Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
13 September 2020
Ifakara, Morogoro
Tanzania
Somo la Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu limezidi kueleweka kuelekea kuchagua Rais 2020
waTanzania bila kujali kama wana vyama vyao vya ACT -WAZALENDO na CHADEMA wampa Tundu Lissu mapokezi ya kihistoria katika kampeni za kuomba urais na kuahidi kura nyingi kwa mgombea Urais wa CHADEMA na wabunge wa upinzani.
Mbona naona watoto wengi Sana😳!