Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
We jamaa nishakuona hamnazo siku nyingi. Hovyo kabisaRobert amemkataza aspande ndege,
We jamaa yani kila post inayihusu CDM au CCM we upo???Robert amemkataza aspande ndege,
Ana hofu ya mirija yake ya elfu saba saba kukatwa, CCM Lumumba wamechanganyikiwa mno.We jamaa nishakuona hamnazo siku nyingi. Hovyo kabisa
Huwezi hata mbrash viatu CHADEMA, endelea kushindia mihogo ya kuchoma Lumumba.Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.
Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.
Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.
Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.
Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.
Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.
Sio siri katika vitu vibanifanya nimshukuru sana Mungu ni kutokuwa maskini. Sio siri nimekusoma kwa jicho la huruma sana namna unavyovuja jasho la damu ili ule ugali.Robert amemkataza aspande ndege,
Haya mambo ndio huwa yanaharibu chama chetu. Kupinga ukweliHuwezi hata mbrash viatu CHADEMA, endelea kushindia mihogo ya kuchoma Lumumba.
Haya kamanda,ila mimi nifikisha ujumbe.πππππ eti kamanda asiyechoka! Hebu tuondolee upuuzi wako. Upuuzi mwisho lumumba siyo humu.
Wewe unadhani Kwanini kila taasisi haitaki kushirikiana na Chadema ?
Mgombea wao anatukana kila mtu
Kweli mkuu,huyu 'yanki' inabidi aangaliwe kwa jicho la huruma sana ..!Sio siri katika vitu vibanifanya nimshukuru sana Mungu ni kutokuwa maskini. Sio siri nimekusoma kwa jicho la huruma sana namna unavyovuja jasho la damu ili ule ugali.
Yaani tangu alfajiri uingie humu kibaruani wewe una type tuuu kila nyuzi upo hadi usiku wa manane unakodolea screen tu kwa ujira mdogo!! Daah nimejisikia vibaya kama mwanangu vile nikawaza kweli CCM ni makatili na manyonyaji. Mtoto wa watu upo hadi mida hii unaandika kila thread daah
Umaskini mbaya sana.
Chama hakina pesa ya kampeni, bil nane ilitafunwa na Mbowe. Takukuru wanachelewa kumburuta mahakamani.Juzi kati heshimiwa lissu baada ya kuzindua kampeni kwenye kanda kumi, tuliambiwa kwamba angeanza kutumia Helkopta kwenye kampeni za kata namajimbo.
baadae zikaja taarifa kwamba mamlaka ya anga wamekataa kutoa kibali cha kurusha chopa hiyo japo wenyewe walikuja kukanusha. Leo ni siku ya tatu kama si ya nne, hamna taarifa yoyote.
Viongozi wangu wa chama mnakwama wapi? Kwa ukubwa wa hii nchi ingekuwa vizuri kama mheshimiwa rais mtarajiwa angetumia huu usafiri maana unamrahisishia kufika maeneo mengi kwa muda mfupi.
Cc Salary Slip
Ni woga wa wale watu kwa LISSU.Juzi kati heshimiwa lissu baada ya kuzindua kampeni kwenye kanda kumi, tuliambiwa kwamba angeanza kutumia Helkopta kwenye kampeni za kata namajimbo.
baadae zikaja taarifa kwamba mamlaka ya anga wamekataa kutoa kibali cha kurusha chopa hiyo japo wenyewe walikuja kukanusha. Leo ni siku ya tatu kama si ya nne, hamna taarifa yoyote.
Viongozi wangu wa chama mnakwama wapi? Kwa ukubwa wa hii nchi ingekuwa vizuri kama mheshimiwa rais mtarajiwa angetumia huu usafiri maana unamrahisishia kufika maeneo mengi kwa muda mfupi.
Cc Salary Slip
Nimejisikia uchungu kama nimemzaa aisee!!Kweli mkuu,huyu 'yanki' inabidi aangaliwe kwa jicho la huruma sana ..!