Atropine
JF-Expert Member
- Oct 15, 2017
- 776
- 1,777
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muhutu aliweka Passport anakula mhindiWajuaji nyie na mgombea wenu toka ubelgiji asiejua Nini maana ya passport size.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muhutu aliweka Passport anakula mhindiWajuaji nyie na mgombea wenu toka ubelgiji asiejua Nini maana ya passport size.
🙏🙏Kama ukweli ndio mhemko basi haya .
Kuna tatizo hapo au wakuoneshe na kalenda. Rudini shule majengo bado yapoHuo mwezi kwenye hizo tarehe uko sawa kweli?? Check with that please.
Atarudi tena Dar kufunga kampeni.Hiyo ratiba imelenga kumsaidia Halima Mdee Tanganyika Packers na John Mrema Tabata temeke wanaenda tu kukamilisha ratiba waislamu wasione wamewabagua kwenye uzinduzi
Wagombea wengine majimbo mengine ya Chadema mtajijua
HEla hawanaMbona mmechagua viwanja vidogo vidogo bwashee?
Mabeberu ndio walio mpeleka Ubelgiji na wamemrudisha....Wananchi hawana muda was kwenda kumsikiliza mouth piece ya mabeberu.
Lisu kaletwa na mabeberu ili aende ikulu kuwapatia rasilimali za nchi hii.
Hatumtaki.
Tulia goma lianze kesho muone moto...Mwaka 2015 Lowassa alipiga kambi Dar kila wakati, alirudi Dar na kufanya mikutano kila baada ya wiki mbili na ilimlipa, safari hii mnataka kutumia akili ilele kwa kazi ilele, kweli majanga. Wagombea wa ccm DAR safari hii usipime, nakwenda kuambulia patupu na mtapoteza muda for nothing, kinondoni pachungu, KAWE ndiyo kabisaaaaa, kigamboni mzoee.
Hilo nilishalisema humu kitambo tangu mwaka jana . Uzi wangu wakaufuta eti nimemkashifu Mh.Akipita tena huyo aliegoma kukuongezea mshara kwa jeuri, me nakushauri uache kazi, maana haiwezekani akufanye mtumwa.
Najiuliza watakuwa na timu ngapi za kampeni... Maana wabunge wao machachar majimboni mwao hali ni ngumu kuanzia mwenyekitiUzinduzi ulipaswa kuwa siku moja na ungepaswa kufanyikia jangwani,miezi 2 ya kampeni ni midogo sana nchi kubwa sana hii kutumia siku 3 mkoa mmoja mtakua hamjabalance vyema
Kila lakher kamanda Lissu.Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho.
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na Chamwino kwa siku tatu mfululizo katika Jiji la DSM.
Viongozi wakuu wa chama hicho watashiriki uzinduzi huo wa kampeni wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe Katibu Mkuu John Mnyika na Wajumbe wote wa Kamati Kuu.
Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinasema siku ya kwanza ya Uzinduzi itakuwa Ijumaa tarehe 28/8/20 katika viwanja vya Mbagala Zakiem; Siku ya Pili ya Uzinduzi itakuwa Jumamosi tarehe 29/8/20 katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe na siku ya Tatu ya Uzinduzi itakuwa Jumapili tarehe 30/8/20 katika viwanja vya Tabata Segerea.
Tayari viongozi wa Kanda ya Pwani pamoja na mikoa ya kichama ya Ilala, Kinondoni na Temeke umeshaanza maandalizi makubwa ambapo inatarajiwa mikutano hiyo kuwa na umati mkubwa wa watu huku ikiongozwa kwa maandamano makubwa kabla na baada ya mikutano.
Itakuwa ni Mara ya kwanza kwa chama Cha siasa kuzindua kampeni kwa siku 3 mfululizo katika Jiji la Dar.
Wewe nawe mchokonowaji, na unajua pa kuchokonowaMbona mmechagua viwanja vidogo vidogo bwashee?
Wangefanyia wapi? Tanganyika Packers padogo?Mbona mmechagua viwanja vidogo vidogo bwashee?
Nani amdungue chizi!! atadunguliwa na wazalendo wananchi ndani ya box la kuraYallah...... Wadunguaji tafuteni bunduki
Uwanja wa taifa!Wangefanyia wapi? Tanganyika Packers padogo?
Watanzania sisi ni wakulima hivyo Kula kazi ya mikono yetu sio dhambi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muhutu aliweka Passport anakula mhindi
Umesoma comment #26 umeombwa uende upigwe ukuni kitu kigumu chenye ncha butu lainiHata mwaka hauko sawa wameandika mwaka 20 huu sio mwaka wa 20 Ni mwaka wa 2020 kisheria Ni makosa aliyeandika hi taarifa Hana akili Ni bwege