Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Kwanini unadhani nimesahahu mkuu???Umesahau kwamba tulitukanwa kwa miaka mitatano huku Shanghai zetu wakitishiwa kupigwa?
Umesahau kwamba ndugu zetu huko kusini WALIPOKWA KOROSHO ZAO?
sheria zipi bwana mganga ? maana ww utakuwa unajua sheria za giza zaidi.Bila kuingiliwa zitakuwa kampeni za kistaarabu sana....sisi ni walimu wa sheria TUNAJITAMBUA
Akipita tena huyo aliegoma kukuongezea mshara kwa jeuri, me nakushauri uache kazi, maana haiwezekani akufanye mtumwa.Taachaje kutoroka kazini na kwenda kumsikiliza mtu anayetaka kuboresha mshahara wangu!!!!!
Au nikae ofisini nimuunge mkono mtu aliyegoma kwa ujeuri kuniongezea mshahara kwa miaka 5 ?
Kafie mbele Muhutu weweWananchi hawana muda was kwenda kumsikiliza mouth piece ya mabeberu.
Lisu kaletwa na mabeberu ili aende ikulu kuwapatia rasilimali za nchi hii.
Hatumtaki.
Kampeni zianzeJiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho.
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na Chamwino kwa siku tatu mfululizo katika Jiji la DSM.
Viongozi wakuu wa chama hicho watashiriki uzinduzi huo wa kampeni wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe Katibu Mkuu John Mnyika na Wajumbe wote wa Kamati Kuu.
Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinasema siku ya kwanza ya Uzinduzi itakuwa Ijumaa tarehe 28/8/20 katika viwanja vya Mbagala Zakiem; Siku ya Pili ya Uzinduzi itakuwa Jumamosi tarehe 29/8/20 katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe na siku ya Tatu ya Uzinduzi itakuwa Jumapili tarehe 30/8/20 katika viwanja vya Tabata Segerea.
Tayari viongozi wa Kanda ya Pwani pamoja na mikoa ya kichama ya Ilala, Kinondoni na Temeke umeshaanza maandalizi makubwa ambapo inatarajiwa mikutano hiyo kuwa na umati mkubwa wa watu huku ikiongozwa kwa maandamano makubwa kabla na baada ya mikutano.
Itakuwa ni Mara ya kwanza kwa chama Cha siasa kuzindua kampeni kwa siku 3 mfululizo katika Jiji la Dar.
Mtaaibika Sana Mbowe alipata kura laki 6 huyu ataambulia Kura elfu mbili au tatu.Humtaki wewe peke yako. Watanzania wote kwa umoja wetu tunamtaka Lissu.
Mbona mmechagua viwanja vidogo vidogo bwashee?
😂😂😂😂 Hata me nimemshangaa.sheria zipi bwana mganga ? maana ww utakuwa unajua sheria za giza zaidi.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Chadema ishasambaa kila kijijiMkuu usianze kushabikia ushindi kaz bado sana ... Tengenezeni timu imara izunguke kila kona ya hii nchi mutangaze sera zenu zieleweke...
Mgombea wenu ana damu ya watu wa Kenya .Kafie mbele Muhutu wewe
Yallah...... Wadunguaji tafuteni bunduki
Kafie mbele na mgombea wako Muhutu asiejua kujaza fomu kwa usahihi anategemea kubebwa na policcm na NEC-ccm.Mgombea wenu ana damu ya watu wa Kenya .
Chadema ni wakenya na wabelgiji.
Ila we jamaa, huwa una tatizo la mihemko ya kisiasa 🤔Kimenuka ! Tulitahadharisha tangu awali kwamba kuiteketeza ccm nchi nzima tunahitaji siku 7 tu , wabishi hawakuelewa .
Sawa mkuuLazima mfokewe kama mlivyo wafokea kwa miaka 5
Kama ukweli ndio mhemko basi haya .Ila we jamaa, huwa una tatizo la mihemko ya kisiasa 🤔
Wajuaji nyie na mgombea wenu toka ubelgiji asiejua Nini maana ya passport size.Kafie mbele na mgombea wako Muhutu asiejua kujaza fomu kwa usahihi anategemea kubebwa na policcm na NEC-ccm.
Jimama..Tayari mnaogopa.. Jomoni [emoji28][emoji28]. Poleni.
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYEREREJiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho.
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na Chamwino kwa siku tatu mfululizo katika Jiji la DSM.
Viongozi wakuu wa chama hicho watashiriki uzinduzi huo wa kampeni wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe Katibu Mkuu John Mnyika na Wajumbe wote wa Kamati Kuu.
Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinasema siku ya kwanza ya Uzinduzi itakuwa Ijumaa tarehe 28/8/20 katika viwanja vya Mbagala Zakiem; Siku ya Pili ya Uzinduzi itakuwa Jumamosi tarehe 29/8/20 katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe na siku ya Tatu ya Uzinduzi itakuwa Jumapili tarehe 30/8/20 katika viwanja vya Tabata Segerea.
Tayari viongozi wa Kanda ya Pwani pamoja na mikoa ya kichama ya Ilala, Kinondoni na Temeke umeshaanza maandalizi makubwa ambapo inatarajiwa mikutano hiyo kuwa na umati mkubwa wa watu huku ikiongozwa kwa maandamano makubwa kabla na baada ya mikutano.
Itakuwa ni Mara ya kwanza kwa chama Cha siasa kuzindua kampeni kwa siku 3 mfululizo katika Jiji la Dar.
Aksante kwa taarifa. Mimi, mke, na watoto wangu tutahudhuria mikutano yote huku tumevaa sare za chama.Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho.
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na Chamwino kwa siku tatu mfululizo katika Jiji la DSM.
Viongozi wakuu wa chama hicho watashiriki uzinduzi huo wa kampeni wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe Katibu Mkuu John Mnyika na Wajumbe wote wa Kamati Kuu.
Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinasema siku ya kwanza ya Uzinduzi itakuwa Ijumaa tarehe 28/8/20 katika viwanja vya Mbagala Zakiem; Siku ya Pili ya Uzinduzi itakuwa Jumamosi tarehe 29/8/20 katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe na siku ya Tatu ya Uzinduzi itakuwa Jumapili tarehe 30/8/20 katika viwanja vya Tabata Segerea.
Tayari viongozi wa Kanda ya Pwani pamoja na mikoa ya kichama ya Ilala, Kinondoni na Temeke umeshaanza maandalizi makubwa ambapo inatarajiwa mikutano hiyo kuwa na umati mkubwa wa watu huku ikiongozwa kwa maandamano makubwa kabla na baada ya mikutano.
Itakuwa ni Mara ya kwanza kwa chama Cha siasa kuzindua kampeni kwa siku 3 mfululizo katika Jiji la Dar.