu ili ule ugali.

Yaani tangu alfajiri uingie humu kibaruani wewe una type tuuu kila nyuzi upo hadi usiku wa manane unakodolea screen tu kwa ujira mdogo!! Daah nimejisikia vibaya kama mwanangu vile nikawaza kweli CCM ni makatili na manyonyaji. Mtoto wa watu upo hadi mida hii unaandika kila thread daah

Umaskini mbaya sana.
Kweli mkuu,huyu 'yanki' inabidi aangaliwe kwa jicho la huruma sana ..!
 
Juzi kati heshimiwa lissu baada ya kuzindua kampeni kwenye kanda kumi, tuliambiwa kwamba angeanza kutumia Helkopta kwenye kampeni za kata namajimbo.
baadae zikaja taarifa kwamba mamlaka ya anga wamekataa kutoa kibali cha kurusha chopa hiyo japo wenyewe walikuja kukanusha. Leo ni siku ya tatu kama si ya nne, hamna taarifa yoyote.
Viongozi wangu wa chama mnakwama wapi? Kwa ukubwa wa hii nchi ingekuwa vizuri kama mheshimiwa rais mtarajiwa angetumia huu usafiri maana unamrahisishia kufika maeneo mengi kwa muda mfupi.

Cc Salary Slip
Chama hakina pesa ya kampeni, bil nane ilitafunwa na Mbowe. Takukuru wanachelewa kumburuta mahakamani.

Hakuna pesa ya kukodi chopa ndio maana wanachangisha watu kwenye mikutano.
 
Juzi kati heshimiwa lissu baada ya kuzindua kampeni kwenye kanda kumi, tuliambiwa kwamba angeanza kutumia Helkopta kwenye kampeni za kata namajimbo.
baadae zikaja taarifa kwamba mamlaka ya anga wamekataa kutoa kibali cha kurusha chopa hiyo japo wenyewe walikuja kukanusha. Leo ni siku ya tatu kama si ya nne, hamna taarifa yoyote.
Viongozi wangu wa chama mnakwama wapi? Kwa ukubwa wa hii nchi ingekuwa vizuri kama mheshimiwa rais mtarajiwa angetumia huu usafiri maana unamrahisishia kufika maeneo mengi kwa muda mfupi.

Cc Salary Slip
Ni woga wa wale watu kwa LISSU.
 
Back
Top Bottom