Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Ila pengine tunaweza kumu 'ignore' tu maana hana madhara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mwanaChadema halisi ila huwa nasema ukweli.Mataga njooni na propaganda zenye mashiko,hizi prorojo za hapa na pale mnapoteza muda bure!
Unachukua muda wako kumjibu Juha huyo. Mara nyingi anaandika uharo mtupu sijui kama kazaliwa hospital huyu maana anakila dalili kichwa chake kilijipigiza chini.We jamaa nishakuona hamnazo siku nyingi. Hovyo kabisa
Lazima waugue kamanda!Ccm kila wanaposikia jina la Lissu wanaugua ukimwi wa Chattle!
sureIla pengine tunaweza kumu 'ignore' tu maana hana madhara.
Usomi wa Lisu sio wa Tanzania hii kamanda.Katika watu wenye vipaji na fani zao hapa duniani basi na Tundu Lissu ni mmoja wapo. Watu wengine watasema kwani msomi ni yeye peke yake?! La hasha, msomi si yeye peke yake lakini ana kipaji cha pekee. Ndiyo maana hata kwenye mpira kuna wachezaji wengi lakini kuna Messi na Ronaldo! Hii inapelekea mpaka hao wanaojiita wasomi kumuogopa Lissu.
Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.
Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.
Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.
Wanasheria wasomi kutoka ccm wapo wa kutosha sana,mfano... Andrew Chenge,kila aina mpya ya wizi kwenye nchi hii yupo,tena kuna yule Tumbili alimwita mwizi akataka kumuua mnamjua mwenyewe wakati wa kashfa ya ESCROW akaunt,hivi na huyu aliyeokolewa Jalalani naye si ni profesa wa sheria?Usomi wa Lisu sio wa Tanzania hii kamanda.
Ni msomi pekee anayejua tutashtakiwa na ACACIA na kuwalipa mabilioni.
Hakuna msomi yeyote wa CCM anayejua hilo.
Mwanafunzi wa Lisu.Bwana mdogo
Usinipangie cha kuandika naandika chochote ninacho jisikia
Kampangia mwenyekiti wako wa interpretinuer.
Anatekeleza maagizo ya katibu mkuu wao aliyewaambia wajibu mapigo .Sio siri katika vitu vibanifanya nimshukuru sana Mungu ni kutokuwa maskini. Sio siri nimekusoma kwa jicho la huruma sana namna unavyovuja jasho la damu ili ule ugali.
Yaani tangu alfajiri uingie humu kibaruani wewe una type tuuu kila nyuzi upo hadi usiku wa manane unakodolea screen tu kwa ujira mdogo!! Daah nimejisikia vibaya kama mwanangu vile nikawaza kweli CCM ni makatili na manyonyaji. Mtoto wa watu upo hadi mida hii unaandika kila thread daah
Umaskini mbaya sana.
Mwanafunzi wa interpretinuerMwanafunzi wa Lisu.
Ndio maana Zitto alihama Chadema makamanda wengi ni mbumbumbu,hamtaki kumkosoa Mbowe.CCM ndio mmeishiwa hoja kiasi hiki , kampeni hazijafika hata nusu , kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza .Mwaka huu maji mtaita mma View attachment 1569136
Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Kilaza wewe nyamaza.Mwanafunzi wa interpretinuer
Dogojigwa weweKilaza wewe nyamaza.
Kilaza wewe nyamaza.Dogojigwa wewe
Dogojinga weweKilaza wewe nyamaza.