Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
We jamaa nishakuona hamnazo siku nyingi. Hovyo kabisa
Unachukua muda wako kumjibu Juha huyo. Mara nyingi anaandika uharo mtupu sijui kama kazaliwa hospital huyu maana anakila dalili kichwa chake kilijipigiza chini.
 
Ccm kila wanaposikia jina la Lissu wanaugua ukimwi wa Chattle!
Lazima waugue kamanda!
We unafikiri kushitakiwa na ACACIA ili tuwalipe mabilioni baada ya kukamata mchanga wao ni hoja ya kitoto?
Lisu ni msomi wa nguvu kamanda! unafikiri CCM kuna anayeijua MIGA? ni Lisu tu!
 
IMG_20200907_165745.jpg
 
Katika watu wenye vipaji na fani zao hapa duniani basi na Tundu Lissu ni mmoja wapo. Watu wengine watasema kwani msomi ni yeye peke yake?! La hasha, msomi si yeye peke yake lakini ana kipaji cha pekee. Ndiyo maana hata kwenye mpira kuna wachezaji wengi lakini kuna Messi na Ronaldo! Hii inapelekea mpaka hao wanaojiita wasomi kumuogopa Lissu.
Usomi wa Lisu sio wa Tanzania hii kamanda.
Ni msomi pekee anayejua tutashtakiwa na ACACIA na kuwalipa mabilioni.
Hakuna msomi yeyote wa CCM anayejua hilo.
 
Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.

Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.

Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.

Hiyo ndio siasa so ww tulia tu na uvumilie kwa Miezi 2 tu

Hata Jana ndugai kaongea lugha mbovu sana but Watu wametulia tuli
 
Usomi wa Lisu sio wa Tanzania hii kamanda.
Ni msomi pekee anayejua tutashtakiwa na ACACIA na kuwalipa mabilioni.
Hakuna msomi yeyote wa CCM anayejua hilo.
Wanasheria wasomi kutoka ccm wapo wa kutosha sana,mfano... Andrew Chenge,kila aina mpya ya wizi kwenye nchi hii yupo,tena kuna yule Tumbili alimwita mwizi akataka kumuua mnamjua mwenyewe wakati wa kashfa ya ESCROW akaunt,hivi na huyu aliyeokolewa Jalalani naye si ni profesa wa sheria?
Mnikumbushe ndugu zangu wa ccm....bado kuna huyu wa sasa bwana Kilangi naye yumo na sheria zake za ki Jiwe Jiwe....
 
Sio siri katika vitu vibanifanya nimshukuru sana Mungu ni kutokuwa maskini. Sio siri nimekusoma kwa jicho la huruma sana namna unavyovuja jasho la damu ili ule ugali.

Yaani tangu alfajiri uingie humu kibaruani wewe una type tuuu kila nyuzi upo hadi usiku wa manane unakodolea screen tu kwa ujira mdogo!! Daah nimejisikia vibaya kama mwanangu vile nikawaza kweli CCM ni makatili na manyonyaji. Mtoto wa watu upo hadi mida hii unaandika kila thread daah

Umaskini mbaya sana.
Anatekeleza maagizo ya katibu mkuu wao aliyewaambia wajibu mapigo .
 
CCM ndio mmeishiwa hoja kiasi hiki , kampeni hazijafika hata nusu , kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza .Mwaka huu maji mtaita mma
Screenshot_20200912-233558.png
 
Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo

Analysis yako haiko sawasawa kwa sababu:
(1) Lowassa sawa alikuwa na nyomi, lakini Lowassa kampeni zake aliishia miji mikuu tu (Dar, Mbeya, Mwanza, Arusha, Tanga, etc) ila Lissu atapita na kukutana na wapiga kura ndani ya majimbo karibu 70%
(2) Lowassa hakuwa muongeaji au mjengaji wa hoja. Hoja yake ilikuwa nyepesi sana isiyoeleweka vizuri: " Watanzania wanataka mabadiliko, Ni wakati wa mabadiliko.. watanzania wana mahaba na mimi..." Lissu anatoa darasa kabisa kwa wapiga kura kwa nini wamchague na Tanzania ya sasa inahitaji nini hasa: "Uhuru, haki, na maendeleo ya watu.." Hii ni hoja inayoeleweka na yenye mashiko
(3) Lowassa alikuwa na makandokando mengi sana ya ufisadi na kutokuwa na uadilifu, jambo ambalo liliwafanya malaki ya wapinzani original wasiisupport Chadema na Ukawa tena na kuleta mgawanyiko, ref: aina Slaa na Lipumba waliondoka upinzani, na hii ilirudisha nyumba wapiga kura wengi. Lissu hana kashfa yoyote ya uadilifu na ni mpinzani original na wa kweli kwa hiyo kila mtanzania mwenye chembechembe ya upinzani anamuunga mkono na atampa kura.

Kwa hiyo tusishangae Lissu akazoa kura nyingi sana kuliko Lowassa, ingawa anaweza hasimshinde JPM au hasitangazwe.
 
Back
Top Bottom