Chama cha Lumumba.Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.
Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.
Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.
We ndio jeshi la akiba a.k.a HozbollahM
Mimi ni mwanaChadema halisi ila huwa nasema ukweli.
Unga juhudi umkomesheNimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.
Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.
Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.
Mnapoteza muda na Mbowe, Lissu ndiye atakayewamaliza.Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.
Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.
Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.
Hakuhama kwa ridhaa yake , alifukuzwa na akabakia kuwa Mbunge wa mahakama.Ndio maana Zitto alihama Chadema makamanda wengi ni mbumbumbu,hamtaki kumkosoa Mbowe.
Tundu ni mtundu kwelikweli. Amewashika mahali pabaya. Amewaminya mananihii, yaani sehemu nyeti mpaka mpaka mnashindwa kupumua. Tundu ndiye anayejua kueleza sera za chama chake vizuri hadi kila msikilizaji raha tu. Kwa hali inavyoonekana atashinda kwa kishindo. Hofu tu ni kuwa Chadema inagombea dhidi ya tume ambayo mgombea wake ni jiwe wa ccm. Vinginevyo Chadema itashinda sio chini ya 80%.
CCM ndio mmeishiwa hoja kiasi hiki , kampeni hazijafika hata nusu , kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza .Mwaka huu maji mtaita mma View attachment 1569136
Tunawekana sawa ili ajirekebishe.Kama kweli ni mwenyekiti wako ungemheshimu kama mwenyekiti.....!
Hahaha.. mataga mnateseka Sana na tundu lissu poleni!Nimetafakari hali ya kampeni ya chama changu nina mashaka kuwa mwenyekiti wa chama changu ametuhujumu.
Kwa nini amemruhusu mgombea ambae anatukana wapiga kura,mgombea ambae mda wote anaongea kwa jazba na anajikuta anasahau kunadi sera za chama na badala yake ni kusimulia jinsi alivyopigwa risasi na maharamia.
Mwenyekiti wangu aliuza chama mwaka 2015 na chama changu kikaharibika, mwaka huu amefanya hujuma ili tushindwe na kufutika kabisa. Mwenyeki wangu nina mashaka sana na wewe.
Hakuna mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi kuna tusi zaidi ya kutaja tupu za wanawake hadharani?
Ishi kwa kukariri.Hahaha.. mataga mnateseka Sana na tundu lissu poleni!
Ishi kwa hekima siyo kukariri!Ishi kwa kukariri.
Wamepewa bundle za bure na Gwajiporn hawa. Wapo wengi sana humu kucha kuleta upuuzi tu!!Karibu JF, naona umejiunga leo kuongeza nguvu Lumumba. Ila ungesubiri ukaribisho kwanza, umeanza kwa kasi
View attachment 1569138
ni hoja tu kamanda, kufika 2030 hata wewe utahama huko ulipo utakuja CCM.Endeleeni kutunga porojo ila tunakoelekea mtajua kuwa watanzania wamewachoka kiasi.
✓Habari yako haina chanzo chochote wa ushahidi wa hayo uyazungumzayo.
✓Kama si 2020 basi itakuwa 2025 kama si 2025 basi 2030 jiandaeni kuachia madaraka
wanyaturu lazima wampe mnyaturu mwenzaoSingida ni mkoa maskini Sana ukipita kwenda vijijini utashangaa kuona jinsi kulivyo Giza.ilongero Kijiji cha zamani hamna kitu zaidi ya majungu ukienda mbele huko vijiji vya ngamo, gh'ata hakuna umeme mpaka Singa huko mkalama hamna umeme Wala maji.
Ukija vijiji vya barabara kuu ya arusha umeme hamna.nguzo zimewekwa karibu mwaka wa pili huu sijui wanasubiri mpaka kalimani waziri aje apatie kick.vijiji vya bonde la ufa hamna kitu umaskini umejaa. Ukija mjini mpaka Wana nchi wamemkataa mbunge sima kwa kuwa hamna maendeleo zaidi ya taa za barabarani na lami mpya mitaa michache haizidi hata mitatu, Mungumaji tu yenyewe haina umeme na iko ndani ya manispaa aibu sana.
Haya sasa Lissu amejitokeza ndugu yenu kabisa msimuache hivihivi mpeni kura zenu mtoto wa homeboy. Singida inapaswa iende mbele Sana inaunganisha majiji Arusha, Mwanza, Mbeya na Dodoma ni mkoa muhimu katika uchumi hasa kwenye usafirishaji ila umeachwa nyuma sana hauna hadhi.
Mwisho kabisa viongozi wa singida rekebisheni jengo lenu la CCM na jengo letu la TRA lipigeni rangi liwe na muonekano mzuri.
Wanasingida wakipigia kura Chadema watajirudisha nyuma kimaendeleo
Ni ushauri tu
Una maanisha wasomi jalala wa CCM walipindua hoja ya "MSOMI" wetu mahiri Lisu kuhusu MIGA na kudaiwa mabilioni na kusababisha sie ndo tulipwe?
Haiwezekani kamanda.
Lisu wetu ni msomi saaana! - maprof jalala wa CCM hawawezi kuishinda hoja yake kudaiwa mabilioni.
Kwa hiyo serikali inalipwa badala ya kudaiwa mabilioni kama Msomi wetu alivyotuaminisha?..kwa taarifa yako, acaccia walikwenda mahakamani.
..na kesi hiyo ilisitishwa baada ya majority share holders kukubali kuwanunua minority share holders.
..kwa hiyo mpaka hapo TL alikuwa sahihi aliposema tutashitakiwa.
..jambo lingine alisema ripoti zile ni professorial rubbish, ni ubabaishaji mtupu.
..sasa hilo limethibitika baada ya serikali kulipwa fedha[300 mil] kiduchu kulinganisha na kile ambacho tulielezwa kwamba accacia wameiba[191 bil].
..zaidi, tuliahidiwa kwamba makinikia hayatasafirishwa nje tena, lakini sasa hivi yanasafirishwa kama mwanzo.
..tuliahidiwa kwamba smelter itajengwa hapa nchini, lakini hakuna anayezungumzia jambo hilo tena.