Mbona naona watoto wengi Sana😳!
 
Kwa hiyo serikali inalipwa badala ya kudaiwa mabilioni kama Msomi wetu alivyotuaminisha?

..TL alisema ripoti zinazodai usd 191 billion ni professorial rubbish / ubabaishaji.

..kudai tumeibiwa usd 191 bil, halafu tukazungumza na kukubali kulipwa usd 300 mil, ni ujinga wa kiwango cha juu.

..kimahesabu ni sawa na kudai usd 636 halafu tukubali kulipwa usd 1, tena kidogo-kidogo ktk timeline ya tunaowadai.
 
Kamanda utakuwa umesahau.
Tundu Lisu hakutaja kiasi alisema tu kulingana na MIGA tutadaiwa mabilioni.
Nashangaa maprofesa wa CCM waliwezaje kugeuza kutoka kudaiwa mabilioni hadi kulipwa mabilioni.
Hili haliwezekani. Lisu hawezi kukosea kiasi cha kushindwa na maprofessa jalala.
 

..ina maana usd 191 billion hatuzihitaji tena?

..kulipwa usd 300 mil badala ya 191 bil mumeona ni ushindi?

..na kwanini makinikia yanasafirishwa nje wakati tuliahidiwa hayatasafirishwa nje tena?

..smelter tulioahidiwa itajengwa iko wapi?
 
..ina maana usd 191 billion hatuzihitaji tena?

..kulipwa usd 300 mil badala ya 191 bil mumeona ni ushindi?

..na kwanini makinikia yanasafirishwa nje wakati tuliahidiwa hayatasafirishwa nje tena?

..smelter tulioahidiwa itajengwa iko wapi?
Mabilioni tunayahitaji ndo maana maprofessa jalala wakapindua hoja ya msomi wetu Lisu kudaiwa mabilioni na sasa tunalipwa mabilioni.
- Smelter moja ni kama Dreamliner ngapi hivi?
Tusubiri tu kamanda - Huyu msukuma si unamjua? au bado mpaka leo hujamuelewa?
 

..Je, hatuhitaji tena usd 191 billion?

..je, mabilioni hayo si yangetusaidia kununua midege, kujenga sgr, kujenga mradi wa umeme, na hata smelter?

..sasa mapesa yooote hayo tumewaachia barrick, halafu tunasifia ma-profesa?

NB:

..usd 300 million is peanuts. haitoshi hata kujenga sgr kipande cha dar-moro.
 
Hizo bil 191 hazikuwemo kwenye hoja ua msomi wetu Lisu.
yeye aliishia tu kudai tutadaiwa MABILIONI, Matokeo yake TUNALIPWA Mabilioni.
 
Hizo bil 191 hazikuwemo kwenye hoja ua msomi wetu Lisu.
yeye aliishia tu kudai tutadaiwa MABILIONI, Matokeo yake TUNALIPWA Mabilioni.

..ndiyo msingi wa hoja ya TL aliposisitiza kwamba ripoti zilikuwa na walakini.

..kama ripoti hazikuwa na walakini basi tungelipwa usd 191 billion, au kiwango kisichotofautiana sana na hicho.

..na maprofesa wote walikuwepo kwenye timu ya majadiliano, sasa ni vizuri tukauliza kwanini tulipwe kidogo namna ile?

..pia ukumbuke hapa tunazungumzia mabilioni ya dola, siyo mabilioni ya shilingi.
 
 
Kwa hiyo hoja ya msomi wetu kuhusu kuwalipa ACACIA Mabilioni ilihusu hizi bil 191?
Ikawaje sasa wakatupunguzia 300ml?
Kwa nini hawakuchukua zote kama msomi wetu alivyokuwa anataka?
 
Kwa hiyo hoja ya msomi wetu kuhusu kuwalipa ACACIA Mabilioni ilihusu hizi bil 191?
Ikawaje sasa wakatupunguzia 300ml?
Kwa nini hawakuchukua zote kama msomi wetu alivyokuwa anataka?

..huwezi kusema umeibiwa usd 191 billion halafu ukakubali kulipwa usd 300 million.

..yaani ni sawa na kuibiwa usd 636 halafu baada ya majadiliano ulipwe usd 1, tena kidogo kidogo.

..mimi baada ya TL kusema ripoti zilikuwa na mushkeli, nilikuwa nasubiri kuona nini kitapatikana baada ya majadiliano.

..kwa maoni yangu TL alikuwa sahihi toka mwanzo.
 
Mkuu.
kamanda msomi Lisu -Alisema tatashitakiwa na kuwalipa ACACIA mabilioni.
au umeshasahau?
 
Mkuu.
kamanda msomi Lisu -Alisema tatashitakiwa na kuwalipa ACACIA mabilioni.
au umeshasahau?

..ina maana hujui kwamba Accacia walikwenda mahakamani?

..na hufahamu kwamba matokeo yake ndiyo hayo tukaacha kuwadai usd 191 billion?

..bado unasubiri Noah? Unataka ya rangi gani?
 
..ina maana hujui kwamba Accacia walikwenda mahakamani?

..na hufahamu kwamba matokeo yake ndiyo hayo tukaacha kuwadai usd 191 billion?

..bado unasubiri Noah? Unataka ya rangi gani?
Ok. mi sikuisikia hiyo kesi.
Kumbe tuliishinda ACACIA na kutakiwa tulipwe bil 191?
Ndo maana msomi wetu haongelei kabisa issue ya MIGA tena?
 
Ok. mi sikuisikia hiyo kesi.
Kumbe tuliishinda ACACIA na kutakiwa tulipwe bil 191?
Ndo maana msomi wetu haongelei kabisa issue ya MIGA tena?

..kweli kabisa.

..mahakama iliamua tulipwe usd 191 billion.

..ila maprofesa wetu wakaona ni busara tulipwe usd 300 million.

..ndiyo maana sasa hivi tunasherehekea ushindi huo.
 
Mbarali, Rujewa
Mbeya

Tundu Lissu akaribishwa Mbarali na kamanda Liberatus Mwang'ombe mgombea ubunge 2020 Kupitia CHADEMA

Mh. Tundu Lissu atakuwepo Mbarali kwenye viwanja vya Barafu Rujewa, leo hii Jamanne, 15 September, 2020. Ukipata Tangazo hili, mtaarifu na Mwezako
Source : swahili villa

Mtaalamu wa mfumo wa upumuaji
Liberatus Mwang'ombe mgombea wa CHADEMA ubunge Mbarali.
 
..kweli kabisa.

..mahakama iliamua tulipwe usd 191 billion.

..ila maprofesa wetu wakaona ni busara tulipwe usd 300 million.

..ndiyo maana sasa hivi tunasherehekea ushindi huo.
Mi siamini msomi wetu Lisu alishindwa na maprofessa jalala issue ya MIGA.
ndo maana haongelei tena issue ya MIGA.
anatusimulia tu muujiza wa jinsi risasi 16 zilivopigwa kutoka kushoto na zikakata kona na kuupiga mguu wa kulia bila kumgusa dereva wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…