Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Hiyo ratiba imelenga kumsaidia Halima Mdee Tanganyika Packers na John Mrema Tabata temeke wanaenda tu kukamilisha ratiba waislamu wasione wamewabagua kwenye uzinduzi

Wagombea wengine majimbo mengine ya Chadema mtajijua
Atarudi tena Dar kufunga kampeni.
 
Wananchi hawana muda was kwenda kumsikiliza mouth piece ya mabeberu.

Lisu kaletwa na mabeberu ili aende ikulu kuwapatia rasilimali za nchi hii.

Hatumtaki.
Mabeberu ndio walio mpeleka Ubelgiji na wamemrudisha....
 
Mwaka 2015 Lowassa alipiga kambi Dar kila wakati, alirudi Dar na kufanya mikutano kila baada ya wiki mbili na ilimlipa, safari hii mnataka kutumia akili ilele kwa kazi ilele, kweli majanga.

Wagombea wa ccm DAR safari hii usipime, nakwenda kuambulia patupu na mtapoteza muda for nothing, kinondoni pachungu, KAWE ndiyo kabisaaaaa, kigamboni mzoee.
 
Mwaka 2015 Lowassa alipiga kambi Dar kila wakati, alirudi Dar na kufanya mikutano kila baada ya wiki mbili na ilimlipa, safari hii mnataka kutumia akili ilele kwa kazi ilele, kweli majanga. Wagombea wa ccm DAR safari hii usipime, nakwenda kuambulia patupu na mtapoteza muda for nothing, kinondoni pachungu, KAWE ndiyo kabisaaaaa, kigamboni mzoee.
Tulia goma lianze kesho muone moto...
 
Uzinduzi ulipaswa kuwa siku moja na ungepaswa kufanyikia jangwani,miezi 2 ya kampeni ni midogo sana nchi kubwa sana hii kutumia siku 3 mkoa mmoja mtakua hamjabalance vyema
 
Uzinduzi ulipaswa kuwa siku moja na ungepaswa kufanyikia jangwani,miezi 2 ya kampeni ni midogo sana nchi kubwa sana hii kutumia siku 3 mkoa mmoja mtakua hamjabalance vyema
Najiuliza watakuwa na timu ngapi za kampeni... Maana wabunge wao machachar majimboni mwao hali ni ngumu kuanzia mwenyekiti
Wenzao on the other side huwa na timu nyingi zinazozunguka every part of this country
Sijui walijifunza nn kwa lowasa ambae hela ilikuwepo ila hawakufika nchi nzima..
 
Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho.

Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na Chamwino kwa siku tatu mfululizo katika Jiji la DSM.

Viongozi wakuu wa chama hicho watashiriki uzinduzi huo wa kampeni wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe Katibu Mkuu John Mnyika na Wajumbe wote wa Kamati Kuu.

Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinasema siku ya kwanza ya Uzinduzi itakuwa Ijumaa tarehe 28/8/20 katika viwanja vya Mbagala Zakiem; Siku ya Pili ya Uzinduzi itakuwa Jumamosi tarehe 29/8/20 katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe na siku ya Tatu ya Uzinduzi itakuwa Jumapili tarehe 30/8/20 katika viwanja vya Tabata Segerea.

Tayari viongozi wa Kanda ya Pwani pamoja na mikoa ya kichama ya Ilala, Kinondoni na Temeke umeshaanza maandalizi makubwa ambapo inatarajiwa mikutano hiyo kuwa na umati mkubwa wa watu huku ikiongozwa kwa maandamano makubwa kabla na baada ya mikutano.

Itakuwa ni Mara ya kwanza kwa chama Cha siasa kuzindua kampeni kwa siku 3 mfululizo katika Jiji la Dar.
Kila lakher kamanda Lissu.
 
Msije mkajipoga mabomu, kama Arusha alafu mkaisingizia serekali. Hadi leo mbowe hajatoa ile video aliyosema anayo, na inaonyesha mrusha bomu.

Walichogundua baadaye kumbe mrusha kombora alikuwa vijana wa Lema, ndiyo ikazimwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muhutu aliweka Passport anakula mhindi
Watanzania sisi ni wakulima hivyo Kula kazi ya mikono yetu sio dhambi.
 
Back
Top Bottom